TCRA imepaki bila kuguswa,,kwanini kunaupendeleo kwenye kutumbua wakati kosa ni moja?Dr Jabir hajatumbuliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TCRA imepaki bila kuguswa,,kwanini kunaupendeleo kwenye kutumbua wakati kosa ni moja?Dr Jabir hajatumbuliwa
Hata mimi ndicho NAJIULIZA ndiyo maana nimeleta thread hii ili WAZEE wa KAZI pale Geti Jeusi waifanyie kaziWewe uliyeleta huu uzi, kwanini DG na BC wa TCRA wameachwa? wakati nao wamefanya hilo hilo lililopelekea wenzao wa TTCL, Posta UCSAF kuondolewa..
Unafiki na kujipendekeza kumeliharibu taifa sana. Eti bodi inaongozwa na profesa ambaye alishindwa kujua jambo lile litamkasirisha bosi.Labda wawe wamefuta kwa vile wao ndiyo custodians wa mitandao nchini. Ila Bodi na Menejimenti ya TCRA ilimpongeza Waziri wao wa Zamani Nape Nauye baada ya kutumbuliwa juzi sambamba na TTCL, UCSAF na Posta.
Pongezi kwa kazi nzuri kwa waliotenguliwa ni kama kashfa kwa Mamlaka ya Uteuzi
Aliyefanya kazi nzuri hatenguliwi, ukitenguliwa ujue kuna kitu hakiko sawa.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Ndo tayari kashanyongwa hiyo haki atapewa akiwa mfu.Mnyonge mnyongeni lkn haki yake apewe
Hawa wapuuzi walijitakia wenyewe; wamevuna walichopanda.Labda wawe wamefuta kwa vile wao ndiyo custodians wa mitandao nchini. Ila Bodi na Menejimenti ya TCRA ilimpongeza Waziri wao wa Zamani Nape Nauye baada ya kutumbuliwa juzi sambamba na TTCL, UCSAF na Posta.
Pongezi kwa kazi nzuri kwa waliotenguliwa ni kama kashfa kwa Mamlaka ya Uteuzi
Aliyefanya kazi nzuri hatenguliwi, ukitenguliwa ujue kuna kitu hakiko sawa.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Sauti ya onyo isinge sikika. Onyo hutolewa kimyakimya ofisini. Mama ilibidi aongeze sautiBinafsi sikubaliani na kutenguliwa labda kwakuwa wamemsifia au kushukuru kwa utendaji wa boss wao,wangestahili onyo tu ingetosha kabisa.
Kwa hapa wenye mamlaka kwa maoni yangu wamefeli,,kwa maana nyingine wamekurupuka
Naamini kabisa wakitulia na kutafakar upya watajisuta,,,lau wamewatengua kwasababu za utendaji ni sahihi
Kunya juu ya meza ya kulia chakula ni kosa lisilosameheka.Aisee maza ana visa gani na Nape?
Ukimpost tu unalimwa kichwa dadekii
Hii ni double standard, suala si wafanyie kazi..na wao km wanafanya ubaguzi wa aina hii ni kosa! Iwapo zipo sababu za kuwaacha jabir na Mwenyekiti wake si waziseme zijulikane..si kukaa kimya!Hata mimi ndicho NAJIULIZA ndiyo maana nimeleta thread hii ili WAZEE wa KAZI pale Geti Jeusi waifanyie kazi
Ni sawa lkn ndio ubaya wa kufanya kazi kwa ajili watu wakuone,,wamefanya ili public ijue,,,lkn ingetosha kuonyana kwq barua kali huko huko ndani ya sekta zaoSauti ya onyo isinge sikika. Onyo hutolewa kimyakimya ofisini. Mama ilibidi aongeze sauti
SawaTuhuma lazima itolewa ili vyombo vya haki jinai vifanye kazi na kuthibitisha kuwa ni kweli au siyo kweli. Kama siyo kweli tuhuma inafutwa, kama ni kweli anaanza kusota na Mahakama
Huna haki ya kutuzuia kutuhumu