TCRA yaipiga faini ya Tsh. bilioni 11.89 Kampuni ya Intaneti ya Raha Limited kwa kuendesha shughuli zake bila kuwa na kibali

TCRA yaipiga faini ya Tsh. bilioni 11.89 Kampuni ya Intaneti ya Raha Limited kwa kuendesha shughuli zake bila kuwa na kibali

Kama kila kitu tunaona upuuzi acheni Tz liwe shamba la bibi majengo ya hizi tasisi tupigie rumba.

Mwenye uwezo wa Redio, Tv Kuvua samaki , ikiwa ni Uwindaji au chochote tusimbugudhi, maana ni uupuzi kila serkali ikfanya.

Lkn hakika ukienda kwao hata ku puuu utalipia kodi.

Yaani rushwe matangazo ya redio bila kulipia, thubutuuuu. Yaani sijui kwanini tujidharau hivi? Tuko inferior kwa hawa jamaa mpaka wanatushangaa.
Suala la kupigwa faini si issue bali kiasi cha faini. Uzoefu unaonyesha wana inflate bila kuzingatia hali halisi. Unakumbuka makenikia walidai mabilioni mangapi ya dola na zimelipwa ngapi?
 
Kama kila kitu tunaona upuuzi acheni Tz liwe shamba la bibi majengo ya hizi tasisi tupigie rumba.

Mwenye uwezo wa Redio, Tv Kuvua samaki , ikiwa ni Uwindaji au chochote tusimbugudhi, maana ni uupuzi kila serkali ikfanya.

Lkn hakika ukienda kwao hata ku puuu utalipia kodi.

Yaani rushwe matangazo ya redio bila kulipia, thubutuuuu. Yaani sijui kwanini tujidharau hivi? Tuko inferior kwa hawa jamaa mpaka wanatushangaa.
Mkuu kama Lowasa alienadiwa miaka 8 kwamba hafai hata kurumangia ugali, baadae akadekiwa barabara na watu walewale, imagine hao watu ni watu wa aina gani?
 
UPUUZI MTUPU! Kampuni thamani yake haifiki hata bilioni moja halafu faini yake ni bilioni 11? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Umesha thamanisha ukaona hakifiki bilion 1?

Hizi siasa zimetufanya tuwe wapumbavu kabisa hii nchi kumbe?
 
UPUUZI MTUPU! Kampuni thamani yake haifiki hata bilioni moja halafu faini yake ni bilioni 11? 😳😳😳😳
Inategemea na walichoiba,Sheria haiangalii mtaji,inakupiga fine kulingana na wizi uliufanya
 
Mkuu kama Lowasa alienadiwa miaka 8 kwamba hafai hata kurumangia ugali, baadae akadekiwa barabara na watu walewale, imagine hao watu ni watu wa aina gani?
Ndio hapo sijakaa niwaelewe.
Wanataka nchi. Leo Magu wanaona hafai 2025 watakutana na Majaliwa au Yeyote wa ccm , watasema bora Magu alikuwa anakemea, kumbuka walimuira JMK kuwa Vasco da gama. Hana sauti anachekacheka. Akawaletea Chuma.
Leo wanamuita baba. Wajijui kabisa
Tangu waitupe pembeni ile orodha ya mafisadi wakiita
The list of shame.
Nikasema tunapoteza kushabikia hawa watu
 
Back
Top Bottom