Wewe ni wa kuhurumiwa, kwa sababu umjinga kupindukia. Hujui hata maana ya mahubiri.ndiyo maana watu kama hawa huwaga wanapotea tu na wapotee tu maana hawana maana kuendelea kuwepo anaacha kuhubiri anaanza mapambano na serikali ngoja ushauri wa kagame utumike muone sasa mtakuwa mnaongelea wapi ujinga wenu huo kweli mamlaka mnayaona kama shangazi zenu?huyo siyo mtumishi maana hata vitabu vinasema tutii mamlaka yeye anatukana mamlaka senzi sana huyo jamaa
Sasa kukifungia kipindi si ndio utakuwa upuuzi na upumbavu zaidi?Kamati ya Maadili ya TCRA imesema Kituo cha Star Tv kimeonesha uzembe na udhaifu katika kusimamia kipindi cha EFATHA Ministries ambacho hurushwa kwa matangazo ya moja kwa moja, kwa kuruhusu maudhui yenye ukakasi ambayo ni kinyume na Kanuni za Mawasiliano...
Naogopa kurogwaMuambie Gwajima hivyo
Washauri wa Jpm ndio wale wale washauri wake.Hivi chui jike anaelewa outcome ya kila jambo analolifanya? 🤣 🤣 Napata tabu sana kuelewa uwezo wa washauri wake wa karibu kwa haya yanayoendelea
Kazi ya Mchungajinna Nabii ni Kuonya Taifa na viongozi wake. Ktk kuonya hakuna kuchagua maneno ya kutumia.
Andhani anawezaShetani kashika hatamu, na kaonesha kwa vitendo yale alosema Mwingira.
Ukinusurika kufa mara tatu sidhani kama kuna lugha nyingine ya kutumia.Aisee hayo Maneno mazito
Kwank Neno Upuuzi na Ufisafi lipi Baya??Upumbavu ndio ukakasi kwa uongozi ama mamlaka?
Angetaka kwa kingereza kwamba stupidity TCRA wangeshangilia sana.
Sawa, ngoja tusubiri.
Tanzania kuna wajinga wengi sana iku hizi iwapo mtu kama huyu naye eti ana wafuasi wanaompa hela za sadaka. Ukishasikia mtu anajiita Mtume au Nabii ujua ana tatizo wala usimsikilize kabisa.
Vile vile wanaoitwa Askofu bila kuwa na structure yoyote ujue pia ni tatizo, kwani askofu hupatikana kwa structure fulani; kwa mfano huwezi kuwa na waziri mkuu pasipokuwapo mawaziri.
Lakini Tanzania leo imejaa hawa mitume, manabii na maaskofu wasioelewaka na bado wana wafuasi sana.
Message sentKipindi cha EFATHA kimesimamishwa kwa miezi mitatu, huku Star Tv ikipewa onyo na kuamriwa kuomba radhi watazamaji na umma kwa siku tatu mfululizo kuanzia Januari 25 - 27, 2022
Ukitazama kwa makini kuna timu zinatengeneza bond kimyakimya kwa style fulani dhidi ya chombo fulaniSidhani kama TCRA watamfunga mdomo kwa style hiyo, huyu mtu naona muda wake wa kuongea umefika, ni kama vile alikuwa anateseka kwa kujiuliza nafsini mwake aseme au anyamaze, sasa ameamua kusema kwake liwalo na liwe, heri awe na amani ya nafsi kuliko kumfurahisha mtawala huku akikosa amani ya nafsi yake.