Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
"Serikali fanyeni upuuzi wenu Mungu amewaruhusu, lakini muda sio mrefu atakuja kumalizana na upumbavu wenu"
Hongera sana Askofu Mwingira kwa kauli hii. Na tunamwomba Mungu, neema, baraka na ukuu wake, vizidi kumiminika juu yako.
Watu wa Mungu, inapobidi kukemea, maandiko yanasema, kemeeni hata kwa ukali.
Hongera sana Askofu Mwingira kwa kauli hii. Na tunamwomba Mungu, neema, baraka na ukuu wake, vizidi kumiminika juu yako.
Watu wa Mungu, inapobidi kukemea, maandiko yanasema, kemeeni hata kwa ukali.