Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
Nilienda kigoma nilivikuta vingi sana Hivi visimbusi lakini matangazo yao ni lugha ya kifaransa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikiwa vizuri nitakucheki ili unipe muelekeo was kukipata hapo masasiMikoa mingi ya pembezoni kama Kagera,kigoma na mara wanatumia canal kwa miaka mingi Sana nakumbusha kipindi Fulani masasi tumecheki mechi nyingi kupitia canal
Dah; kweli tuhamie Urundi! Kumbe kule maisha rahisi kuliko Bongolala!Bei ya kifurushi ipo chini. Ukilipa elfu 36 kwa mwezi unatazama ligi mbalimbali za Ulaya ikiwemo England, Uefa, Ueropa, nk, tofauti na Supersport gharama ipo juu.
Vibanda umiza wanavitumia sana. Wanatuma hela wakala yupo Burundi ndio anawanunulia vifurushi.
Kwa nini gharama za vifurushi vya ving'amuzi bongo ipo juu sana? mana naskia hata Supersport ya South Africa ipo chini. Azam ya Burundi pia ipo chini!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Canal+ Wana channels nyingi zenye Akili hata premier League wanaonesha ingawa matangazo Yao ni lugha ya kifaransa kumbuka western Africa wanatumia canal
Thank you! Kifaransa, Canal = Channel, Kiingereza. It makes sense.Nilienda kigoma nilivikuta vingi sana Hivi visimbusi lakini matangazo yao ni lugha ya kifaransa
Elfu 37 kwa mwezi watu wanakula burudaniWith Canal+ unaangalia Ligi zote kubwa barani ulaya + Champions Ligue + Movies za kutosha na Music kwa gharama ndogo zaidi, kifurushi chake sio juu ya 50,000Tsh.
Vita za kibiashara hiziBei zao ni nafuu na mechi zote za ulaya unaona
[emoji23][emoji23]Utatumia hadi siku udakwe ndo utajua
Huko mbona mbali. Hapo Rwanda, Burundi, Congo na kigoma mambo ni CanalCanal+ Wana channels nyingi zenye Akili hata premier League wanaonesha ingawa matangazo Yao ni lugha ya kifaransa kumbuka western Africa wanatumia canal
Ikija bongo bei itakuwa juu c unajua tra ni wasengerema karibu na mwanzaKama viongozi wa Tanzania wapo kwa ajili ya kufuata matakwa ya raia wengi, sasa kwa nini TCRA wasiwafafute hao Canal+ ili wawavute waje wafungue rasmi ofisi zao Tanzania?
Kama Canal+ wakifungua ofisi zao rasmi nchini Tanzania, je, bei ya vifurushi itabaki kama ilivyo sasa? Au kifurushi kile kile kitakuwa na bei tofauti-burundi bei chini, Tanzania bei juu!
Je, si kwamba hizi chokochoko zinaletwa na makampuni kama Multuchoice Tanzania inayomiliki Supersport ili yaendelee kuwanyonya wapenzi wa michezo?
TCRA wakaribisheni hao Canal+ waje walete ushindani Tanzania. Kurusha kwa kifaransa siyo ishu ukizingatia ni michezo tu! Humu Tanzania kuna wataalam wa kugha ya Kifaransa watashughulikia masuala ya kontent kana mnahisi Kifaransa ndio shida. Mbona kuna chanel za lugha mbalimbali kwenye ving'amuzi vilivyopo!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hatari sana!Ikija bongo bei itakuwa juu c unajua tra ni wasengerema karibu na mwanza
Na kingine hawezi kuja bongo kwasbb matangazo yao ni kifaransa na sisi tunatumia kingereza(common wealth country)
KipoWapi naweza kuoata hicho king'amuzi?nimechoka kuangalia channels za ndani.
Mnapatikan wapiiiKipo