Emen
JF-Expert Member
- Jun 22, 2021
- 2,069
- 3,516
Wapi naweza kuoata hicho king'amuzi?nimechoka kuangalia channels za ndani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]me nilikua sikijui wamenifanya nikitafute sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi naweza kuoata hicho king'amuzi?nimechoka kuangalia channels za ndani.
Mnapatikan wapiii
Na bei ya kifurushi ipo vp
ina ule mtandao pendwa wa Suez canalCanal+ ina nini kipya kuzidi akina DStv, Azam, et. al? Mwenye kufahamu please.
[emoji23][emoji23][emoji736]Asante TCRA kwa taarifa ninakihitaji asee
Onyo kali lipoje na tamu lipoje?TCRA imetoa onyo kali kwa Makampuni na Watu binafsi
Siku zote sector binafsi inaadvance kwa haraka kuliko serikali na hiyo yote ni kwasababu ya urasimu wa kipumbavu ndiyo maana watu wanaamua kuwa na vyanzo vyao vya umeme kisa ukiritimba na urasimu wa shirika la umemekufanya biashara ya kutoa huduma za Televisheni kupitia satelaiti bila kuwa na leseni, imesema visimbuzi hivyo havijaidhinishwa.
Canal+ ni bei nafuu kuliko DSTV kwenye vifurushiCanal+ ina nini kipya kuzidi akina DStv, Azam, et. al? Mwenye kufahamu please.
Kula maisha ndugu. Hakuna kitu kama hicho Tanzania.***** yani nmesetiwa jana leo nakutana na tangazo la marufuku kwel bongo nyoso
Eboo!! Unasema kweli?Bei zao ni nafuu na mechi zote za ulaya unaona
Relax hakuna inshu watu wanaendelea kula goodtime na Canal mkuu***** yani nmesetiwa jana leo nakutana na tangazo la marufuku kwel bongo nyoso
Huwezi fananisha canal plus na Azam... Acha kabisa.Canal+ ina nini kipya kuzidi akina DStv, Azam, et. al? Mwenye kufahamu please.
We jamaa usioneshe hujui kwa kiwango hiki. Canal Plus unataka ilinganisha na huo uchafu wa Azam? Nchi kama China wanakunyonga kabisa kwa ulicho andika maana wataona kama ni hasara kwa Taifa kuwa na mtu kama weweCanal+ ina nini kipya kuzidi akina DStv, Azam, et. al? Mwenye kufahamu please.