Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Yes kama Mwanyika aliyehukumiwa kwa kesi ya uhujumu uchumi ila leo ni mgombea ubunge wa CCM huko Njombe 🤣Nilishangaa sana diamond anaajiri criminal
kwenye taasisi makini,ukishafungwa jela hupewi kazi hata iweje
🤣 🤣 🤣Yes kama Mwanyika aliyehukumiwa kwa kesi ya uhujumu uchumi ila leo ni mgombea ubunge wa CCM huko Njombe 🤣
Kukata mauno hakuzuii kuchukuliwa sheria iwapo atatenda kosaJuzi tu Diamond alikuwa anakata mauno ccm Kirumba.
Office nyingi zimekamatwa na watu wa Mikowani, Maneno ya ki DSM wanayaona Kama matusi kumbe ndiyo lugha ya kitaa hiyo!!Hasa mswambwanda nalo ni tusi?
Duh! Hii kiboko!!Ila niliitazama kile kipindi kiukweli TCRA wanakahaki ya kufungia stesheni. Yaani kipindi kimekosa maudhui hadi basi.....
Baba levo aliulizwa swali kuwa kati ya mwanamke mnene mwenye shepu na wembamba ni yupi anapendelea....
Baba levo akajibu yeye wanawake wembamba asichowapendea ni wanachoka haraka kitandani halafu wanakuharakisha na wewe ukojoe haraka haraka, so yeye huwa anachofanya anawakojolea mkojo wa kawaida na sio bao lile la utamu.....
Katika hali ya kawaida mazungumzo ya namna hii hayana hadhi ya kurushwa hewani as if ni jambo la kawaida na wakati ni kinyume na maadili yetu ya kitanzania na kiafrika lakini mbaya zaidi inachochea maswala ya ngono.
Unafurahia matusi redioni au kwenye TV?
TCRA ndiyo jibu . Big up TCRA
Sasa wao nao kuokoteza kila Mtu tu akae kwenye chombo cha habari walitegemea nini?.Ila niliitazama kile kipindi kiukweli TCRA wanakahaki ya kufungia stesheni. Yaani kipindi kimekosa maudhui hadi basi.....
Baba levo aliulizwa swali kuwa kati ya mwanamke mnene mwenye shepu na wembamba ni yupi anapendelea....
Baba levo akajibu yeye wanawake wembamba asichowapendea ni wanachoka haraka kitandani halafu wanakuharakisha na wewe ukojoe haraka haraka, so yeye huwa anachofanya anawakojolea mkojo wa kawaida na sio bao lile la utamu.....
Katika hali ya kawaida mazungumzo ya namna hii hayana hadhi ya kurushwa hewani as if ni jambo la kawaida na wakati ni kinyume na maadili yetu ya kitanzania na kiafrika lakini mbaya zaidi inachochea maswala ya ngono.
Watarudishwa kwenye mstari tuu na sheriaSasa wao nao kuokoteza kila Mtu tu akae kwenye chombo cha habari walitegemea nini?.
Kwa hili naiunga mkono TCRA.Watarudishwa kwenye mstari tuu na sheria
Kwakweli WAfungiwe tu, hakuna namna, HAPA KAZI TU.
serikali huwa ina watu wake inapotaka jambo lake,hata wewe tunaweza kukutumia kupata tunachotaka licha ya uchadema wakoYes kama Mwanyika aliyehukumiwa kwa kesi ya uhujumu uchumi ila leo ni mgombea ubunge wa CCM huko Njombe 🤣