Mgonga Like
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 1,255
- 1,659
Dah! Hii nchi haishiwi drama kabisa..Mmewapiga fine ila fine wasilipe wazitumie wenyewe kuboresha huduma. Hizi drama kwa nn zisiletwe mtaani huku?
kidadari apigwa fine ya bilion 6 kwa kukwepa kodi hivyo asilipe hizo hela bali azitumie kuboresha biashara zake na kulipa kodi stahiki