Tetesi: TCU imebadili vigezo vya kufundisha Chuo Kikuu

Nitajie Chuo kimoja tu Private Bongo wanacholipa vizuri ukilinganisha na vya umma?
NN: Taja chuo kimoja tu Cha Private (wwlanusoyaje viwili).
***Na Zama hizi sadaka naxo zimekata tutashuhudia mengi.
Nafundisha private chuo sikaji kama mhadhiri ila nalipwa mpunga zaidi wa huo aloweka mdau wa UDSM

Inawezekana sana private mshahara ni negotiations kama sio muelewa wa mambo watakupa scale pungufu

Kwa hiyo inadepend na private kupata cheo ni haraka, disadvantage ya private huwezi kukutana na teuzi na mkulu, pia kuna mambo huwezi jiamulia mfano matokeo ya vijana

Kuna marafiki zangu wako serikali mambo ni yale yale
Na ss wa sadaka maisha yanasonga
 
Private Universities hizi zinazoshindwa kulipa mishahara mwezi April 2020.
 
Hacheni wivu kama vibaraka wa mke mwenza..sio lazima kila mtu apate GPA .. diamond anafanya anachokiweza na kime mlipa sasahiv anavua chupi zenu kama dagaa Nyasa madafu...af Nani alikuambia kuimba kunaisha mwanamuziki hastaafu.
Show off tu. Ngonja kuimba kuishe ndo utajua alikuwa anamiliki nini na nini ?Hayo magari showoff tu. Mwambie aonyeshe Card za gari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hakukupa sup kweli? dah... 😛 😛 😀 😀 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…