Ulisoma BA (Kiswahili) halafu GPA 3.3?Dah, inauma sana kukosa point tu kufikia hiko kigezo. Wakilegeza masharti tena mpaka 3.4 tustuane jamani.
Kama kungekuwa na kurisiti kozi ulizofeli ili kusafisha cheti ningerudia semister moja ambayo tulipangiwa wakutubi wabovu kuwahi kutokea katika nchi za jangwa la sahara. Hawa ndio waliniharibia timming.
Sikuwahi kusoma kiswahili braza 🤣🤣🤣Ulisoma BA (Kiswahili) halafu GPA 3.3?
Lakini mkuu unaweza piga postgraduate diploma nasikia inasaidia pia ukishapiga PhD yako hawaangalii vigezoDah, inauma sana kukosa point tu kufikia hiko kigezo. Wakilegeza masharti tena mpaka 3.4 tustuane jamani.
Kama kungekuwa na kurisiti kozi ulizofeli ili kusafisha cheti ningerudia semister moja ambayo tulipangiwa wakutubi wabovu kuwahi kutokea katika nchi za jangwa la sahara. Hawa ndio waliniharibia timming.
Archaeology?Sikuwahi kusoma kiswahili braza 🤣🤣🤣
Naskia wameifuta mkuu! Juzi nilikuwa naongea na cousin wangu ni Lecturer.Lakini mkuu unaweza piga postgraduate diploma nasikia inasaidia pia ukishapiga PhD yako hawaangalii vigezo
Ko tafuta PhD yako hapo 😉
Wanafaidi kweli bado wanafaidi maua ya nchi yanayotoa harufu nzuri na hulegea yanapopewa sup🚶🏽♂️🚶🏽♂️Jamaa wa vyuo wanapiga mipunga sana hasa ukiwa na masters halafu kazi haikubani kama sector zingine huko.
Braza heshima ifuate mkondo, hizo kozi za ajabu ajabu sikuwahi kuzifikiria hata. Nina Foundation ya IT na Bach. ni Marketing & Entrepreneurship!Archaeology?
Wanafaidi kweli bado wanafaidi maua ya nchi yanayotoa harufu nzuri na hulegea yanapopewa sup🚶🏽♂️🚶🏽♂️
Hasa za UDSM na matawi yakeHahaha😂😂😂chezea GPA
Doh bhasi wamebana eneo hiloNaskia wameifuta mkuu! Juzi nilikuwa naongea na cousin wangu ni Lecturer.
Anadai wamei cancel ikiwa ni sambamba na ku harmonize hicho kigezo cha 3.5 kwa vyuo vyote vya serikali.
So ile shortcut ya kibaharia ya kutambaa na chaki ya PGD wameikataa. Nilitaka nipenyee huko.
Marketing n Enterpreneurship kwa wavaa mitumbaBraza heshima ifuate mkondo, hizo kozi za ajabu ajabu sikuwahi kuzifikiria hata. Nina Foundation ya IT na Bach. ni Marketing & Entrepreneurship!
Jalalani wanakaza kinomaWakifika 3.2 unaijulishe
Hasa za UDSM na matawi yake
Okay. Vip mnaendeleaje hapo World Bank HQ, Washington DC.Braza heshima ifuate mkondo, hizo kozi za ajabu ajabu sikuwahi kuzifikiria hata. Nina Foundation ya IT na Bach. ni Marketing & Entrepreneurship!
Hivyo vyuo vya taifa mpaka sasa hivi mna impact gan katika janga hili la korona ???Hiyo kwa Vyuo vya kata mbona kawaida 3.5 kitamboo. Pale UD, MUHAS na SUA mziki bado 3.8
Impact bila funding? Kwa labs zipi? TEKU mmegundua nn mpaka Sasa?Hivyo vyuo vya taifa mpaka sasa hivi mna impact gan katika janga hili la korona ???
Wanatoa elimu ya kuvaa barakoa 😂😂😂tabu kweli kweliHivyo vyuo vya taifa mpaka sasa hivi mna impact gan katika janga hili la korona ???
Yaani university bila connection utaishia kuharibu hela za nauli tu kwenda kwenye interview, Tena siku hizi vyuo vingi vinaajiri wanafunzi wao ukishindwa kujipendekeza wakat ukiwa mwanafunzi basi imekula kwakoHata hivyo kuna watu wana 3.6, 3.7 undergraduate na wameajiriwa kwenye hivyo vyuo vyako connection inamatter pia☹☹