TCU toeni tamko kuhusu honorary degree ya Musukuma


You’re just wasting your time. Honorary degrees don’t have any practical uses!
 

 
Hivi ni kwa nini waTanzania wengi wao wanapenda kutanguliza majina yao na title fulani mfano Dr, au Prof, na kadhalika,mbona raisi mstaafu wa USA ndugu Barack Obama jina lake sijawahi ona akitanguliziwa Prof,wakati yeye ni profesa wa sheria?
 
Inaonekana umeumizwa sana? Au ww ulikosa au niseme uliipata kwa tabu na rushwa nyingi sana kuliko yeye? By the way hiyo ni kama ya kikwete tu ya pay and get instantly yaani chap chap acount award. Yeyote anaweza kupata na yeyote anaweza kukitoa mfano mm nakupa hiki
.......................................................................
INTERNATIONAL UNIVERSITY OF FOOLING AWARD
This is to certify that
.......................
The one posted this
Has disqualified to get award from our university
FRUSTRATION M.MELO JF
mentor c.e.o jf
....................................................................
Ww chako hiki kaprint ukitumie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…