Team Hamisa wamvaa Josh Adeyeye baada ya kupost picha akiwa na mwanamke

Evelyn Salt

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
70,916
Reaction score
141,437
Huyu kaka atajuta!!! Usiombe viumbe wa Instagram wakakufungia mtaa ashukuru tu kinge kinawapiga chenga wanamchamba kiswahili, siku nyingine sijui kama atakubali kufanya kazi na wabongo...

Kiki nnya nazo zinaponza ndo nini kutangaza upo kwenye uhusiano na mtu wakati ni kazi tu kaka wa watu alikua "video queen" yanayomkuta Josh leo harudii...
 
Watanzania wa insta [emoji23][emoji23]
 
 

Attachments

  • Screenshot_20181128-215508.png
    54.4 KB · Views: 56
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wabongo noma sanaa aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…