Team Hamisa wamvaa Josh Adeyeye baada ya kupost picha akiwa na mwanamke

Team Hamisa wamvaa Josh Adeyeye baada ya kupost picha akiwa na mwanamke

Evelyn Salt

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
70,916
Reaction score
141,437
Huyu kaka atajuta!!! Usiombe viumbe wa Instagram wakakufungia mtaa ashukuru tu kinge kinawapiga chenga wanamchamba kiswahili, siku nyingine sijui kama atakubali kufanya kazi na wabongo...

Kiki nnya nazo zinaponza ndo nini kutangaza upo kwenye uhusiano na mtu wakati ni kazi tu kaka wa watu alikua "video queen"
Screenshot_20181128-212622.png
Screenshot_20181128-212215.png
Screenshot_20181128-212408.png
Screenshot_20181128-212408.png
Screenshot_20181128-212215.png
yanayomkuta Josh leo harudii...
 
Watanzania wa insta [emoji23][emoji23]
 
Screenshot_20181128-215434.png
Screenshot_20181128-215508.png
 

Attachments

  • Screenshot_20181128-215508.png
    Screenshot_20181128-215508.png
    54.4 KB · Views: 56
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wabongo noma sanaa aisee
 
Back
Top Bottom