Kingo Janta
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 319
- 262
Wakujitole walishaenda,wanamaliza Mwez wa tisa
Acha kupotosha wenzako.. wanaondoka mwezi huu ila bado tarehe haijajulikana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakujitole walishaenda,wanamaliza Mwez wa tisa
Acha kupotosha wenzako.. wanaondoka mwezi huu ila bado tarehe haijajulikana
Kwa taarifa yako wakujitolea wameanza mafunzo mwez wa tatu...na mafunzo yao huwa ni miez sita haya pga hesabu wanamaliza lin
nikiact nimekoxea haina shida?
Kwa taarifa yako wakujitolea wameanza mafunzo mwez wa tatu...na mafunzo yao huwa ni miez sita haya pga hesabu wanamaliza lin
VIP kuhusu borombora kigoma.
mwenye details azimwage hapa.
Atuambie maana anatutisha xaana
mkuu unatishwa bure,kule ni jkt sio tpdf. watu waliopitia jkt hujifanya wanajua kila kitu kuhusu jeshi tena wanajiona makomando wakati walikuwa wanaangushia tu(kudoji).
vitu ulivyoambiwa ubebe,beba na ulivyokatazwa,acha.
jkt raha sana mdogo wangu hakuna mateso,kila kitu ni sehemu ya mafunzo.
usipende mazoea sana na maafande,km ni KE ndio kabisaaa usiwachekee maafande.
mkesha upo ila unazoeleka,usijifanye mlegevu sana wala mjuaji sana.
ripoti siku 2kabla ya mafunzo kuanza,pia wanakagua mizigo getini.
MWISHO: akili za kuambiwa changanya na zako.
Daftar za nin mkuu
Tuliopangwa Kanembwa na yeyote mwenye uelewa wa JKT Kanembwa Kigoma atusaidie mazingira na hali kwa ujumla ya kambi ya Kanembwa
mkuu unatishwa bure,kule ni jkt sio tpdf. watu waliopitia jkt hujifanya wanajua kila kitu kuhusu jeshi tena wanajiona makomando wakati walikuwa wanaangushia tu(kudoji).
vitu ulivyoambiwa ubebe,beba na ulivyokatazwa,acha.
jkt raha sana mdogo wangu hakuna mateso,kila kitu ni sehemu ya mafunzo.
usipende mazoea sana na maafande,km ni KE ndio kabisaaa usiwachekee maafande.
mkesha upo ila unazoeleka,usijifanye mlegevu sana wala mjuaji sana.
ripoti siku 2kabla ya mafunzo kuanza,pia wanakagua mizigo getini.
MWISHO: akili za kuambiwa changanya na zako.
Hata mi nawaxhangaa, xehem nyngne hata hainogi waxhamba tu hao.. yan x wanafananixha na s..!!!! pambaff....!!!
Mi siwatishi bt nimewaambia ukweli na wakirud watatupa ripot...katka kambi zote za jkt tanzania...kanembwa ni noma kwa kuwasaidia ingien gugo andka 824kj kanembwa utapata ripot...
Na kule hutakiw kujfanya kiherehere au mbish.
Oljoro nw kuna koz ya tpdf ndo mana hawajachukua bt unaeza enda msange,ruvu,au mtabila