TEC Ina nguvu duniani kote waraka wao usipuuzwe

TEC Ina nguvu duniani kote waraka wao usipuuzwe

Huyu mama anafanya maamuzi makubwa akijua fika hakuchaguliwa kwenye nafasi hiyo kwa kura za wananchi, yaani ni rais wa ngekewa.

Baada ya kuona reaction ya wananchi na makundi mbalimbali ya kijamii bado ameendelea kukaza fuvu.

Nchi za wenzetu kiongozi akipata upinzani mkubwa wa kisiasa kuhusu kutekeleza jambo fulani anaitisha uchaguzi wa mapema kutafuta kuungwa mkono, huyu naona kaamua kutafuta uungwaji mkono wa dini yake....yetu macho na masikio.​
 
Kwa wale mnaoijua nguvu ya roman Catholic duniani.

Papa wa Roma ana nguvu sanaa Kwa wafadhili wetu huko duniani. Kingine Cha kujitafakarisha kuwa TEC kwanini wameamua kujilipua bila woga wowote ule. Nini kipo nyuma yake?

Au ni bomu limetegwa?
Ushamba mzigo sana. Dunia ipi mnaiongelea? TEC ipi ina nguvu duniani?

Ndo mana tukiwaambiaga mtokege huko kwenye kuchunga ng'ombe mnatuona tunawadharau.

Tafuteni exposure.
 
Ndivyo ulivyodanganywa kwenye kigango chako?

TEC wakusanyike pale Mwembe Yanga,halafu Mwamposa Mmoja awe Tamlnganyika Packers
Hata wakatoliki wataenda kwa Mwamposa.

Hapo sijamtaja Mwingila,sijamtaja Lusekelo,Sijawataja wachungajinwengine.
Halafu unakuja hapa na njaa zako kwamba TEC wana nguvu.
 
Ushamba mzigo sana. Dunia ipi mnaiongelea? TEC ipi ina nguvu duniani?

Ndo mana tukiwaambiaga mtokege huko kwenye kuchunga ng'ombe mnatuona tunawadharau.

Tafuteni exposure.
Haujawahi kuwa na akili wewe ,unapoizungumzia TEC tambua unaizungumzia roma Catholic worldwide.
Unatikawa kutambua kuwa Catholic ndio inatawala dunia.
Endelea kukaza ubongo wako wakati mama yako saa100 hapati usingizi
 
Haujawahi kuwa na akili wewe ,unapoizungumzia TEC tambua unaizungumzia roma Catholic worldwide.
Unatikawa kutambua kuwa Catholic ndio inatawala dunia.
Endelea kukaza ubongo wako wakat9 mama yako hapati usingizi
Wana nguvu duniani wapi?

Ushawahi ona wana nguvu Marekani? Uingereza? Urusi? China?

Hivi nyie mnadhani humu wote ni wajinga kama nyie eeeh? Humu tupo wasomi na watu wenye exposure nyie!!

Sio tik tok humu au kwenye vijiwe vyenu vya kahawa!
 
Back
Top Bottom