bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,662
- 812
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeendaRais Samia akijaribu kuupuuza waraka wa TEC atakuwa kajifunga kitanzi mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeendaRais Samia akijaribu kuupuuza waraka wa TEC atakuwa kajifunga kitanzi mwenyewe
Hawezi kuachana nao kwa sababu wezi mnaiba sana Bandarini na Serikali imeshaamua liwake jua inyeshe mvua, lazima bandarini pafanyiwe maboresho makubwa na nchi ianze kufaidika kweliMama si uachane na hao waarabu badala ya bandari binafsisha TANESCO uone kama tutakulaumu
Sababu hawana akili, ndio maana wamejilipua.Kwa wale mnaoijua nguvu ya roman Catholic duniani.
Papa wa Roma ana nguvu sanaa Kwa wafadhili wetu huko duniani. Kingine Cha kujitafakarisha kuwa TEC kwanini wameamua kujilipua bila woga wowote ule. Nini kipo nyuma yake?
Au ni bomu limetegwa?
Lazima mtamlaumu sababu atakuwa amewapa Waarabu. Kwanini mnataka kuwafanya watu hawana akili ?Mama si uachane na hao waarabu badala ya bandari binafsisha TANESCO uone kama tutakulaumu
huna akili.Ndivyo ulivyodanganywa kwenye kigango chako?
TEC wakusanyike pale Mwembe Yanga,halafu Mwamposa Mmoja awe Tamlnganyika Packers
Hata wakatoliki wataenda kwa Mwamposa.
Hapo sijamtaja Mwingila,sijamtaja Lusekelo,Sijawataja wachungajinwengine.
Halafu unakuja hapa na njaa zako kwamba TEC wana nguvu.
Unapoambiwa Roman wana nguvu chief elewa sio nguvu kujaza watu uwatoe mapepo,Rc ni taasisiNdivyo ulivyodanganywa kwenye kigango chako?
TEC wakusanyike pale Mwembe Yanga,halafu Mwamposa Mmoja awe Tamlnganyika Packers
Hata wakatoliki wataenda kwa Mwamposa.
Hapo sijamtaja Mwingila,sijamtaja Lusekelo,Sijawataja wachungajinwengine.
Halafu unakuja hapa na njaa zako kwamba TEC wana nguvu.
Endelea kujidanganya tu.Naionya CCM na walio nyuma ya mkataba (wafaidika )wa huu mkataba wa kinyonyaji anguko lenu limewadia
Roma empire kwa nchi hii ni Alpha na Omega
Shindaneni lakini hamtashinda,dalili zi wazi kabisa mmeshashindwa mapema sana
Huyu sidhani kama atagombea 2025. Anachofanya ni kutuharibia nchi. Ngorongoro na Bandari haya mambo kamwe hawezi kuishi kwa amani.Huyu mama anafanya maamuzi makubwa akijua fika hakuchaguliwa kwenye nafasi hiyo kwa kura za wananchi, yaani ni rais wa ngekewa.
Baada ya kuona reaction ya wananchi na makundi mbalimbali ya kijamii bado ameendelea kukaza fuvu.
Nchi za wenzetu kiongozi akipata upinzani mkubwa wa kisiasa kuhusu kutekeleza jambo fulani anaitisha uchaguzi wa mapema kutafuta kuungwa mkono, huyu naona kaamua kutafuta uungwaji mkono wa dini yake....yetu macho na masikio.
Halafu kobazi mnyazi anaichukulia poa!!Vatican inatawala dunia na ni zaidi ya taasisi ya kidini, na ustawi wa jamii inaangazia pia usalama, uhuru wa kuabudu, siasa ,demokrasia ujasusi kinga, sheria biashara utamaduni nkknk
Mm si Mkatoliki. Ila tuseme ukweli TEC it's an Organization ambayo Iko katika mpangilio mzuri. Hata kwenye kuchambua masuala mazito huwezi linganisha na Dini yeyote. Aidha, Roman Catholic it's the oldest organization hata kupitia Taifa kama Uingereza. Kwahiyo kuutawala wako vizuri.Ndivyo ulivyodanganywa kwenye kigango chako?
TEC wakusanyike pale Mwembe Yanga,halafu Mwamposa Mmoja awe Tamlnganyika Packers
Hata wakatoliki wataenda kwa Mwamposa.
Hapo sijamtaja Mwingila,sijamtaja Lusekelo,Sijawataja wachungajinwengine.
Halafu unakuja hapa na njaa zako kwamba TEC wana nguvu.
Mlio wageni na Nyaraka za TEC mnafikiri hili ni jambo geeeeeeni!Kwa wale mnaoijua nguvu ya roman Catholic duniani.
Papa wa Roma ana nguvu sanaa Kwa wafadhili wetu huko duniani. Kingine Cha kujitafakarisha kuwa TEC kwanini wameamua kujilipua bila woga wowote ule. Nini kipo nyuma yake?
Au ni bomu limetegwa?
Kwa hiyo tumetafuta uhuru ili tutawaliwe na Vatican hizi nazo akili kweli kabisa tutawaliwe na kitaifa hichoVatican inatawala dunia na ni zaidi ya taasisi ya kidini, na ustawi wa jamii inaangazia pia usalama, uhuru wa kuabudu, siasa ,demokrasia ujasusi kinga, sheria biashara utamaduni nkknk