TEC Ina nguvu duniani kote waraka wao usipuuzwe

TEC Ina nguvu duniani kote waraka wao usipuuzwe

Mnajipa sifa Tu lakini kiuhalisia hamna maajabu yoyote pamoja na Baraza lenu
 
Mama si uachane na hao waarabu badala ya bandari binafsisha TANESCO uone kama tutakulaumu
 
Mama si uachane na hao waarabu badala ya bandari binafsisha TANESCO uone kama tutakulaumu
Hawezi kuachana nao kwa sababu wezi mnaiba sana Bandarini na Serikali imeshaamua liwake jua inyeshe mvua, lazima bandarini pafanyiwe maboresho makubwa na nchi ianze kufaidika kweli
 
Kwa wale mnaoijua nguvu ya roman Catholic duniani.

Papa wa Roma ana nguvu sanaa Kwa wafadhili wetu huko duniani. Kingine Cha kujitafakarisha kuwa TEC kwanini wameamua kujilipua bila woga wowote ule. Nini kipo nyuma yake?

Au ni bomu limetegwa?
Sababu hawana akili, ndio maana wamejilipua.
 
Ndivyo ulivyodanganywa kwenye kigango chako?

TEC wakusanyike pale Mwembe Yanga,halafu Mwamposa Mmoja awe Tamlnganyika Packers
Hata wakatoliki wataenda kwa Mwamposa.

Hapo sijamtaja Mwingila,sijamtaja Lusekelo,Sijawataja wachungajinwengine.
Halafu unakuja hapa na njaa zako kwamba TEC wana nguvu.
huna akili.
 
Naionya CCM na walio nyuma ya mkataba (wafaidika )wa huu mkataba wa kinyonyaji anguko lenu limewadia

Roma empire kwa nchi hii ni Alpha na Omega
Shindaneni lakini hamtashinda,dalili zi wazi kabisa mmeshashindwa mapema sana
 
Hahaha hahahaha hahahaha hahahaha hahahaha hahahaha hahahaha, kondoo za bwana mnachekesha Sana mjue.
 
Kete ya kwanza hiyo kwenye mchezo....

Baadhi ya Sisiemu wanatafsiri tec kama chadema😆😆😆
 
Ndivyo ulivyodanganywa kwenye kigango chako?

TEC wakusanyike pale Mwembe Yanga,halafu Mwamposa Mmoja awe Tamlnganyika Packers
Hata wakatoliki wataenda kwa Mwamposa.

Hapo sijamtaja Mwingila,sijamtaja Lusekelo,Sijawataja wachungajinwengine.
Halafu unakuja hapa na njaa zako kwamba TEC wana nguvu.
Unapoambiwa Roman wana nguvu chief elewa sio nguvu kujaza watu uwatoe mapepo,Rc ni taasisi
 
Naionya CCM na walio nyuma ya mkataba (wafaidika )wa huu mkataba wa kinyonyaji anguko lenu limewadia

Roma empire kwa nchi hii ni Alpha na Omega
Shindaneni lakini hamtashinda,dalili zi wazi kabisa mmeshashindwa mapema sana
Endelea kujidanganya tu.
 
Huyu mama anafanya maamuzi makubwa akijua fika hakuchaguliwa kwenye nafasi hiyo kwa kura za wananchi, yaani ni rais wa ngekewa.

Baada ya kuona reaction ya wananchi na makundi mbalimbali ya kijamii bado ameendelea kukaza fuvu.

Nchi za wenzetu kiongozi akipata upinzani mkubwa wa kisiasa kuhusu kutekeleza jambo fulani anaitisha uchaguzi wa mapema kutafuta kuungwa mkono, huyu naona kaamua kutafuta uungwaji mkono wa dini yake....yetu macho na masikio.​
Huyu sidhani kama atagombea 2025. Anachofanya ni kutuharibia nchi. Ngorongoro na Bandari haya mambo kamwe hawezi kuishi kwa amani.
 
Vatican inatawala dunia na ni zaidi ya taasisi ya kidini, na ustawi wa jamii inaangazia pia usalama, uhuru wa kuabudu, siasa ,demokrasia ujasusi kinga, sheria biashara utamaduni nkknk
Halafu kobazi mnyazi anaichukulia poa!!
 
Ndivyo ulivyodanganywa kwenye kigango chako?

TEC wakusanyike pale Mwembe Yanga,halafu Mwamposa Mmoja awe Tamlnganyika Packers
Hata wakatoliki wataenda kwa Mwamposa.

Hapo sijamtaja Mwingila,sijamtaja Lusekelo,Sijawataja wachungajinwengine.
Halafu unakuja hapa na njaa zako kwamba TEC wana nguvu.
Mm si Mkatoliki. Ila tuseme ukweli TEC it's an Organization ambayo Iko katika mpangilio mzuri. Hata kwenye kuchambua masuala mazito huwezi linganisha na Dini yeyote. Aidha, Roman Catholic it's the oldest organization hata kupitia Taifa kama Uingereza. Kwahiyo kuutawala wako vizuri.
 
Kwa wale mnaoijua nguvu ya roman Catholic duniani.

Papa wa Roma ana nguvu sanaa Kwa wafadhili wetu huko duniani. Kingine Cha kujitafakarisha kuwa TEC kwanini wameamua kujilipua bila woga wowote ule. Nini kipo nyuma yake?

Au ni bomu limetegwa?
Mlio wageni na Nyaraka za TEC mnafikiri hili ni jambo geeeeeeni!
 
Vatican inatawala dunia na ni zaidi ya taasisi ya kidini, na ustawi wa jamii inaangazia pia usalama, uhuru wa kuabudu, siasa ,demokrasia ujasusi kinga, sheria biashara utamaduni nkknk
Kwa hiyo tumetafuta uhuru ili tutawaliwe na Vatican hizi nazo akili kweli kabisa tutawaliwe na kitaifa hicho
Tanzania yetu ni huru haitatawaliwa na yeyote na wala hatukubali hilo.
 
Wakati anahutubia Mkutano Mkuu wa KKKT Rais Dk Samia alisema ameamua kukaa kimya dhidi ya malalamiko ya Mkataba wa Bandari na DP WORLD. Ila ukweli wa mambo inawezekana yeye alikaa kimya lakini Chama Chake na Serikali ilijitahidi kujibu mapigo.
Wote tunafahamu kuwa Mawaziri na makada walizinhuka nchi mzima kuelezea uzuri" wa Mkataba ule.Bahati mbaya sana mission ya ilifeli pakubwa! Baada ya kushindwa kujibu Nguvu za Hoja za Wapinzai wa Mkataba!
Tofauti na Mikutano iliyofanya na vyamavya Siasa kuhusu Bandari, mitandao ya kijamii Ndio inayotumika kujadili Mkataba huu.
Wote tunafahamu kundi kubwa la Watanzania sio watumiaji wa mitandao ya kijamii.
Kutokana nahali hii Waraka wa Kanisa Katoliki unakwenda kiwafikia Watanzania wengi zaidi ambao hawakupata fursa ya kuusikia aidha kutoka CCM,Chadema,au kupitia Waaharakati.Na Kumbuka Wakatoliki ni Wahafidhina ambao kupingana na maamuzi ya Kanisa lao ni ngumu sana! Hapo ndipo CCM inapoenda kumomonyoka miongoni mwa wafuasi wake.Hali hii itachagizwa na hali mbaya ya Uchumi iliyopo mitaani katika kipindi hiki!
Huu ni ukweli mchungu sana Kwa Rais Samia amabaye alipata uungwaji mkono mkubwa na kundi ambalo halikumkubali Rais Magufuli,na Kwa hakika huu ulikuwa ni Mtaji mkubwa sana kwake ...ila bahati mbaya umepotea! Na atalazimika kutumia gharama kubwa kuurejesha..Athari hizi ni mbaya zaidi Kwa CCM .
 
Baada ya wiki sita ya kusmwa kwa waraka makanisani, Watanzania wengi watakuwa na uelewa mpana sana.

CCM itarajie ugumu kwenye kampeni zijazo. Kuendelea kuwabeza TEC hakusaidii kuzuia anguko
 
Waumini Wananchi Wataelewa Vema Kinachoendelea Kati Ya Serikali Na Dubai World Port
Hapo Sasa Ndiyo Ccm Itakataliwa Taratibu Itabidi Nguvu Itumike Sana
 
Back
Top Bottom