Wewe kwa hiyo sasa si ntageuka mkatoliki yaani bado mara 5 .anyway ntaendaBaada ya wiki sita ya kusmwa kwa waraka makanisani, Watanzania wengi watakuwa na uelewa mpana sana.
CCM itarajie ugumu kwenye kampeni zijazo. Kuendelea kuwabeza TEC hakusaidii kuzuia anguko
Kwani Bakwata haina nguvu?Kwa wale mnaoijua nguvu ya roman Catholic duniani.
Papa wa Roma ana nguvu sanaa Kwa wafadhili wetu huko duniani. Kingine Cha kujitafakarisha kuwa TEC kwanini wameamua kujilipua bila woga wowote ule. Nini kipo nyuma yake?
Au ni bomu limetegwa?
BAKWATA ina nafasi yake, lakini huwa inatuhumiwa kuishi ndani ya mfuko wa serikaliKwani Bakwata haina nguvu?
Wewe ndie fala kwa sababu huelewi kwamba hao Maaskofu wa TEC sio hawa wa mitaani.Ushamba mzigo sana. Dunia ipi mnaiongelea? TEC ipi ina nguvu duniani?
Ndo mana tukiwaambiaga mtokege huko kwenye kuchunga ng'ombe mnatuona tunawadharau.
Tafuteni exposure.
Inatuhumiwa au ndiyo ukweli?BAKWATA ina nafasi yake, lakini huwa inatuhumiwa kuishi ndani ya mfuko wa serikali
Ukweli kwakoInatuhumiwa au ndiyo ukweli?
Lisemwalo lipoUkweli kwako
Kwetu ni tuhuma bado
Nisaidie copy ya waraka wa TEC kama unao. Mine is misplacedBaada ya wiki sita ya kusmwa kwa waraka makanisani, Watanzania wengi watakuwa na uelewa mpana sana.
CCM itarajie ugumu kwenye kampeni zijazo. Kuendelea kuwabeza TEC hakusaidii kuzuia anguko
Wako backed na system . We unafkir waliovujisha mkataba ni kina nan. Hahaha... Usicheze na system ndugu. Watu hatar .. wanavosemaga system ya bongo ni bora africa ndo ujue sasa.. ukiona jambo linakua hiv ujue system imegomaKwa wale mnaoijua nguvu ya roman Catholic duniani.
Papa wa Roma ana nguvu sanaa Kwa wafadhili wetu huko duniani. Kingine Cha kujitafakarisha kuwa TEC kwanini wameamua kujilipua bila woga wowote ule. Nini kipo nyuma yake?
Au ni bomu limetegwa?
Dunia ya leo haiendeshwi kama unavyofikiria. Hao wafadhili wapeleke misaada yao TEC.Kwa wale mnaoijua nguvu ya roman Catholic duniani.
Papa wa Roma ana nguvu sanaa Kwa wafadhili wetu huko duniani. Kingine Cha kujitafakarisha kuwa TEC kwanini wameamua kujilipua bila woga wowote ule. Nini kipo nyuma yake?
Au ni bomu limetegwa?
Hakuna mkataba wowote uliovuja, tusidanganyane hapa.Wako backed na system . We unafkir waliovujisha mkataba ni kina nan. Hahaha... Usicheze na system ndugu. Watu hatar .. wanavosemaga system ya bongo ni bora africa ndo ujue sasa.. ukiona jambo linakua hiv ujue system imegoma
Hiv ushaona katolik wanafanya mihadhara.. mikutano.. kutoa pepo.. kutabiria watu.. matangazo redion.. promo had za kwenye tv... Wasafi...Ndivyo ulivyodanganywa kwenye kigango chako?
TEC wakusanyike pale Mwembe Yanga,halafu Mwamposa Mmoja awe Tamlnganyika Packers
Hata wakatoliki wataenda kwa Mwamposa.
Hapo sijamtaja Mwingila,sijamtaja Lusekelo,Sijawataja wachungajinwengine.
Halafu unakuja hapa na njaa zako kwamba TEC wana nguvu.
Tulia weweDunia ya leo haiendeshwi kama unavyofikiria. Hao wafadhili wapeleke misaada yao TEC.
Tusitishane kijinga.
Jiwe alikujomesha hadi ukawa unaishi kama mkimbiziHakuna mkataba wowote uliovuja, tusidanganyane hapa.
Tanzania ya leo ni RRRR.
Sawa..Hakuna mkataba wowote uliovuja, tusidanganyane hapa.
Tanzania ya leo ni RRRR.
Kanisa Katoliki litabaki kama taasisi ya dini isiyo na mamlaka au madaraka ya kiserikali. Tusipotoshe maudhui yaliyomo kwenye Waraka wa TEC.Kwa wale mnaoijua nguvu ya roman Catholic duniani.
Papa wa Roma ana nguvu sanaa Kwa wafadhili wetu huko duniani. Kingine Cha kujitafakarisha kuwa TEC kwanini wameamua kujilipua bila woga wowote ule. Nini kipo nyuma yake?
Au ni bomu limetegwa?
AttachedNisaidie copy ya waraka wa TEC kama unao. Mine is misplaced
Hiyo nguvu haitoki kwa Mungu bali kwa yule adui, wasikutishe kabisaKwa wale mnaoijua nguvu ya roman Catholic duniani.
Papa wa Roma ana nguvu sanaa Kwa wafadhili wetu huko duniani. Kingine Cha kujitafakarisha kuwa TEC kwanini wameamua kujilipua bila woga wowote ule. Nini kipo nyuma yake?
Au ni bomu limetegwa?
Wakioa tu akili zitawarudia.Kwa wale mnaoijua nguvu ya roman Catholic duniani.
Papa wa Roma ana nguvu sanaa Kwa wafadhili wetu huko duniani. Kingine Cha kujitafakarisha kuwa TEC kwanini wameamua kujilipua bila woga wowote ule. Nini kipo nyuma yake?
Au ni bomu limetegwa?