TEC: Mhashamu Baba Askofu Wolfgang Pisa, Rais Mpya TEC. Rais Samia atuma salamu za pongezi

TEC: Mhashamu Baba Askofu Wolfgang Pisa, Rais Mpya TEC. Rais Samia atuma salamu za pongezi

kanisa katoliki limechafuliwa sana na hili la paroko kutuhumiwa mauwaji ya mtoto albino

wanaonekana kama kuna mambo mengi ndani yao hayako sawa
Kanisa limeshachukua hatua ya kumsimamisha maana halihusiki na uovu wake. Hatua nyingine za uovu wake ziko mikononi mwa jamuhuri. Kanisa lingekaa kimya kama serekali ilivyomkalia kimya Bashe kutokana na ushahidi wa Mpina, hapo ungesema kanisa linalinda uovu.
 
Kanisa limeshachukua hatua ya kumsimasha maana halihusiki na uovu wake. Hatua nyingine za uovu wake ziko mikononi mwa jamuhuri. Kanisa lingekaa kimya kama serekali ilivyomkalia kimya Bashe kutokana na ushahidi wa Mpina, hapo ungesema kanisa linalonda uovu.
Sahihi kabisa
 
Dini ya Wazungu ililetwa na wakoloni ili kututawala! eti maehemu RC anaitwa Mtakatifu ila sis Waafrika babu zetu wanitwa Mizimu! Ni upumbavu tu kwa sis Waafrika kutojitambua! Wahaindi, Wajapani, wachina hata Waisraeli hawana hii mambo!
 
Dini ya Wazungu ililetwa na wakoloni ili kututawala! eti maehemu RC anaitwa Mtakatifu ila sis Waafrika babu zetu wanitwa Mizimu! Ni upumbavu tu kwa sis Waafrika kutojitambua! Wahaindi, Wajapani, wachina hata Waisraeli hawana hii mambo!
Sura ya mtu iliyochongwa Kwa udongo au miti ya mzungu huitwa sanamu ya mwafrika huitwa kinyago
 
Hongera sana Baba Askofu - Rais mpya wa Baraza la Maaskofu. Tunakuombea utuongoze kwa Imani ya dini yetu ya Kikatoliki. Pia Hongera Jembe letu Padri Kitima kwa kuteuliwa kuendelea kuwa Katibu Mkuu wa TEC.
 
Kanisa limeshachukua hatua ya kumsimamisha maana halihusiki na uovu wake. Hatua nyingine za uovu wake ziko mikononi mwa jamuhuri. Kanisa lingekaa kimya kama serekali ilivyomkalia kimya Bashe kutokana na ushahidi wa Mpina, hapo ungesema kanisa linalonda uovu.
itoshe kusema hili imewaongezea doa
 
itoshe kusema hili imewaongezea doa
Hakuna la ajabu hapo maana makasisi sio malaika, bali ni wanadamu, hivyo kukengeuka kwa baadhi yao inawezekana. Cha muhimu ni taasisi kuchukua hatua stahiki dhidi ya mtumishi wake muovu.
 
Hakuna la ajabu hapo maana makasisi sio malaika, bali ni wanadamu, hivyo kukengeuka kwa baadhi yao inawezekana. Cha muhimu ni taasisi kuchukua hatua stahiki dhidi ya mtumishi wake muovu.
ni ajabu kwa mpakwa mafuta kukengeuka hili swala si la kuchukuliwa juju
 
Mama Abdul anadhani Kuna unafuu kwake kuchaguliw raisi mpya wa tech

Utasikia Abdul alitenda kumpongeza na zawadi

Mambo bado magumu huko tuendako
Hujui unachokiongea wewe! kwa taarifa yako kanisa katoliki halijawahi kuwa na tofauti 'kubwa' na SERIKALI ama CCM tangia tupate uhuru, ukisikia 'tofauti' basi ni za kawaida tu, na huwa zinamalizwa fasta! kwa hivyo ukisikia pongezi elewa MAMA anajuwa anachikifanya ' The two are true partners' wewe kama ni muumini wa katoliki nenda kapate huduma ya kiroho urudi nyumbani kwako!
 
Tangu lini katoliki ilikuwa safi. Huduma na makanisa yote ni vichaka vya maovu kwa miaka mingi.

1. Ufiraji na unajisi ndani ya katoliki ni suala sugu.
2. Migogoro ya kugomabania madaraka na fedha ndani ya KKKT ni suala sugu.
3. Migawanyiko inayosababishwa na fedha ndani ya Pentecostal churches inayopelekea kuibuka kwa huduma za mtu mmoja mmoja (ministries) ni suala sugu.
4. Biashara ya madawa ya kulevya na ulozi ndani ya ministries ni suala sugu
Daah, Nadhani Mungu atakujibu vile unastahili
 
Huyu Katibu ni lini atapisha wengine waongoze? Kila wakati ni yeye tuu!!!
 
Dini ya Wazungu ililetwa na wakoloni ili kututawala! eti maehemu RC anaitwa Mtakatifu ila sis Waafrika babu zetu wanitwa Mizimu! Ni upumbavu tu kwa sis Waafrika kutojitambua! Wahaindi, Wajapani, wachina hata

Dini ya Wazungu ililetwa na wakoloni ili kututawala! eti maehemu RC anaitwa Mtakatifu ila sis Waafrika babu zetu wanitwa Mizimu! Ni upumbavu tu kwa sis Waafrika kutojitambua! Wahaindi, Wajapani, wachina hata Waisraeli hawana hii mambo!
hapo vipi 👇👇👇🍽
 
Naona CHADEMA mmeongezewa nguvu

Wewe naona unaota CHADEMA wakati wote!! CHADEMA inaingiaje hapa kwenye salamu na pongezi za Rais? Ukisikia watu huwa wamechanganyikiwa akili, ni kama haya yanayokutokea.

Pole sana kwa maradhi haya ynayoyapitia.
 
Wametoa waraka kulaani mauaji ya mtakatifu Asimwe yaliyoratibiwa na kasisi wao Padre Elpidius ?
Comeon wabongo. Tumieni akili zenu vizuri japo elimu yetu ni duni! Kuna waraka mkubwa kuliko kumsimamisha utume?
 
kanisa katoliki limechafuliwa sana na hili la paroko kutuhumiwa mauwaji ya mtoto albino

wanaonekana kama kuna mambo mengi ndani yao hayako sawa
Utashangazwa kama huna uelewa wa neno la Mungu.

Shetani yupo kazini siku zote. Anaweza kufanya kazi kwa kupitia padre, askofu, mchungaji, Rais, waziri, askofu mkuu, na hata kupitia Papa. Na shetani anawatafuta sana hao wenye mamlaka, maana akiwapata hao, wengi wataangamia kupitia huyo kiongozi.

Unatakiwa kuomba sana ili Mungu akujalie hekima ya kumtambua kiongozi ambaye ni kinyume cha neno la Mungu ili nawe usiangamie kupitia kiongozi huyo.
 
Back
Top Bottom