Madueke
JF-Expert Member
- Jul 5, 2023
- 318
- 379
Hayo haulizi,,,,kaka jana nimeenda na shemeji yako government hospital huwezi amini ultrasound ya hospital haifanyi kazi ikabidi wanidirect hospital ya roman afu ndo nitoke. Navipimo kule niwaleteeeMbona huulizi wanapojenga shule, hospitali, vyuo vyaufundi na vikuu, n.k. wananchi wanakosa huduma bora kulifanya kanisa lotumie rasilimali zake kutoa huduma hizo, sababu ni mfumo mbovu wa kisiasa. Hivyo wameamua na wao(ni sehemu ya raia) kutaka mambo yakae sawa ili kupunguza mzigo kwa kanisa.