Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio unajua leo? TEC na BAKWATA ni washirika wa CCM siku nyingi.Nafungua maswali na uzi wangu kwa nukuu hii" KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA".
Hivi hili baraza la maaskofu katoliki Tanzania (TEC) ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi ?
Kwa nini mijadala mingi na mambo mengi ya kisiasa wanakuwa nayo kimbelembele kuyazungumzia na kuyatolea matamko na waraka lakini mambo yao ya kidini yanayo husisha masuala kadha wa kadha yenye mikanganyiko wanaficha vichwa ndani ya mashuka na kukaa kimya kama hawajui chochote kile ?
Kwani nini TEC isisajiliwe rasmi na kujulikana chama cha kisiasa official kuliko haya maigizo yanayo endelea ?
Uhuru wa Tanganyika ulichangiwa kwa asilimia 80% na hao hao TEC ambao unawaona siyo wa muhimu leo baada ya kuvimbiwa.Nafungua maswali na uzi wangu kwa nukuu hii" KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA".
Hivi hili baraza la maaskofu katoliki Tanzania (TEC) ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi ?
Kwa nini mijadala mingi na mambo mengi ya kisiasa wanakuwa nayo kimbelembele kuyazungumzia na kuyatolea matamko na waraka lakini mambo yao ya kidini yanayo husisha masuala kadha wa kadha yenye mikanganyiko wanaficha vichwa ndani ya mashuka na kukaa kimya kama hawajui chochote kile ?
Kwani nini TEC isisajiliwe rasmi na kujulikana chama cha kisiasa official kuliko haya maigizo yanayo endelea ?
Vyote kwa sababu ndiyo kazi ya Mbatizwa yeyote duniani kuleta Mwanga,Matumaini na Amani kwa watu wote.Wewe mwenye akili kazi ya madhehebu ni kutangaza habari za kimungu au kujishughulisha na harakati za kisiasa ?
Kabisa.Swali la kijinga.
Serikali hiyo ilishuka mbinguni kama kimondo cha Mbozi?Hakuna ulazima wa wao kufanya hivyo vitu hiyo sio kazi yao ni kazi ya serikali kwa 100%
Vyote kwa pamoja,na ukumbuke MWANZO 1:26-29,Mungu akasema na tumfanye mtu kwa sura yetu na kwa mfano wetu akatawale ndege wa angani,wanyama wa porini na viumbe vyote vya baharini.Hapo ndiyo mwanzo wa siasa ,Siasa siyo uadui bali siasa na maendeleo ya Kimungu ndani ya binadamu ili kuineemesha dunia aliyoiumba Mungu Mwenyezi.TEC ni chombo cha kidini au chama cha kisiasa kisicho rasmi ?
Acha unafiki Rwanda tatizo ni ukabila na si vinginevyo.Mwongo wewe
Kanisa la Roma ndio vinara wa kuchochea mauaji.
Research mauaji ya Kimbari Rwanda ambako mafuvu ya vichwa vya watu yalikutwa makanisani.
Na mapadri wa kanisa lenu la Roma walihusika mpk kushtakiwa
Jaribu uone.Hao watu dawa Yao ni Moja tuu kuwabinya kama Wanasiasa wengine
Nenda kaiulize Serikali yako ya ccm kuhusu hili jambo?Kazi yao ni kujenga makanisa waumini wajihifadhi humo ndani wasipigwe na mvua wala jua sio kujenga hospital na shule hiyo sio kazi yao ni kazi ya serikali kwa 100%.
Dini na siasa unawezaje kuvitenga? Kazi ya viongozi wa kidini ni kukemea uovu bila kujali uovu huo umetendwa na nani. Kwa upande wa Wakristo, Yohana mbatizaji alimkemea Mfalme Herode kwa kuoa mke wa ndugu yake, adhabu alikatwa kichwa. Kwa Waislamu, Mtume Muhammad alipigana vita kupinga udhalimu. Dini na siasa unawezaje kuvitenga? Hawa CCM wakemewe kwa uovu wanafanya, kuvuruga chaguzi, kuuza bandari, kuhamisha Wamaasai kwa nguvu, kugeuza bunge kuwa la Chama kimoja, na Sasa mahakama nayo imeingiliwa iwe inatoa maamuzi yanayawapendeza wao, DPP kafuta kesi ya kijana aliyewekewa chupa makalioni. Uovu unapokemewa wewe unamsema dini na siasa?Nafungua maswali na uzi wangu kwa nukuu hii" KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA".
Hivi hili baraza la maaskofu katoliki Tanzania (TEC) ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi ?
Kwa nini mijadala mingi na mambo mengi ya kisiasa wanakuwa nayo kimbelembele kuyazungumzia na kuyatolea matamko na waraka lakini mambo yao ya kidini yanayo husisha masuala kadha wa kadha yenye mikanganyiko wanaficha vichwa ndani ya mashuka na kukaa kimya kama hawajui chochote kile ?
Kwani nini TEC isisajiliwe rasmi na kujulikana chama cha kisiasa official kuliko haya maigizo yanayo endelea ?
Mkawatishe mbuzi,huko America wametiwa mbaroni maaskofu kibao na hakuna kilichofanyika,the likes to The PhillipinesJaribu uone.
Safi sana mkuu huyo jamaa kwenye mambo ya Siasa na Utawala yuko nyuma sana.Wajinga mpo wengi sana Mkiiba kura wakati kuapishwa mnawaita Viongozi wa Dini mkinunua ndege mnawaita waziombee
Kwenye majanga mnawaita waziombee
Ila mkutunga Sheria za hovyo na uonevu mnataka wakae kimya
KUMBUKA viongozi wa Dini ni Sehemu ya Raia kura wanapiga kama raia wengine Katiba mbovu ikitungwa hata wao itawahusu
Hivyo wana haki jatika SIASA za nchi yao
ACHA KUANDIKA ujinga
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Jaribu uone,mbona una jazba sana.Mkawatishe mbuzi,huko America wametiwa mbaroni maaskofu kibao na hakuna kilichofanyika,the likes to The Phillipines
Wanatushauri kuhusu uchahuzi wakati wao wanateuliwa vatican hata hatujui usaili unafanyikaje, wanatushauri kuhusu ndoa wao hata vimada hawanaNafungua maswali na uzi wangu kwa nukuu hii" KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA".
Hivi hili baraza la maaskofu katoliki Tanzania (TEC) ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi ?
Kwa nini mijadala mingi na mambo mengi ya kisiasa wanakuwa nayo kimbelembele kuyazungumzia na kuyatolea matamko na waraka lakini mambo yao ya kidini yanayo husisha masuala kadha wa kadha yenye mikanganyiko wanaficha vichwa ndani ya mashuka na kukaa kimya kama hawajui chochote kile ?
Kwani nini TEC isisajiliwe rasmi na kujulikana chama cha kisiasa official kuliko haya maigizo yanayo endelea ?
Weupe weupe wanasuburi kwenda peponi kula bikra 72😄😄😄😄Bora hao tec Ni wasomi watupu kuliko lile Baraza fln HV ambako wato Ni weupe kichwani
Punguza jazba bwashee,Habari imepenya vyema penye mshono.Wanatushauri kuhusu uchahuzi wakati wao wanateuliwa vatican hata hatujui usaili unafanyikaje, wanatushauri kuhusu ndoa wao hata vimada hawana