johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hamas na Hezbollah wanamtesa 😂Sema siku hizi umekua mpole, sijui na umri unachangia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamas na Hezbollah wanamtesa 😂Sema siku hizi umekua mpole, sijui na umri unachangia
Hofu za kijinga unazo wewe mimi nimeuliza maswali tuAcha HOFU za kijinga,
Mimi mwenyewe najiulizaga kwann baadhi ya mashehe utakuta wamevalia sare za ccm na wako wanakula wali baada ya kumaliza vikao vya chamaNafungua maswali na uzi wangu kwa nukuu hii" KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA".
Hivi hili baraza la maaskofu katoliki Tanzania (TEC) ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi ?
Kwa nini mijadala mingi na mambo mengi ya kisiasa wanakuwa nayo kimbelembele kuyazungumzia na kuyatolea matamko na waraka lakini mambo yao ya kidini yanayo husisha masuala kadha wa kadha yenye mikanganyiko wanaficha vichwa ndani ya mashuka na kukaa kimya kama hawajui chochote kile ?
Kwani nini TEC isisajiliwe rasmi na kujulikana chama cha kisiasa official kuliko haya maigizo yanayo endelea ?
Hakuna ulazima wa wao kufanya hivyo vitu hiyo sio kazi yao ni kazi ya serikali kwa 100%Mbona huulizi wanapojenga shule, hospitali, vyuo vyaufundi na vikuu, n.k. wananchi wanakosa huduma bora kulifanya kanisa lotumie rasilimali zake kutoa huduma hizo, sababu ni mfumo mbovu wa kisiasa. Hivyo wameamua na wao(ni sehemu ya raia) kutaka mambo yakae sawa ili kupunguza mzigo kwa kanisa.
Nafungua maswali na uzi wangu kwa nukuu hii" KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA".
Hivi hili baraza la maaskofu katoliki Tanzania (TEC) ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi ?
Kwa nini mijadala mingi na mambo mengi ya kisiasa wanakuwa nayo kimbelembele kuyazungumzia na kuyatolea matamko na waraka lakini mambo yao ya kidini yanayo husisha masuala kadha wa kadha yenye mikanganyiko wanaficha vichwa ndani ya mashuka na kukaa kimya kama hawajui chochote kile ?
Kwani nini TEC isisajiliwe rasmi na kujulikana chama cha kisiasa official kuliko haya maigizo ...
TEC ni chombo cha kidini au chama cha kisiasa kisicho rasmi ?Kutoa tu maoni umeshakasirika. Wametoa maoni kwamba wafanyakazi wa serikali wasihusike kwenye kusimamia uchaguzi. Kuna kosa hapo.
Wana matatizoMimi mwenyewe najiulizaga kwann baadhi ya mashehe utakuta wamevalia sare za ccm na wako wanakula wali baada ya kumaliza vikao vya chama
Ingekuwa hivyo hata wewe lep hii usingeijua JF. Si ajabu hata wazazi wako wangekuwa wamekufa kwa kukosa huduma ya afya.Hakuna ulazima wa wao kufanya hivyo vitu hiyo sio kazi yao ni kazi ya serikali kwa 100%
Mwongo weweFaiza. Kanisa lina uzoefu wa zaidi ya miaka 1000 pale wanapokaa kimya hali mbaya ikajitokeza. Vita ikijikeza watu hukimbilia kanisani tena kanisa katoliki. Hivyo wameamua kutosubiri kipokea wakimbizi bali kuzuia hali mbaya kwa gharama yeyote ile.
Kaiulize, mimi niko hai siwezi kuijibia.Kwani maiti inasema ?
Nasema hivi kazi ya kutoa huduma za kijamii ni kazi ya serikali kwa 100% tena katika nchi ya kikomunisti au kijamaa hilo ni jukumu la serikali lisilo na maswali yoyote wewe ndie mpumbavu usiejua wajibu wa serikali yako kwako na ndio maana maccm yanatawala muda mrefu hivi matahira kama haya yamejaa nchini unategemea nini sasa ? foolishIngekuwa hivyo hata wewe lep hii usingeijua JF. Si ajabu hata wazazi wako wangekuwa wamekufa kwa kukosa huduma ya afya.
Hivi uliwahi kufikiria kama kusingekuwa na private school we ungekuwa wapi?
Uwekezaji wa shule, hospital n.k ni kwa sababu ha uzembee wa serikali sasa. Naamini unaelewa nini kingekuwa kimetokea kana kanisa halikuwekeza kwenye 1,689 hospital zaidi 500+ vyuo vua veta zaidi 230+ etc. Ficha upumbavu wako
Weka Uzi uliohoji alipokuwa hai akitumia nyumba za ibada kutakatisha siasa zake chafu.Kwani maiti inasema ?
Kwani wewe ni Faisa.Mwongo wewe
Kanisa la Roma ndio vinara wa kuchochea mauaji.
Research mauaji ya Kimbari Rwanda ambako mafuvu ya vichwa vya watu yalikutwa makanisani.
Na mapadri wa kanisa lenu la Roma walihusika mpk kushtakiwa
Uko sahihi. Tunakoelekea serikali iwemakini na hiki kikundi, isije ikawa mbeleni ni chama cha kisiasa. Ee Yesu tuepushee na hawa jaamaaNafungua maswali na uzi wangu kwa nukuu hii" KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA".
Hivi hili baraza la maaskofu katoliki Tanzania (TEC) ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi ?
Kwa nini mijadala mingi na mambo mengi ya kisiasa wanakuwa nayo kimbelembele kuyazungumzia na kuyatolea matamko na waraka lakini mambo yao ya kidini yanayo husisha masuala kadha wa kadha yenye mikanganyiko wanaficha vichwa ndani ya mashuka na kukaa kimya kama hawajui chochote kile ?
Kwani nini TEC isisajiliwe rasmi na kujulikana chama cha kisiasa official kuliko haya maigizo yanayo endelea ?
Huu sio uzi wa maitiKaiulize, mimi niko hai siwezi kuijibia.
Hii account haikuwepo wakati wa magufuliWeka Uzi uliohoji alipokuwa hai akitumia nyumba za ibada kutakatisha siasa zake chafu.
Kanisa linamhudumia mwanadamu kimwili na kiroho. Ndiyo maana wanajenga shule na hospitali.Hakuna ulazima wa wao kufanya hivyo vitu hiyo sio kazi yao ni kazi ya serikali kwa 100%
Kuwa viongozi wa dini haiwazuii kuikosoa serikali kwani na wao ni sehemu ya wananchi wakitanzania mbona hao viongozi wa dini wanaoleta uchawa kwakusifia tuu serikali mbona hua uulizi hili swaliNafungua maswali na uzi wangu kwa nukuu hii" KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA".
Hivi hili baraza la maaskofu katoliki Tanzania (TEC) ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi ?
Kwa nini mijadala mingi na mambo mengi ya kisiasa wanakuwa nayo kimbelembele kuyazungumzia na kuyatolea matamko na waraka lakini mambo yao ya kidini yanayo husisha masuala kadha wa kadha yenye mikanganyiko wanaficha vichwa ndani ya mashuka na kukaa kimya kama hawajui chochote kile ?
Kwani nini TEC isisajiliwe rasmi na kujulikana chama cha kisiasa official kuliko haya maigizo yanayo endelea ?
Hao watu dawa Yao ni Moja tuu kuwabinya kama Wanasiasa wengineNafungua maswali na uzi wangu kwa nukuu hii" KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA".
Hivi hili baraza la maaskofu katoliki Tanzania (TEC) ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi ?
Kwa nini mijadala mingi na mambo mengi ya kisiasa wanakuwa nayo kimbelembele kuyazungumzia na kuyatolea matamko na waraka lakini mambo yao ya kidini yanayo husisha masuala kadha wa kadha yenye mikanganyiko wanaficha vichwa ndani ya mashuka na kukaa kimya kama hawajui chochote kile ?
Kwani nini TEC isisajiliwe rasmi na kujulikana chama cha kisiasa official kuliko haya maigizo yanayo endelea ?