TEC toeni tamko kukemea ubaguzi kwenye elimu

TEC toeni tamko kukemea ubaguzi kwenye elimu

Shule za st (zinazomilikiwa na ROMAN CATHOLIC) huwezi kulinganisha na shule zingin, Kuanzia,tabia mpka taaluma. Labda nikuulize mwanafunzi wa darasa la nne ambae hana uwezo akifeli necta anaruhusiwa kwenda la tano au anatengwa? Je darasa la saba ambaye hana uwezo huwa anaenda kidato cha kwanza hvo hvo au anatengwa?
Inaonekana una chuki binafsi na TEC ila nnachoweza kukwambia ni kuwa siku ukiempeleka mwanao shule hizo afu ujiskie tu kumtembelea bila ruhusa utaishia getini. Wanaamini katika maadili kuliko hata hiyo ada unayotoa
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.
Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.
Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.
TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.
Tanzani yetu ni moja.
Serikali iboreshe shule zake
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.
Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.
Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.
TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.
Tanzani yetu ni moja.
Hiyo elimu unapewa bure? Kama si bure shule ziko nyingi kutokana na bajeti yako, ama fuata ya imani yako. Tofauti na hapo hoja yako haina mashiko.
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.
Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.
Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.
TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.
Tanzani yetu ni moja.
Mpuuzi kama umetumwa ukadhani mfumo wa kanisa Takatifu Katoliki la Mitume ni la kienyeji imekula kwao. Nyaraka za kanisa hazitolewi kwa shinikizo,Wala maelekezo ya mtu yoyote isipokuwa na kwa kanisa lenyewe SUO MOTO. Nyaraka unazosikia ni za kichungaji na zilikuwrpo tangu kuanza kwa kanisa na unaweza kuziona kwenye biblia, kwa wagalitia, wakorinto, wakolosai nk. . ROMA LUCUTA CAUSA FINITA
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.
Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.
Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.
TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.
Tanzani yetu ni moja.
Shule za kikatoliki hazitaki watu ma zwazwa.Tuliosoma Itaga seminar tupo humu
 
Issue sio TEC watoe tamko bali Wizara ya Elimu kama mtoto ulimchukua form one au darasa la kwanza kwamba ana uwezo kama akipwaya basi ameharibika mikononi mwako haya mambo ya kumfukuza ili wote wapate one hence kuongeza soko ni Upuuzi unaofanywa na shule nyingi sio Katoliki tu....

Elimu ni kumtoa mtu hatua moja mpaka nyingine sio kiwanda cha kuzalisha Division one...
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.
Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.
Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.
TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.
Tanzani yetu ni moja.
Kwa mawazo yako haya, ina maana hata wanafunzi waliopata Division 0 form 4, waendelee form 5, wakiachwa ni ubaguzi. Na waliopata division 0 form 6, waendelee chuo kikuu, wakiachwa ni ubaguzi!!

Hii post haina maana yoyote, ifute, kwa sababu inakuaibisha.
 
Mimi nadhani wanakuonea huruma wewe mzazi na ni msaada kwako pia maana huyo mtoto hasomi bure ni hela unatumia.

Kwa sababu kama mwanao mwaka wa kwanza mpaka wa tatu anarudishwa darasa lile lile kwanini wasikupe mwanao ukaangalie option nyengine?shule za Catholic siyo matapeli tofauti na shule binafsi hata mtoto wako azungushe vipi ukiomba walimu wao ushauri kama wanaonaje ukimuhamisha wanakujibu “huyu mwanao mbona genius,tulikuwa nao zaidi ya huyu na walikaa vizuri we usijali” unafarijika unazidi kulipa ada mpaka siku akili zako zitakapoona sasa inatosha.
 
Tunapenda sana shortcut bila kuweka juhudi. Mtoto anakaa kwenye TV Jumatatu mpaka Jumatatu, mzazi yuko busy na iPhone 15 then anataka TEC wamuingize tu kwenye shule zao bila kufaulu.
😄😅😃😀😁😃😃😃😃😅😅😀😀😁😁
 
Hii si ni taasisi ya dini ?taasisi ya dini inaruhusiwa kuchochea ubaguzi?
Ndugu yangu umeleta post yenye upeo mdogo sana wa fikra.

Hivi hujui kuwa kila mahali ili uweze kukubalika ni lazima ufikie minimum criteria? Ipo hivyo kwa shule, vyuo mpaka ajira.

Yawezekana umeandika hii post ukiwa umeghafirika, ukiwa umeondoka kwenye utulivu wa akili. Ukiisoma tena na kufikiri kwa umakini, utajilaumu kwa kuleta kitu cha kukudhalilisha.
 
Back
Top Bottom