TEC toeni tamko kukemea ubaguzi kwenye elimu

TEC toeni tamko kukemea ubaguzi kwenye elimu

Mimi nadhani wanakuonea huruma wewe mzazi na ni msaada kwako pia maana huyo mtoto hasomi bure ni hela unatumia.

Kwa sababu kama mwanao mwaka wa kwanza mpaka wa tatu anarudishwa darasa lile lile kwanini wasikupe mwanao ukaangalie option nyengine?shule za Catholic siyo matapeli tofauti na shule binafsi hata mtoto wako azungushe vipi ukiomba walimu wao ushauri kama wanaonaje ukimuhamisha wanakujibu “huyu mwanao mbona genius,tulikuwa nao zaidi ya huyu na walikaa vizuri we usijali” unafarijika unazidi kulipa ada mpaka siku akili zako zitakapoona sasa inatosha.
😄
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.

Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.

Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.

TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.

Tanzani yetu ni moja.
Wewe ndo hujitambui kabisa? Nani alikuambia ili uishi na ufanikiwe lazima usome shule za taasisi za dini? Kila shule ujiwekea vigezo ambavyo mzazi au mwanafunzi lazima kukizi, ukishindwa kosa si la taasisi bali ni lako mwenyewe! Shule ziko nyingi za kusoma! Nenda shule za umma/serikali kwani umekatazwa? Bichwa limejaa makamasi halina akili alafu unang'ang'ana usome shule za washua? Hiyo shule ya babaako? Shwaini! Kalaghabao!
 
Mpeleke folodhani secondary.... Kwani sio shule?. Mara zote ni ngumu mtoto akawa huru kusoma kwenye mazingira yasiyo rafiki na dini yake. Shule za kidini Mara nyingi uhusisha dini zao hata kwenye Mambo mengine ya kishule, ni mzazi mpumbavu aliye mkristo au muislam anaweza mpeleka mwanae shule tofaut na dini yake.
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.

Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.

Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.

TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.

Tanzani yetu ni moja.
Nilidhani una hoja... lakini kumbe unatetea kina Paulo Albert Bashite 😂😂😂
Kanisa linastahili kupongezwa kwa hatua yao muhimu inayokusaidia usiendelee kupoteza rasilimali muda na fedha.
Kama unaona kuna shule wanapitishwa ovyo bila mchujo basi chap kwa haraka mpeleke huko!
Ukiendelea kulalamika utafanya tuone kuwa mwanao yupo vizuri kuliko wewe!!😂😂
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.

Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.

Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.

TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.

Tanzani yetu ni moja.
Tujenge zetu mkuu. Tuwaachie zao.
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.

Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.

Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.

TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.

Tanzani yetu ni moja.
Aje yule fatha kitima
 
Wewe ndo hujitambui kabisa? Nani alikuambia ili uishi na ufanikiwe lazima usome shule za taasisi za dini? Kila shule ujiwekea vigezo ambavyo mzazi au mwanafunzi lazima kukizi, ukishindwa kosa si la taasisi bali ni lako mwenyewe! Shule ziko nyingi za kusoma! Nenda shule za umma/serikali kwani umekatazwa? Bichwa limejaa makamasi halina akili alafu unang'ang'ana usome shule za washua? Hiyo shule ya babaako? Shwaini! Kalaghabao!
Endelea kukumbati ubaguzi ,hivi huoni aibu taasisi kama TEC kukumbatia ubaguzi?
 
Nilidhani una hoja... lakini kumbe unatetea kina Paulo Albert Bashite 😂😂😂
Kanisa linastahili kupongezwa kwa hatua yao muhimu inayokusaidia usiendelee kupoteza rasilimali muda na fedha.
Kama unaona kuna shule wanapitishwa ovyo bila mchujo basi chap kwa haraka mpeleke huko!
Ukiendelea kulalamika utafanya tuone kuwa mwanao yupo vizuri kuliko wewe!!😂😂
Endeleea kushabikia ubaguzi iko siku utaelewa tu
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.

Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.

Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.

TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.

Tanzani yetu ni moja.
Mwanao kama ni kilaza mpeleke shule za serikali au za BAKWATA, TEC wanautaratibu wao ndiyo maana na ada zao ni kubwa.
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.

Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.

Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.

TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.

Tanzani yetu ni moja.
Mkuu shule za kata hujaziona? Huko hata kama hajui kusoma atamaliza tu shule hakuna maokoto.
 
Tunapenda sana shortcut bila kuweka juhudi. Mtoto anakaa kwenye TV Jumatatu mpaka Jumatatu, mzazi yuko busy na iPhone 15 then anataka TEC wamuingize tu kwenye shule zao bila kufaulu.
Ampeleke government hakuna hata ada ni free kule wanapokea hakuna shida
 
Nani kawakataza wao kuwa na akili?
Yaani wewe mleta uzi ni kenge kabisaa.
 
Acheni kutetea ujinga ,haiwezekani kila mwanafunzi awe na uwezo darasani unaofana
Hivi chuo kikuu cha DSm hakina vigezo vya kuingia hapo chuoni, je kwenye kupata ajira serikalini hakuna vigezo , hivi Oxford University haeana ubaguzi
 
Back
Top Bottom