TEC toeni tamko kukemea ubaguzi kwenye elimu

TEC toeni tamko kukemea ubaguzi kwenye elimu

Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.

Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.

Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.

TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.

Tanzani yetu ni moja.
Hayo matamko yao yana impact gani, Tec waache kujisumbua Serikali hawezi badili misimamo yake kwa matamko ya Tec. Tec ni Makanisani sio kwenye jamii.
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.

Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.

Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.

TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.

Tanzani yetu ni moja.
WAkati anaenda hiyo shule ulikubaliana na hayo masharti,
Mwanao uwezo mdogo umemtoa siyo ubaguzi, peleka shule ambazo ni kokoro linabeba kila kitu.
 
Shule za katoliki hazibagui imani ya mtoto. Kama ana vigezo anachukuliwa. Na atafuata taratibu zote za pale kama kwenda kanisani, kusali rosary ni lazima...
Waislam baadhi wanaojua umuhimu wa shule hupeleka watoto wao pale.
Hawabadilishwi dini ila ni lazima kufata utaratibu wa kikatoliki wakiwa shuleni.
Ndio nimwambia kama hapendi yanayoendana na muktadha wa should husika atafute should yenye mlengo wa dini yake. Mwanafunzi hawezi badili utaratibu wa shule za taasisi ya dini!.
 
Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.

Wakemee ubaguzi?!!!! [emoji115]Huu unaotaka ndio ubaguzi mkubwa zaidi.
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.

Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.

Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.

TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.

Tanzani yetu ni moja.
Shule zinazomilikiwa na bakwata na taasisi zingine za kiislam,Hakuna ubaguzi?
Tuanzie hapo Kwanza.
 
Ndio nimwambia kama hapendi yanayoendana na muktadha wa should husika atafute should yenye mlengo wa dini yake. Mwanafunzi hawezi badili utaratibu wa shule za taasisi ya dini!.
Kwa hiyo mnaamini kabisa kuwa wanafunzi wasipara daraja A hawastahili kusoma?
 
Tunapenda sana shortcut bila kuweka juhudi. Mtoto anakaa kwenye TV Jumatatu mpaka Jumatatu, mzazi yuko busy na iPhone 15 then anataka TEC wamuingize tu kwenye shule zao bila kufaulu.
Wamezoea kutumia Basha kupata nafasi, TEC hawana mchezo Kwa elimu.
 
Kumwondoa mwanafunzi anaesoma pale Tagaste kisha hajifukisha wastani wa A ni ubaguzi uliopitiliza
Kwanini hajafikisha wastani wa " A " kama wenzake wamefikisha yeye anashindwa vipi

Tena nashauri hata shule za serikali huo utaratibu urudi
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.

Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.

Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.

TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.

Tanzani yetu ni moja.
Yaani mwanao kutokuwa na uwezo wa kiakili ni kubaguliwa?

Ama kweli mwanao karithi akili zako!!! Huna akili
 
Mpeleke folodhani secondary.... Kwani sio shule?. Mara zote ni ngumu mtoto akawa huru kusoma kwenye mazingira yasiyo rafiki na dini yake. Shule za kidini Mara nyingi uhusisha dini zao hata kwenye Mambo mengine ya kishule, ni mzazi mpumbavu aliye mkristo au muislam anaweza mpeleka mwanae shule tofaut na dini yake.
Sio kweli....
 
shule za Catholic siyo matapeli tofauti na shule binafsi hata mtoto wako azungushe vipi ukiomba walimu wao ushauri kama wanaonaje ukimuhamisha wanakujibu “huyu mwanao mbona genius,tulikuwa nao zaidi ya huyu na walikaa vizuri we usijali” unafarijika unazidi kulipa ada mpaka siku akili zako zitakapoona sasa inatosha.
[emoji3][emoji3][emoji3] nimecheka kama mazuri
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.

Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.

Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.

TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.

Tanzani yetu ni moja.
mwambie kijana asome kwa bidii aache ujanja ujanja hawezi kusurvive huko 😜
 
Back
Top Bottom