TEC toeni tamko kukemea ubaguzi kwenye elimu

TEC toeni tamko kukemea ubaguzi kwenye elimu

Msisitizie mwanao asome,na awe na nidhamu,ndio maana tunasisiza watoto wawekewe misingi imara tangu wakiwa wadogo Ili waweze kupambana Dunia ya ushindani,Moja ya hizo sifa nikutoa watoto wenye uelewa mkubwa,usikivu na nidhamu ya Hali ya juu...Sasa kulazimishwa watoto vivuruge nao wachukuliwe hapo ni kama unataka kumchanganya mafuta na maji....muulize FaizaFoxy bakwata Wana shule zao huko atafit
 
Kwa hiyo mnaamini kabisa kuwa wanafunzi wasipara daraja A hawastahili kusoma?
Hastahili kusoma kwenye shule yenye vigezo vya A. Kamtafutie yenye viwango vya chini.
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.

Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.

Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.

TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.

Tanzani yetu ni moja.
Si umpeleke mtoto wako St. Kayumba. Huko hata awe slow learner/kilaza kiasi gani! Atasoma tu kwa raha mustarehe.
 
Hivi hao TEC wanapokea ruzuku ya kujiendesha toka serikalini?

Kama ndio, MoU yao inasemaje kwenye suala huduma (biashara) ya Elimu?


Shule za serikali (shule za kata), mtoto akifeli mtihani anarudia darasa hata mara 10 mpaka afaulu ndio anaendelea, huu utaratibu bado upo?


Mitihani kwa wanafunzi ingebaki kwenye msingi wa kuundwa kwake, kuwatambua wanafunzi kutokana na uwezo wao wa uelewa na ufahamu ili kuwaongoza kwa usahihi zaidi.




“Let the weeds and the wheat grow together until the harvest time. At the harvest time I will tell the workers this: First, gather the weeds and tie them together to be burned. Then gather the wheat and bring it to my barn.” - Mathew 13;30-32

Hii [emoji115] haifai hapa?
 
Acheni kutetea ujinga ,haiwezekani kila mwanafunzi awe na uwezo darasani unaofana
Kama Hana uwezo, mpeleke kwenye shule zenu tia maji!?
Huwezi kujiuliza, kwann Kuna special schools na Kuna shule za kawaida tu?
Hukulazimishwa kumpeleka mwanao kwa shule za kanisa, ukiona anshindwa, mpeleke huko anapopaweza
 
Kama hwezi kupata daraja la kwanza, mpeleke huko wanakopata daraja la pili ndo kunamfaa zaidi
 
Wavaa kobazi wametoa wapi shule Bora?
They depend on each and every thing from Catholics
 
Mbona islamic school zipo nyingi tunda huko sio lazima Shule za kanisa
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.

Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.

Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.

TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.

Tanzani yetu ni moja.
Hujalazimishwa kuufuata ubaguzi. Wapeleke wanao pasipo na ubaguzi... shule Tanzania na nje ya Tanzania ni nyingi mno!

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.

Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.

Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.

TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.

Tanzani yetu ni moja.
Sasa hapo ubaguzi upo wap mkuu? Shule yoyote makini lazima ihakikishe inasajiri wanafunz wenye uwezo wa kimasomo ndio maana hata serikali (NECTA) inawapa wanafunzi mitihani ili kuwachuja kulingana na uwezo wao. Huu sio ubaguzi bali ni utaratibu wa kawaida kwenye elimu.

Watu wabaguzi ni waislamu kwenye shule zao za kiislamu wanazopenda kuziita Islamic Seminaries. Kule huwezi kumkuta mwanafunzi mwenye asili ya kigalatia hata mmoja zaidi ya wale wenye asili ya kiarabu tu. Nenda seminary yoyote utakuta majina ya kigalatia na kiarabu yamo shuleni halafu urudi kwenye Islamic Seminaries uje unipe mrejesho. Waislamu ni wabaguzi sana aisee!
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.

Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.

Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.

TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.

Tanzani yetu ni moja.
Ukiwa na shule utakusanya kila takataka ili usiwe mbaguzi?

Kila shule inabagua ukiwa nà dv 4 huwezi kwenda A level lazima utabaguliwa tuu.
 
Acheni kutetea ujinga ,haiwezekani kila mwanafunzi awe na uwezo darasani unaofana
Nachojua mimi wanakupa muda wa kuimprove, wanakitu kinaitwa nyota kwa shule ya Alfagems, akishindwa kutoka huko anaondolewa kwa sababu ya kutobadilika kwake. Pia watoto wetu wa sasa tumewalea kimayai mno wanatabia za ajabu sana unataka hata pale anapoonywa na kutobadilika aendelee kufugwa? Zipo shule nzuri tu ambazo si za Katoliki ukiona hizo wanazingua mpeleke huko
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.

Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.

Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.

TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.

Tanzani yetu ni moja.
Kwani serikali inachokifanya nini. The same way. Wasingewafanyisha mitihan coz ni kuwabagua waliofeli
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.

Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.

Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.

TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.

Tanzani yetu ni moja.
anza na vyuo vya kiislam hlf uje kwa hivyo vyuo vya TEC tuone bora yupi
 
Ngoja waje wakupe majibu yao ushibe.

[emoji124][emoji124][emoji124]
kwamba anawalaumu TEC badala ya ccmu anaowapigia kura na hawamjengei shule , hv yupo timamu huyu? au aliwapigia kura TEC?
 
Its beyond your thinking capacity
kwamba TEC ndo uliwapigia kura kukuletea shule ? bado huon upumbav wako ? angalia sehem sahihi ya kutupa lawama , shule za kiislam ndo ubaguz umekithiri , watoto zetu wanalazimishwa kuish kiislam wawapo kweny hizo shule
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.

Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.

Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.

TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.

Tanzani yetu ni moja.
💩
 
Acheni kutetea ujinga ,haiwezekani kila mwanafunzi awe na uwezo darasani unaofana
kwann usimpeleke kwenye shule za uliowapigia kura ? wao wanataka utaratibu wao wewe unataka utaratibu wako , hv hujion haupo timamu?
 
Huwezi elewa maana wewe inawezekana ni mmoja wa wale wanaondekeza ubaguzi kwenye utoaji wa Elimu
mpeleke mwanao kwenye shule zinazosimamiwa na uliowapigia kura , mtoto wako mbulula na ww mzaz hujali kuhusu hilo na unataka aendelee wapumbaza wengine
 
Back
Top Bottom