TEC toeni tamko kukemea ubaguzi kwenye elimu

hapa watakuja na mapovu tu ,usitegemee majibu ya kueleweka
kwamba unataka majibu gan ya kueleweka ? kwan TEC ndo wanashughulikia swala la elimu , kwama hakuna elimu nje ya shule za TEC ? anza kumsimamia mwanao sio kumlea kijinga
 
hizo shule nazo ni za umma kama bandari?
Kama bharesa asivyoingiliwa kwenye kutoa ajira,kadharika na shule za watu binafsi ziachiwe kufanya waonavyo kikubwa wasivunje sheria za nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…