TEC wameiva kisaikolojia, waraka kusomwa wiki 6 mfululizo si bahati mbaya

TEC wameiva kisaikolojia, waraka kusomwa wiki 6 mfululizo si bahati mbaya

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Mimi waraka haukunitisha sana japo ulikuwa na facts, ila kilicho nitisha ni zile wiki 6. Kwa wasio fahamu nenda kasome saikolojia ya kuamini ukisha maliza utagundua ni kwanini ulisomwa kwa wiki 6 sio zaidi au pungufu.

Kama kuna mahali serikali inapaswa isijichanganye ni hapa. Ningekuwa nahusika ningetimua think tank yote nianze upya potelea mbali.

Anyways, Bandari nyie hamna uwezo wa kuziendesha hata nikiwaachia.
 
Ni TEC sio TEK we mwarabu Koko uliyeshindwa😁
Nimevurugwa ujue kisa cha kupewa bandari ni kubet, tulibet na sa100 yeye aliweka bandari zote za Tanganyika mi nikaweka kontena la tende za madina. Yeye alisema Arsernal itachukua EPL, mimi nikabet kwa Man City. Mkeka wangu ukatiki sasa mnanizungusha nini.
 
Mimi waraka haukunitisha sana japo ulikuwa na facts, ila kilicho nitisha ni zile wiki 6. Kwa wasio fahamu nenda kasome saikolojia ya kuamini ukisha maliza utagundua ni kwanini ulisomwa kwa wiki 6 sio zaidi au pungufu.

Kama kuna mahali serikali inapaswa isijichanganye ni hapa. Ningekuwa nahusika ningetimua think tank yote nianze upya potelea mbali.

Anyways, Bandari nyie hamna uwezo wa kuziendesha hata nikiwaachia.
Leo tumevaa KITENGE cha wawata mungu ni mwema wala hatuajenda na kiti chetu kanisani.
Screenshot_20231014-215736.jpg
 
Mimi waraka haukunitisha sana japo ulikuwa na facts, ila kilicho nitisha ni zile wiki 6. Kwa wasio fahamu nenda kasome saikolojia ya kuamini ukisha maliza utagundua ni kwanini ulisomwa kwa wiki 6 sio zaidi au pungufu.

Kama kuna mahali serikali inapaswa isijichanganye ni hapa. Ningekuwa nahusika ningetimua think tank yote nianze upya potelea mbali.

Anyways, Bandari nyie hamna uwezo wa kuziendesha hata nikiwaachia.
ni TEC au TEK, humeshanchanganya kwantha mpaka hapo
 
Mimi waraka haukunitisha sana japo ulikuwa na facts, ila kilicho nitisha ni zile wiki 6. Kwa wasio fahamu nenda kasome saikolojia ya kuamini ukisha maliza utagundua ni kwanini ulisomwa kwa wiki 6 sio zaidi au pungufu.

Kama kuna mahali serikali inapaswa isijichanganye ni hapa. Ningekuwa nahusika ningetimua think tank yote nianze upya potelea mbali.

Anyways, Bandari nyie hamna uwezo wa kuziendesha hata nikiwaachia.
Waraka wa TEC ulitetemesha, nimeyamisi makucha ya TEC dhidi ya mafisiemu
 
Mimi waraka haukunitisha sana japo ulikuwa na facts, ila kilicho nitisha ni zile wiki 6. Kwa wasio fahamu nenda kasome saikolojia ya kuamini ukisha maliza utagundua ni kwanini ulisomwa kwa wiki 6 sio zaidi au pungufu.

Kama kuna mahali serikali inapaswa isijichanganye ni hapa. Ningekuwa nahusika ningetimua think tank yote nianze upya potelea mbali.

Anyways, Bandari nyie hamna uwezo wa kuziendesha hata nikiwaachia.
Mkataba unaisha lini?
 
Nimevurugwa ujue kisa cha kupewa bandari ni kubet, tulibet na sa100 yeye aliweka bandari zote za Tanganyika mi nikaweka kontena la tende za madina. Yeye alisema Arsernal itachukua EPL, mimi nikabet kwa Man City. Mkeka wangu ukatiki sasa mnanizungusha nini.
Unaanza lini kwani😁
 
Back
Top Bottom