Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Mimi waraka haukunitisha sana japo ulikuwa na facts, ila kilicho nitisha ni zile wiki 6. Kwa wasio fahamu nenda kasome saikolojia ya kuamini ukisha maliza utagundua ni kwanini ulisomwa kwa wiki 6 sio zaidi au pungufu.
Kama kuna mahali serikali inapaswa isijichanganye ni hapa. Ningekuwa nahusika ningetimua think tank yote nianze upya potelea mbali.
Anyways, Bandari nyie hamna uwezo wa kuziendesha hata nikiwaachia.
Kama kuna mahali serikali inapaswa isijichanganye ni hapa. Ningekuwa nahusika ningetimua think tank yote nianze upya potelea mbali.
Anyways, Bandari nyie hamna uwezo wa kuziendesha hata nikiwaachia.