Parokia nyingi walisoma wiki moja tu. Mimi ni Mkatoliki kindakindaki na ninasali Parokia ya Msewe, UbungoMimi waraka haukunitisha sana japo ulikuwa na facts, ila kilicho nitisha ni zile wiki 6. Kwa wasio fahamu nenda kasome saikolojia ya kuamini ukisha maliza utagundua ni kwanini ulisomwa kwa wiki 6 sio zaidi au pungufu.
Kama kuna mahali serikali inapaswa isijichanganye ni hapa. Ningekuwa nahusika ningetimua think tank yote nianze upya potelea mbali.
Anyways, Bandari nyie hamna uwezo wa kuziendesha hata nikiwaachia.
Uje kufanyeje?Mbona waraka hamkuuleta Miskitini ?
Kumbe alikuwepo! Kwanini ahadi ya sh 100m asingeitoa mwenyewe bila kupitia kwa makamu?Leo tumevaa KITENGE cha wawata mungu ni mwema wala hatuajenda na kiti chetu kanisani.
View attachment 2782304
Utakuwa miongoni mwa wale 0.005% ya wakatoliki nchini ambao ni demented.Parokia nyingi walisoma wiki moja tu. Mimi ni Mkatoliki kindakindaki na ninasali Parokia ya Msewe, Ubungo
Siwezi kuwa kama wewe na Wakatoliki hawako kama wewe. Wewe ni mlemavu wa akili ambaye unadhani Kanisa Katoliki linatawala maisha binafsi ya waumini wakeUtakuwa miongoni mwa wale 0.05 ya wakatoliki nchini ambao ni demented.
Kanisa halitawali maisha ya waumini, lakini linatawala maisha ya mapadri.Siwezi kuwa kama wewe na Wakatoliki hawako kama wewe. Wewe ni mlemavu wa akili ambaye unadhani Kanisa Katoliki linatawala maisha binafsi ya waumini wake
Warioba hana katika . Huko ni kupotosha watu. Warioba aliongoza tume ya kubadili katiba kwa kuratibu uchukuaji maoni kwa wananchi. Maoni hayo yalileta katiba iliyopendekezwa na ndiyo iliyopo mpaka muda huu ikisubiri kura ya maoni.Wametikisa haswaa
Salute MkuuMimi waraka haukunitisha sana japo ulikuwa na facts, ila kilicho nitisha ni zile wiki 6. Kwa wasio fahamu nenda kasome saikolojia ya kuamini ukisha maliza utagundua ni kwanini ulisomwa kwa wiki 6 sio zaidi au pungufu.
Kama kuna mahali serikali inapaswa isijichanganye ni hapa. Ningekuwa nahusika ningetimua think tank yote nianze upya potelea mbali.
Anyways, Bandari nyie hamna uwezo wa kuziendesha hata nikiwaachia.
Njoo Msewe uulize waumini kama kweli walitimiza kusoma waraka wiki 6, kenge mbishi weweKanisa halitawali maisha ya waumini, lakini linatawala maisha ya mapadri.
Hakuna paroko anayeweza kwenda kinyume na maagizo ya baraza la maaskofu. Utii ni moja ya misingi ya kanisa katoliki.
Further proof that you're one of the minority 0.005%.
Saikolojia inamsumbuwa ....She should Rethink...Mama kaona apeleke milioni 100 ili asije akaxikosa kura za wakatoliki
Waliosoma maramoja walitoa sababu?Parokia nyingi walisoma wiki moja tu. Mimi ni Mkatoliki kindakindaki na ninasali Parokia ya Msewe, Ubungo
TEC walijichanganyaMimi waraka haukunitisha sana japo ulikuwa na facts, ila kilicho nitisha ni zile wiki 6. Kwa wasio fahamu nenda kasome saikolojia ya kuamini ukisha maliza utagundua ni kwanini ulisomwa kwa wiki 6 sio zaidi au pungufu.
Kama kuna mahali serikali inapaswa isijichanganye ni hapa. Ningekuwa nahusika ningetimua think tank yote nianze upya potelea mbali.
Anyways, Bandari nyie hamna uwezo wa kuziendesha hata nikiwaachia.
tutaendesha hivyohivyo hata kama hatuna uwezo, kuliko tukupe weweMimi waraka haukunitisha sana japo ulikuwa na facts, ila kilicho nitisha ni zile wiki 6. Kwa wasio fahamu nenda kasome saikolojia ya kuamini ukisha maliza utagundua ni kwanini ulisomwa kwa wiki 6 sio zaidi au pungufu.
Kama kuna mahali serikali inapaswa isijichanganye ni hapa. Ningekuwa nahusika ningetimua think tank yote nianze upya potelea mbali.
Anyways, Bandari nyie hamna uwezo wa kuziendesha hata nikiwaachia.
Ningekuwa mod ningeupandisha huu utani juu kabisa.Nimevurugwa ujue kisa cha kupewa bandari ni kubet, tulibet na sa100 yeye aliweka bandari zote za Tanganyika mi nikaweka kontena la tende za madina. Yeye alisema Arsernal itachukua EPL, mimi nikabet kwa Man City. Mkeka wangu ukatiki sasa mnanizungusha nini.
Mimi waraka haukunitisha sana japo ulikuwa na facts, ila kilicho nitisha ni zile wiki 6. Kwa wasio fahamu nenda kasome saikolojia ya kuamini ukisha maliza utagundua ni kwanini ulisomwa kwa wiki 6 sio zaidi au pungufu.
Kama kuna mahali serikali inapaswa isijichanganye ni hapa. Ningekuwa nahusika ningetimua think tank yote nianze upya potelea mbali.
Anyways, Bandari nyie hamna uwezo wa kuziendesha hata nikiwaachia.
Nawakubali sana TEC ila tatizo lao ni kuwa 'selective' kwenye issues za msingi kwa taifa! Huwa najiuliza hivi KATIBA MPYA kwao sio kipaumbele? au hawajui kuwa waumini wao wanaitaka? natamani siku moja ROHO WA BWANA awashukie walione hili na waanze kulitolea waraka na usomwe zaidi ya hata hizo wiki sita!!Mimi waraka haukunitisha sana japo ulikuwa na facts, ila kilicho nitisha ni zile wiki 6. Kwa wasio fahamu nenda kasome saikolojia ya kuamini ukisha maliza utagundua ni kwanini ulisomwa kwa wiki 6 sio zaidi au pungufu.
Kama kuna mahali serikali inapaswa isijichanganye ni hapa. Ningekuwa nahusika ningetimua think tank yote nianze upya potelea mbali.
Anyways, Bandari nyie hamna uwezo wa kuziendesha hata nikiwaachia.
Hatukutaki hivo hatutokuacha salama jiandaeNasikilizia mchongo fulani kwanza
Ndio maana bandiko lako la "kitabu kilichoanza Kisha kikaachwa kitamalizika kwa hesabu hii"nadhani malengo yenu yatatimia!!Nawakubali sana TEC ila tatizo lao ni kuwa 'selective' kwenye issues za msingi kwa taifa! Huwa najiuliza hivi KATIBA MPYA kwao sio kipaumbele? au hawajui kuwa waumini wao wanaitaka? natamani siku moja ROHO WA BWANA awashukie walione hili na waanze kulitolea waraka na usomwe zaidi ya hata hizo wiki sita!!
Huijui TZ. Sasa hapa wamemtikisa nani, kama si kutikisana wenyewe kwa wenyewe.Wametikisa haswaa