TEC wameiva kisaikolojia, waraka kusomwa wiki 6 mfululizo si bahati mbaya

Parokia nyingi walisoma wiki moja tu. Mimi ni Mkatoliki kindakindaki na ninasali Parokia ya Msewe, Ubungo
 
Utakuwa miongoni mwa wale 0.05 ya wakatoliki nchini ambao ni demented.
Siwezi kuwa kama wewe na Wakatoliki hawako kama wewe. Wewe ni mlemavu wa akili ambaye unadhani Kanisa Katoliki linatawala maisha binafsi ya waumini wake
 
Siwezi kuwa kama wewe na Wakatoliki hawako kama wewe. Wewe ni mlemavu wa akili ambaye unadhani Kanisa Katoliki linatawala maisha binafsi ya waumini wake
Kanisa halitawali maisha ya waumini, lakini linatawala maisha ya mapadri.

Hakuna paroko anayeweza kwenda kinyume na maagizo ya baraza la maaskofu. Utii ni moja ya misingi ya kanisa katoliki.

Further proof that you're one of the minority 0.005%.
 
Mama kaona apeleke milioni 100 ili asije akaxikosa kura za wakatoliki
 
Wametikisa haswaa
Warioba hana katika . Huko ni kupotosha watu. Warioba aliongoza tume ya kubadili katiba kwa kuratibu uchukuaji maoni kwa wananchi. Maoni hayo yalileta katiba iliyopendekezwa na ndiyo iliyopo mpaka muda huu ikisubiri kura ya maoni.
 
Salute Mkuu
 
Kanisa halitawali maisha ya waumini, lakini linatawala maisha ya mapadri.

Hakuna paroko anayeweza kwenda kinyume na maagizo ya baraza la maaskofu. Utii ni moja ya misingi ya kanisa katoliki.

Further proof that you're one of the minority 0.005%.
Njoo Msewe uulize waumini kama kweli walitimiza kusoma waraka wiki 6, kenge mbishi wewe
 
TEC walijichanganya

They rushed to antic mode
 
tutaendesha hivyohivyo hata kama hatuna uwezo, kuliko tukupe wewe
 
Ningekuwa mod ningeupandisha huu utani juu kabisa.
 

Umesaidia nini/umeleta mabadiliko gani hadi sasa tangu umeanza kusomwa? Tatizo ni kwamba huwa tunawasahau watanzania, tukifikiri kuna kipya wanaweza kufanya. Na serikali inajua hilo, ikiwatumia polisi imetoka, kila mtu atakuja na excuses. Hawa ni walewale tu wawe wakatoliki, waislamu, wapagani, nk, mambo ya msingi hawana time nayo wanamsubiri Diamond awapigie masongi yake watakubali wakalale siku iishe. Wanalalamika tu na mwisho wa siku wanapata ugali wanaenda kulala, hamna action mtanzania atafanya hata ahamasishwe na Yesu mwana wa Mungu! Watasoma watamaliza na tutasahau tutaendelea kusubiri nape aendelee kuibuka na regulations mpya kila siku za kubana habari tu! Tunasonga mbele...
 
Nawakubali sana TEC ila tatizo lao ni kuwa 'selective' kwenye issues za msingi kwa taifa! Huwa najiuliza hivi KATIBA MPYA kwao sio kipaumbele? au hawajui kuwa waumini wao wanaitaka? natamani siku moja ROHO WA BWANA awashukie walione hili na waanze kulitolea waraka na usomwe zaidi ya hata hizo wiki sita!!
 
Ndio maana bandiko lako la "kitabu kilichoanza Kisha kikaachwa kitamalizika kwa hesabu hii"nadhani malengo yenu yatatimia!!
 
Wametikisa haswaa
Huijui TZ. Sasa hapa wamemtikisa nani, kama si kutikisana wenyewe kwa wenyewe.
Miezi 6 imepita, mkataba umesainiwa. Tunasubiri matokeo tu, 60% ya serikali. Endeleeni kujiaminisha kuwa mmetikisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…