Msanii Platinum Member Joined Jul 4, 2007 Posts 25,252 Reaction score 36,513 Nov 8, 2023 #41 Zawadi Ngoda said: Huijui TZ. Sasa hapa wamemtikisa nani, kama si kutikisana wenyewe kwa wenyewe. Miezi 6 imepita, mkataba umesainiwa. Tunasubiri matokeo tu, 60% ya serikali. Endeleeni kujiaminisha kuwa mmetikisa. Click to expand... Kansa huwa inaanzia mbali sana. Lakini matokeo yake huwezi kurevise. Shangilia kansa
Zawadi Ngoda said: Huijui TZ. Sasa hapa wamemtikisa nani, kama si kutikisana wenyewe kwa wenyewe. Miezi 6 imepita, mkataba umesainiwa. Tunasubiri matokeo tu, 60% ya serikali. Endeleeni kujiaminisha kuwa mmetikisa. Click to expand... Kansa huwa inaanzia mbali sana. Lakini matokeo yake huwezi kurevise. Shangilia kansa
Sir John Roberts JF-Expert Member Joined Mar 1, 2017 Posts 12,835 Reaction score 23,584 Nov 8, 2023 #42 Msanii said: Kansa huwa inaanzia mbali sana. Lakini matokeo yake huwezi kurevise. Shangilia kansa Click to expand... Hamna lolote unajipa matumaini tu serikali inachanja mbuga tumechelewa sana
Msanii said: Kansa huwa inaanzia mbali sana. Lakini matokeo yake huwezi kurevise. Shangilia kansa Click to expand... Hamna lolote unajipa matumaini tu serikali inachanja mbuga tumechelewa sana