"Technically" Godbless Lema hawezi kurejea nchini mpaka baada ya miaka Mitano (5)

"Technically" Godbless Lema hawezi kurejea nchini mpaka baada ya miaka Mitano (5)

Myahudi Jr II

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2016
Posts
6,816
Reaction score
8,809
Leo ngoja niandike kitu kimoja watu wapate uelewa hasa MATAGA wanaosema mbona Tundu Lisu na Lema hawarudi. Nitaongelea zaid kwa Lema.

Katika maisha wanasema "golden chance never comes twice" katika kitu Lema amekipata cha maisha yake yote ni kupata ukimbizi wa kisiasa "asylum seeker" inchini CANADA ndugu zangu hii deep down bwana Lema atamshukuru JPM mpaka kufa.(nitasema kwanini hapo mbele)

Nasema hivi kwasababu kwa hali ya kawaida kabisa kwa nchi yetu wenye uwezo wa kupata "Ukazi wa kudumu" kulingana na sifa na vigezo vya nchi hii moja kwa moja bila kupitia elimu (student pathways) ni wachache sana sana kwa sababu kupata CRS 463(MINIMUM POINT OF NOMINATION) sio kazi ya siku moja ni miaka hata 2 kujipanga ili uwe na vigezo vyote unapoomba via Express Entry (EE)

Vigezo kama;
  1. Umri.
  2. Elimu (lazima ithibitishwe na Canadian Institute inaitwa "ECA"),
  3. Uwezo wa kuzungumza Lugha (English/French) lazima ufanye test,
  4. SALIO la kutosha c$13,000 kwa mtu mmoja lazima ulionyeshe Bank + c$4,000 kwa kila member anaeongezeka kama ni familia ya watu 5 unatakiwa uonyeshe c$30,000.
  5. Afya ya mhusika na wanaomzunguka na n.k
Toka kuomba ahdi kukubaliwa muda hautapingua chini ya mwaka mmoja. nadhani unaona ilivo ngumu kwa nchi zetu ukitoa Rais na Makamu wake wengine woote kazi si ndogo hata uwe tajiri kiasi gani ukipitia EE pathways mfumo wenyewe unakutema mapema bila kutimiza vigezo.

Turudi kwa Lema.
Lema alipata "convetion refugee" akaingia nchi ya ahadi automatic huwezi kurudi nyumbani ndugu zangu sitaki niwafiche huu ndio ukweli, kwasababu
  1. watoto ambao angelipa ada ya 60m+ pale IST hapa anasoma bure bin bure tena gari linamfata na kumshusha mtoto mlangoni afu Pale Feza Int'l ada ni Ths 15m+ kwa chekechea kwa mwaka
  2. hapa mtoto wa miaka 18 yupo chuo kikuu mwaka wa 1 na tayari huyu anafanya kazi na analipwa pesa yake
  3. mazingira yamepangika, hakuna wahuni na wala rushwa
haya yote ananufaika nayo hata yoyote angenufaika nayo, sidhani kama ungerudi na unajua kabisa uwezo wa kulipa ada mwisho ni 2m kwa mwaka

Mwaka fulani wakatangaza wanarudi, nikasema "haiwezi tokea" nadhani LEMA alipata lawyer makini saana angetia mguu tu TANZANIA angekua salama angevunja kipengele cha "People in Need of Protection" hapa asingeweza kurenew visa via "asylum seeker" na wale CBSA office they are very well trained aisee.

Baada ya miaka 5+ toka GODBLESS LEMA atue CANADA ndio NAWAHAKIKISHIA ATARUDI TANZANIA ambapo atakua tayari ni PERMANENT RESIDENT kwasababu anaruhusiwa kuomba PR baada ya miaka 5 kama Asylum Seeker.


Mwisho; JPM wakati mwingine anashukuriwa chinichini.
 
Tatizo la Canada ni Kodi kubwa yes hudum za kijamii ziko vizuri bali ni practical impossible kutengeneza utajiri ukiwa unaishi canada na kunaboa sana ni tofauti na states
 
Leo ngoja niandike kitu kimoja watu wapate uelewa hasa MATAGA wanaosema mbona Tundu Lisu na Lema hawarudi. Nitaongelea zaid kwa Lema.

Katika maisha wanasema "golden chance never comes twice" katika kitu Lema amekipata cha maisha yake yote ni kupata ukimbizi wa kisiasa "asylum seeker" inchini CANADA ndugu zangu hii deep down bwana Lema atamshukuru JPM mpaka kufa.(nitasema kwanini hapo mbele)

Nasema hivi kwasababu kwa hali ya kawaida kabisa kwa nchi yetu wenye uwezo wa kupata "Ukazi wa kudumu" kulingana na sifa na vigezo vya nchi hii moja kwa moja bila kupitia elimu (student pathways) ni wachache sana sana kwa sababu kupata CRS 463(MINIMUM POINT OF NOMINATION) sio kazi ya siku moja ni miaka hata 2 kujipanga ili uwe na vigezo vyote unapoomba via Express Entry (EE)

Vigezo kama;
  1. Umri.
  2. Elimu (lazima ithibitishwe na Canadian Institute inaitwa "ECA"),
  3. Uwezo wa kuzungumza Lugha (English/French) lazima ufanye test,
  4. SALIO la kutosha c$13,000 kwa mtu mmoja lazima ulionyeshe Bank + c$4,000 kwa kila member anaeongezeka kama ni familia ya watu 5 unatakiwa uonyeshe c$30,000.
  5. Afya ya mhusika na wanaomzunguka na n.k
Toka kuomba ahdi kukubaliwa muda hautapingua chini ya mwaka mmoja. nadhani unaona ilivo ngumu kwa nchi zetu ukitoa Rais na Makamu wake wengine woote kazi si ndogo hata uwe tajiri kiasi gani ukipitia EE pathways mfumo wenyewe unakutema mapema bila kutimiza vigezo.

Turudi kwa Lema.
Lema alipata "convetion refugee" akaingia nchi ya ahadi automatic huwezi kurudi nyumbani ndugu zangu sitaki niwafiche huu ndio ukweli, kwasababu
  1. watoto ambao angelipa ada ya 60m+ pale IST hapa anasoma bure bin bure tena gari linamfata na kumshusha mtoto mlangoni afu Pale Feza Int'l ada ni Ths 15m+ kwa chekechea kwa mwaka
  2. hapa mtoto wa miaka 18 yupo chuo kikuu mwaka wa 1 na tayari huyu anafanya kazi na analipwa pesa yake
  3. mazingira yamepangika, hakuna wahuni na wala rushwa
haya yote ananufaika nayo hata yoyote angenufaika nayo, sidhani kama ungerudi na unajua kabisa uwezo wa kulipa ada mwisho ni 2m kwa mwaka

Mwaka fulani wakatangaza wanarudi, nikasema "haiwezi tokea" nadhani LEMA alipata lawyer makini saana angetia mguu tu TANZANIA angekua salama angevunja kipengele cha "People in Need of Protection" hapa asingeweza kurenew visa via "asylum seeker" na wale CBSA office they are very well trained aisee.

Baada ya miaka 5+ toka GODBLESS LEMA atue CANADA ndio NAWAHAKIKISHIA ATARUDI TANZANIA ambapo atakua tayari ni PERMANENT RESIDENT kwasababu anaruhusiwa kuomba PR baada ya miaka 5 kama Asylum Seeker.


Mwisho; JPM wakati mwingine anashukuriwa chinichini.
Ahsanta sana ndugu yangu, hata mimi nilishawahi sema kurudi bongo kwa Lema na Lissu ni majaaliwa hizo kelele wanazopiga ni zuga toto tu hio. Huo ukimbizi kumbuka wamepewa nyumba bure, elimu bure na juu yake wanalipwa pesa " benefits" na wao hawalipi chochote. Na wakitaka kusoma wao na wake zao elimu ni bure kabisa hawalipi kitu,.. Sasa mungu akupe nini gunia la chawa??? Hawa jamaa wanasuburi wapate Permanent Residents ili hata wakirudi bongo wanakua na uhakika na kurudi kwao ughaibuni..Wamshukuru sana mwendazake kwa kuwarahisishia maisha hawa nyumbu waliokomaa.
 
Tatizo la Canada ni Kodi kubwa yes hudum za kijamii ziko vizuri bali ni practical impossible kutengeneza utajiri ukiwa unaishi canada na kunaboa sana ni tofauti na states
Umri ule unafikiri wanataka utajiri tena??? wanataka familia zisonge kielimu, watoto waende shule za kiwango ambapo wangekua bongo wasingeweza hayo... Investment kubwa katika maisha ni kuwaacha watoto wakiwa na elimu ya uhakika sio huo utajiri unaosema wa tshs ambapo siku yoyote unaweza kuyeyuka ukarudi back to square one.Elimu na maisha bora kwa familia ndio muhimu. Kuhusu kodi karibu nchi zote za dunia ya kwanza kodi ipo labda sijui uishi wapi, ndio maana na bongo kuna tozo ambazo watu wanalia lia kwa vile hawajazoea. Hizo Kodi hazikwepeki na ndio hata huko africa zitaongezeka sana na hamna namna.
 
Umri ule unafikiri wanataka utajiri tena??? wanataka familia zisonge kielimu, watoto waende shule za kiwango ambapo wangekua bongo wasingeweza hayo... Investment kubwa katika maisha ni kuwaacha watoto wakiwa na elimu ya uhakika sio huo utajiri unaosema wa tshs ambapo siku yoyote unaweza kuyeyuka ukarudi back to square one.Elimu na maisha bora kwa familia ndio muhimu. Kuhusu kodi karibu nchi zote za dunia ya kwanza kodi ipo labda sijui uishi wapi, ndio maana na bongo kuna tozo ambazo watu wanalia lia kwa vile hawajazoea. Hizo Kodi hazikwepeki na ndio hata huko africa zitaongezeka sana na hamna namna.
Umenena point mkuu hata mm natamani Sana kuwaacha watoto wangu wakiwa na elimu yenye uhakika maana ndio utajiri wa uhakika sema hatuna jinsi ya kufanya ndio maana watoto wetu wanadoma shule hizi za serikali za msingi na secondary hii sio elimu kabisa
 
Tatizo la Canada ni Kodi kubwa yes hudum za kijamii ziko vizuri bali ni practical impossible kutengeneza utajiri ukiwa unaishi canada na kunaboa sana ni tofauti na states
Hakuna kusipokua na matatizo,Canada ni bora kwa kuishi kuliko USA, Huko USA kupigwa chuma njenje
 
Umri ule unafikiri wanataka utajiri tena??? wanataka familia zisonge kielimu, watoto waende shule za kiwango ambapo wangekua bongo wasingeweza hayo... Investment kubwa katika maisha ni kuwaacha watoto wakiwa na elimu ya uhakika sio huo utajiri unaosema wa tshs ambapo siku yoyote unaweza kuyeyuka ukarudi back to square one.Elimu na maisha bora kwa familia ndio muhimu. Kuhusu kodi karibu nchi zote za dunia ya kwanza kodi ipo labda sijui uishi wapi, ndio maana na bongo kuna tozo ambazo watu wanalia lia kwa vile hawajazoea. Hizo Kodi hazikwepeki na ndio hata huko africa zitaongezeka sana na hamna namna.
Marekani Kuna majimbo hakuna income tax this means Kodi ni ndogo, Jimbo kama Texas halina income tax huku nchi kama Canada Kodi inaweza chukua asilimia 40 ya kipato chako
 
Yaani umemuongelea Lema kama vile alikua ombaomba hana maono, hana biashara kapigika n.k. hivyo hivyo mtasema kwa Lissu.

Kwani kama ya yeye kwenda huko watoto wake walikua hawasomi shule nzuri? Je uliwahi kusikia akitaka kwenda kuishi nje ya nchi?

Je Lema alikua ni mshamba hajawahi kwenda ulaya au marekani?

Hii hoja yako ni mfu kwa mtu kama Lema. Ingekuwa na nguvu kama Lema angekuwa na maono yako ya kutaka kwenda kuishi kwa wazungu na kapigika.
 
Yaani umemuongelea Lema kama vile alikua ombaomba hana maono, hana biashara kapigika n.k. hivyo hivyo mtasema kwa Lissu.

Kwani kama ya yeye kwenda huko watoto wake walikua hawasomi shule nzuri? Je uliwahi kusikia akitaka kwenda kuishi nje ya nchi?

Je Lema alikua ni mshamba hajawahi kwenda ulaya au marekani?

Hii hoja yako ni mfu kwa mtu kama Lema. Ingekuwa na nguvu kama Lema angekuwa na maono yako ya kutaka kwenda kuishi kwa wazungu na kapigika.
Hujamuelewa mtoa hoja na umejikanyaga. Ni kweli Lema na Lissu wote walikua wana uwezo wa kwenda nje ila walikua wanajilipia kila kitu na kwa hilo wasingeweza kukaa muda mrefu hivyo nje ya nchi. Lema alishawahi kwenda UK akafanyana matusi na dada mmoja hivi mbongo akiitwa mbuta nanga., halafu akamkimbia hakumlipa ujira wake, demu akamripoti alim rape. Hadi leo kuna file lake la rape pale polisi London. Hapo nakuonesha jinsi pesa yake ilivyokua tight. Best school in bongo huwezi linganisha na Canada au Belgium hata kidogo. Na mwisho huko walipo kikimbizi wanalipiwa kila kitu, na nyumba ni bure, hawalipi bills yoyote na bado wanapewa pesa yao ya kikimbizi pia na watoto wanaenda shule Lema na Lissu wanazotaka wao na ni free kitu ambacho bongo hawakuwanacho na hawatakipata milele. Bisha tu lakini hao jamaa zako hawarudi bongo leo wala kesho hadi wamekunja makaratasi ya u resident....
 
Yaani umemuongelea Lema kama vile alikua ombaomba hana maono, hana biashara kapigika n.k. hivyo hivyo mtasema kwa Lissu.

Kwani kama ya yeye kwenda huko watoto wake walikua hawasomi shule nzuri? Je uliwahi kusikia akitaka kwenda kuishi nje ya nchi?

Je Lema alikua ni mshamba hajawahi kwenda ulaya au marekani?

Hii hoja yako ni mfu kwa mtu kama Lema. Ingekuwa na nguvu kama Lema angekuwa na maono yako ya kutaka kwenda kuishi kwa wazungu na kapigika.
Watu wanachaapika Bongo mtu yupo busy kumzungumzia jamaa anaekula kuku wa kuzunguka huko Nje. .
 
Back
Top Bottom