Technically what has the Isreal state achieve from the 15months war of Gaza war.

Technically what has the Isreal state achieve from the 15months war of Gaza war.

Thay can be beaten with mere commonsense mkuu Gaza is less than 50yrs old so how comes to take 350yrs to replace the 50yrs achievements...... wakeup dude.
Hizo ni facts (siyo common sense), destruction iliyotokea magnitude yake ndyo hiyo, all stakeholders agree to that, it doesn't matter how old the Palestian authority is
 
Hizo ni facts (siyo common sense), destruction iliyotokea magnitude yake ndyo hiyo, all stakeholders agree to that, it doesn't matter how old the Palestian authority is
But it doesn't add up mkuu 350yrs is un imaginable period that can't be realistic.
 
Israel lost, they said they would wipe out Hamas and get hostages by force and now they are negotiating with them....
 
Lakini kuuwawa kwa watu zaidi ya 40k dhidi ya 1.5k kwako unaona Israel ameshindwa?
Unalia na gharama za vita versus maisha ya watu as if hizo silaha ziliundwa kwa ajili ya exhibition
Akili tu ya chekechea ingemfanya kufikiri kuwa kama wameachiwa wengi ina maana Israel ina uwezo mkubwa sana wa kuwachukuwa wapalestina wengi ka kuku na kuwaweka ndani.
Kuna zile ngonjera kuwa wapalestina waliouwawa ni wanawake na watoto yaani kwa akili zao ile safu ya kigaidi ya uongozi ya hezbollah na hamas iliyouliwa kibudu wale ni wanawake na watoto.
Wale magaidi waliolipukiwa na pagers na kupasuka ni wanawake na watoto!.
Halafu wanajisahulisha kuwa kuna wayahudi kadhaa waliokolewa na jeshi la Israel sasa waulize wao hao Hamas waliwahi kuokoa wapalestina wangapi walioshikiliwa na Israel kivita.
 
Israel lost, they said they would wipe out Hamas and get hostages by force and now they are negotiating with them....
HAMAS is the the winner, means that's the end of Palestians suffering, and therefore the Israelites will suffer and probably obliterated for good
 
For your information sir just yesterday two rockets were fired in Israel from Gaza, but to put you clear the key objectives of Natanyahu were not to stop rockets but rather the total elimination of the Hamas group, killing her leaders were not their objective because leaders can be replaced immediately en it was not the first time hamas leaders are killed by Israel if you remember well in 2004 even it's founder shekh Yasin was killed but the group continued to flourish so killing her leaders has never been a success for them......en we can't count it as an achievement of the war.
it’s not just about dealing with the people in charge.
People don't realize that Hamas and Hezbollah have repeatedly shown that they are able to replace their leadership losses. You must eliminate the idea, not just killing their leaders.

And those groups will persist as long as Israel keeps up its provocations and agitation in the region.
 
HAMAS is the the winner, means that's the end of Palestians suffering, and therefore the Israelites will suffer and probably obliterated for good
Peace will bring an end to this war, a cease fire, by its nature, is temporary, The fighting will continue, and it might take years.
I think this war will not end after the hostage deal.
 
We huelewi vita ni nini, kama UNAFKIRI vita ni Body count hutaelewa chochote kuhusu hao jamaa,

Palestina wamepata hasara kubwa sana wananchi, wanawake, watoto wameuliwa, majengo, Hospitali etc vyote vipo katika hali mbaya ni kweli.

Ila kwenye medani ya Vita Hamas hajapigika,
1. Objective yake ya kubadilishana Mateka ambayo ipo tokea vita vinaanza imefanikiwa Makamanda wao wanaachiwa huru.
2. Wamepigana Ana kwa Ana na jeshi lenye kila aina ya Vifaa kwa zaidi ya mwaka bila kutetereka, Hii inawapa Confidence zaidi kwa vita vijavyo.
3. ukumbuke silaha za sasa hivi Hamas wanatengeneza wenyewe na mabomba ya maji na screpa za Chuma, mabomu yote waliyopiga Israel, vifaru vyao vilivyoharibiwa, na scrapper zote wanazo acha hapo ndio raw materials wamewapelekea Hamas watengeneze
4. Kwenye Diplomasia ya kimataifa wamefanikiwa kuidondosha Israel hadi sasa Nchi kibao Viongozi wa Israel hawawezi kwenda etc.
Huwezi linganisha uhai wa mwanadamu na kitu chochote kama hizo objectives, silaha sijui diplomasia n.k

Labda kama tunatofautiana mtazamo au kama unajadili jambo hili kwa misingi ya kidini.

Sijapenda Israel walivyoua watoto wale wasio na hatia lakini pia sikupenda hamas walichofanya Oktoba 7 wakijua kitakachowapata
 
Uko sahihi huenda malengo ya Israel hayakufikiwa lakini haiondoi ukweli kuwa Gaza imepoteza pakubwa.

Maamuzi ya Hamas ya Oktoba 7 hayakuwa sahihi.
Yamewainua hamas kimataifa zaidi na hamas sasa wanaungwa mkono ndani na nje saivi kila mwanajeshi wa Israel aliyeingia gaza yuko hatarini kukamatwa akienda baadhi ya nchi huo ni hatua kubwa pia wapiganaji wao waliokua jela wanaachiwa
 
Huwezi linganisha uhai wa mwanadamu na kitu chochote kama hizo objectives, silaha sijui diplomasia n.k

Labda kama tunatofautiana mtazamo au kama unajadili jambo hili kwa misingi ya kidini.

Sijapenda Israel walivyoua watoto wale wasio na hatia lakini pia sikupenda hamas walichofanya Oktoba 7 wakijua kitakachowapata
Mkuu I didn't ask for effects of the war I know the effects where terrible on the side of Palestine, but my question did israel achieve what it aimed at? Has he he eliminated hamas completely has she had planned or just boosted their morale en damaged her image en diplomancy in outside world
 
Back
Top Bottom