Technology nyuma ya film making

Technology nyuma ya film making

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Jana nilikuwa ninasoma kuhusu franchise ya the matrix, nilistaajabu kwamba filamu ya the matrix revolution ilihusisha wataalaamu wa hesabu, aerodynamics, fluid dynamics, physics, computer engineers, programmers, graphic and animators zaidi ya 200 kuifanikisha. Walienda mbali zaidi mpaka kutengeneza kuunda special program kwa ajili ya kazi ya special effects.

Kuna scene moja ambapo Neo anafukuzwa na moto, ina sekunde sita ila ilichukua miezi 6 kuikamilisha kuufanya ule moto uwe perfect.

Baada ya utengenezaji, waliandika paper kwa ajili ya watu wengine kutumia katika kutengeneza effects, maana walikuwa wamekuja na mbinu mpya za kutengeneza effects mbalimbali, kuchukua picha ikiwemo bullet, time slice, nakadhalika ambapo iliset standard for future science fiction action movies.
 
Brilliant
scene ya sekunde 15, imechukua miezi 6 kuizalisha

Bongo Muvi, filam ya lisaa 1.5, imechukua wiki 2 ( au pungufu ) kuisha
Bongo bwna acha tu, jana nimecheck movie moja a South Africa imetoka tarehe 17 mwezi uliopita, kwa ajili ya netflix inaitwa seriously.single. Haina action ni story nzuri tu. Kuna akina Majola, wale wa isindigo. Uzuri wa movie siyo lazima action.
 
Bongo bwna acha tu, jana nimecheck movie moja a South Africa imetoka tarehe 17 mwezi uliopita, kwa ajili ya netflix inaitwa seriously.single. Haina action ni story nzuri tu. Kuna akina Majola, wale wa isindigo. Uzuri wa movie siyo lazima action.
Hakika! Afrika Kusini ndio taifa kutoka nchi ya Afrika lenye leseni II (2B) ya kuwezesha kuandaa na kusambaza filamu Hollywood.

Mataifa mengine ni Masri na Morocco. Ukiangalia filamu nyingi za mataifa haya siyo za sanaa ya mapigano lakini zimeweza kufanya vizuri sana kimataifa.

Kuzungumzia teknolojia ya filamu ni ukubwa wa pekee kwa mataifa haya yenye kuongoza katika nyanja hizi. Ni suala la kawaida kuona filamu imetayarishwa na kampuni 15, vitengo 30, na kuhusisha watu 300 na jambo kubwa ni ujira mzuri sana wanapokea.
 
Kiukweli Hiyo movie kama ingetengenezwa kwa Teknolojia ya sasa basi wasingechukua muda mrefu hivyo. Softwares za sasa ziko vizuri mno kucheza na CGI.
 
Kiukweli Hiyo movie kama ingetengenezwa kwa Teknolojia ya sasa basi wasingechukua muda mrefu hivyo. Softwares za sasa ziko vizuri mno kucheza na CGI.

Kuna vitu vingi sana kwenye CGI, mfano hivi unajua avatar iliwachukua mwezi kuirender, japo walikuwa wanatumia rendering farm iliyoko newzealand ikiwa ina super computer yenye kurender 1.5 million tasks per day, ikiwa na uwezo wa kuprocess 8 GB per second na ikiwa inafanya kazi saa 24 kila siku yani bado ikachukua mwezi. Kila frame moja ya Avatar ilikuwa inachukua masaa kurender sasa jiulize avatar moovie nzima ina frame ngapi?
 
Kuna vitu vingi sana kwenye CGI, mfano hivi unajua avatar iliwachukua mwezi kuirender, japo walikuwa wanatumia rendering farm iliyoko newzealand ikiwa ina super computer yenye kurender 1.5 million tasks per day, ikiwa na uwezo wa kuprocess 8 GB per second na ikiwa inafanya kazi saa 24 kila siku yani bado ikachukua mwezi. Kila frame moja ya Avatar ilikuwa inachukua masaa kurender sasa jiulize avatar moovie nzima ina frame ngapi?
Umeshanichanganya..... Hapo kwenye frame mimi nakuwa naelewa zile frame za kufanyia biashara au frame za maduka.....
 
Kuna vitu vingi sana kwenye CGI, mfano hivi unajua avatar iliwachukua mwezi kuirender, japo walikuwa wanatumia rendering farm iliyoko newzealand ikiwa ina super computer yenye kurender 1.5 million tasks per day, ikiwa na uwezo wa kuprocess 8 GB per second na ikiwa inafanya kazi saa 24 kila siku yani bado ikachukua mwezi. Kila frame moja ya Avatar ilikuwa inachukua masaa kurender sasa jiulize avatar moovie nzima ina frame ngapi?
Safi kabisa! Chini ya WETA Digital kampuni ya New Zealand iliyotoa msaada mkubwa kwa wahusika wa Avatar na kuwa mwanzo wao katika soko la dunia hadi walipohusika katika Valerian and The City of A Thousand Planets.
 
Umeshanichanganya..... Hapo kwenye frame mimi nakuwa naelewa zile frame za kufanyia biashara au frame za maduka.....
Unapotazama video au animation assume unarusha ngumi, mkono unapoanza kumove mpaka unampiga mtu, ni muunganiko wa mamia kama zio maelfu ya picha mpaka yanatengeneza kitendo. Hiyo picha moja moja ndo frame
 
Unataka tengeneza rendering plant au production company ya effects kama ilivyokuwa ESC
Natazamia kutengeneza Company itakayokuwa na Sub-Companies itayoweza kuandaa, kutayarisha, kuchakata na kusimamia mauzo. Ikiwa na idara mbalimbali za production kuanzia Line, Post, Production and co.

Just to be the Major Factory of Film, Audiovisuals, Production, Publishing and Mixed Media Art.
 
Natazamia kutengeneza Company itakayokuwa na Sub-Companies itayoweza kuandaa,
kutayarisha, kuchakata na kusimamia mauzo. Ikiwa na idara mbalimbali za production kuanzia Line, Post, Production and co.

Just to be the Major Factory of Film, Audiovisuals, Production and Mixed Media Art.
All the best mkuu. Naona kwa sasa kwama industry inahamia kwa Arri Alexa kutoka RED, baada ya RED kumwangusha Sony
 
All the best mkuu. Naona kwa sasa kwama industry inahamia kwa Arri Alexa kutoka RED, baada ya RED kumwangusha Sony
Thanks, lakini siwezi kufanikisha pekee yangu, inahitaji uwekezaji na rasilimali watu.
-
Arri Alexa amefanya transformation ya teknolojia na hii ndio nguzo muhimu, utaweza kuona hivi sasa anaingia sokoni akiwa na shehena ya vifaa vyenye utofauti na upekee mfano wa Kamera zenye AI (Alexa TrioA, Arri Magix, Arri Alexa Companion na nyingine nyingi) zinazohusika sana katika matukio ya kasi na mazingira yenye utata mfano kupitia katika filamu za Miss Bala, Dark Tower na Valerian and The City of A Thousand Planets hapa amewaangusha RED, SONY, Kodak, Imax na Codex.

Pia utaweza kuona Sony anachia sana uwekezaji katika uchakataji na kuwa msimamizi, filamu nyingi Arri Alexa ameshirikiana na Sony kupitia vitengo tofauti mfano wa Baby Driver na Logan.
 
Back
Top Bottom