TANZIA Teddy Mapunda Afariki Dunia hospitali ya Aga Khan Dar

TANZIA Teddy Mapunda Afariki Dunia hospitali ya Aga Khan Dar

ILA siku hizi maradhi mengi Yanaua ghafla tusihukumu.

Hata ukimwi,presha,UGONJWA wa moyo navyo vinaua ghafla.

Kikubwa madaktari na ndugu waruhusiwe kusema ukweli kwamba marehemu kafa na Corona au la.hyo itasaidia kutoa maneno maneno.
...Na itasaidia watu kuchukua tahadhari zaidi [emoji120]
 
View attachment 1773821

Mkurugenzi Mtendaji wa Montage, Teddy Mapunda amefariki muda mfupi uliyopita baada ya kuugua ghafla wakati akipata futari na wenzake hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam na kukimbizwa hospitali ya Aga Khan.

Machi, 2012, alichaguliwa kuwa mmoja ya wajumbe watano waliounda Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Utalii (TTB) akiwa
Mtaalamu wa Masoko (Marketing) na Afisa Uhusiano Serengeti Breweries Limited;

Teddy amewahi kuwa Katibu Mkuu wa kamati iliyoundwa na TFF ya kusaidia Taifa Star Ishinde mwaka 2015 katika Maandalizi ya michezo ya kufuzu Kombe la Dunia

View attachment 1773777

Teddy Mapunda is a Non-Executive Director at British American Tobacco Kenya Ltd since October 2014 and a Member of the Remunerations Committee.Teddy is the founder of Montage Limited, a multi-dimensional consultancy and creative agency based in Dar-es-Salaam, Tanzania. She has over twenty years of leadership experience in public relations, customer service, administration, and sales.

Teddy Mapunda is a graduate of the Swedish Institute of Public Administration and the Ghana Institute of Management and Public Administration.

She is Vice Chairperson for the Road Safety Committee Kinondoni Region, Tanzania, Board Member of Why Africa Now of the USA, TPS Eastern Africa (Serena Hotels), WAMA Foundation and the Arusha International Conference Centre (AICC).
Naona mchoro fulani hapo kulia na kushoto kwake juu, alikuwa na mume, alikuwa katika ndoa? RIP TEDDY
 
You are right.
The right hospital in Dar is MNH.
I was attended by up to twelve doctors from the resident all the way up to a consultant.
Wana crack vichwa ikija kuamuliwa Cha kufanya Hadi Raha
Watu wanapadharau muhimbili sababu ya reputation ya nyuma. Ila kipindi cha magufuri, muhimbili imewekwa sawa.
 
Wangemkimbiza Muhimbili. Aga Khan is overrated.

Emergency room ya Aga Khan wamejaa watoto wanafanya residence, bado wako shule! Na si kwamba kuna supervisor mbobezi anawaangalia hapana, hao vijana ndio wame take over hapo reception desk ndio wanakupokea na kuku handle mwanzo mwisho na Viingereza vya Mama Suluhu, usipokufa ndio utamwona daktari wa ukweli anapita saa nne usiku...

Halafu kila daktari kijana anaepita pita ukimhoji kuhusu hali ya mgonjwa na response ya matibabu anakwambia maamuzi ya kubadili dawa /approach ni mpaka daktari wako apite kesho asubuhi! Sasa wewe umejipitisha kufanya nini?
Hawa vijana bana....wao wanapita pita na IPhone zao (macho matatu) ... lakini hawana updates za mgonjwa ...
 
Wangemkimbiza Muhimbili. Aga Khan is overrated.

Emergency room ya Aga Khan wamejaa watoto wanafanya residence, bado wako shule! Na si kwamba kuna supervisor mbobezi anawaangalia hapana, hao vijana ndio wame take over hapo reception desk ndio wanakupokea na kuku handle mwanzo mwisho na Viingereza vya Mama Suluhu, usipokufa ndio utamwona daktari wa ukweli anapita saa nne usiku...

Halafu kila daktari kijana anaepita pita ukimhoji kuhusu hali ya mgonjwa na response ya matibabu anakwambia maamuzi ya kubadili dawa /approach ni mpaka daktari wako apite kesho asubuhi! Sasa wewe umejipitisha kufanya nini?
Najipitisha kuchukua maoni mkuu ili nimpelekee daktari mbobezi
 
You are right.
The right hospital in Dar is MNH.
I was attended by up to twelve doctors from the resident all the way up to a consultant.
Wana crack vichwa ikija kuamuliwa Cha kufanya Hadi Raha
Naskikia katika kipindi cha miaka mitano iliyopita Muhimbili imeimarika kuliko hospitali yoyote nchini. Nadhani Aga Khan bado inatumiwa kwa sababu ya pride tu kuwa anayekwenda pale ni mtu mwenye hela!
 
Kama covid waseme.

Tangu walipoacha kutangaza mambo ya covid mwaka jana watanzania waliougua au kufa kwa Corona ni wale wanaotangazwa na mamlaka za India tu.

Na angekuwapo yule bwana hata hao asingeshindwa kulazimisha iwe ni malaria kali!

Tuseme nini sisi?

Tangulia dada Teddy, kapumumzike kwa amani nasi tu nyuma yako.
 
Najipitisha kuchukua maoni mkuu ili nimpelekee daktari mbobezi
Nafikiri ,itakuwa heart attack,kutokana na kufunga Siku nzima.Mwili umekaa bila chakula siku nzima.Unapoonza kula lazima ,kuna mshituko wa mishipa na moyo utatokea.Kabla wengi hawajafunga ni muhimu kupima afya .
 
So touching saddening! My sincere heart felt condolences for family, friends and neighbours ! May Teddy Beautiful soul rest in Eternal peace
Umeandika kinyonge sans
 
Back
Top Bottom