...Na itasaidia watu kuchukua tahadhari zaidi [emoji120]ILA siku hizi maradhi mengi Yanaua ghafla tusihukumu.
Hata ukimwi,presha,UGONJWA wa moyo navyo vinaua ghafla.
Kikubwa madaktari na ndugu waruhusiwe kusema ukweli kwamba marehemu kafa na Corona au la.hyo itasaidia kutoa maneno maneno.
YouWho is next? Mungu anaishi
Unaweza kuwa mzima tu lkn ukaugua ghafla na ukafa.....Afya za watu wanazijua wao, ni siri nzito, R.i.p
Hizo kazi kafanya kwa vipindi tofauti ....Sio kwamba zote alienda nazo sambamba ....Ndo ukiskia wanawake ni multipurpose ndo hii sasa..kwa wanawake easy tu mkuu
Naona mchoro fulani hapo kulia na kushoto kwake juu, alikuwa na mume, alikuwa katika ndoa? RIP TEDDYView attachment 1773821
Mkurugenzi Mtendaji wa Montage, Teddy Mapunda amefariki muda mfupi uliyopita baada ya kuugua ghafla wakati akipata futari na wenzake hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam na kukimbizwa hospitali ya Aga Khan.
Machi, 2012, alichaguliwa kuwa mmoja ya wajumbe watano waliounda Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Utalii (TTB) akiwa
Mtaalamu wa Masoko (Marketing) na Afisa Uhusiano Serengeti Breweries Limited;
Teddy amewahi kuwa Katibu Mkuu wa kamati iliyoundwa na TFF ya kusaidia Taifa Star Ishinde mwaka 2015 katika Maandalizi ya michezo ya kufuzu Kombe la Dunia
View attachment 1773777
Teddy Mapunda is a Non-Executive Director at British American Tobacco Kenya Ltd since October 2014 and a Member of the Remunerations Committee.Teddy is the founder of Montage Limited, a multi-dimensional consultancy and creative agency based in Dar-es-Salaam, Tanzania. She has over twenty years of leadership experience in public relations, customer service, administration, and sales.
Teddy Mapunda is a graduate of the Swedish Institute of Public Administration and the Ghana Institute of Management and Public Administration.
She is Vice Chairperson for the Road Safety Committee Kinondoni Region, Tanzania, Board Member of Why Africa Now of the USA, TPS Eastern Africa (Serena Hotels), WAMA Foundation and the Arusha International Conference Centre (AICC).
Watu wanapadharau muhimbili sababu ya reputation ya nyuma. Ila kipindi cha magufuri, muhimbili imewekwa sawa.You are right.
The right hospital in Dar is MNH.
I was attended by up to twelve doctors from the resident all the way up to a consultant.
Wana crack vichwa ikija kuamuliwa Cha kufanya Hadi Raha
Hawa vijana bana....wao wanapita pita na IPhone zao (macho matatu) ... lakini hawana updates za mgonjwa ...Wangemkimbiza Muhimbili. Aga Khan is overrated.
Emergency room ya Aga Khan wamejaa watoto wanafanya residence, bado wako shule! Na si kwamba kuna supervisor mbobezi anawaangalia hapana, hao vijana ndio wame take over hapo reception desk ndio wanakupokea na kuku handle mwanzo mwisho na Viingereza vya Mama Suluhu, usipokufa ndio utamwona daktari wa ukweli anapita saa nne usiku...
Halafu kila daktari kijana anaepita pita ukimhoji kuhusu hali ya mgonjwa na response ya matibabu anakwambia maamuzi ya kubadili dawa /approach ni mpaka daktari wako apite kesho asubuhi! Sasa wewe umejipitisha kufanya nini?
Mnataka kumtisha Bi mkubwa nini? Na RIP za kila mtu yoyote mtaani?
Najipitisha kuchukua maoni mkuu ili nimpelekee daktari mbobeziWangemkimbiza Muhimbili. Aga Khan is overrated.
Emergency room ya Aga Khan wamejaa watoto wanafanya residence, bado wako shule! Na si kwamba kuna supervisor mbobezi anawaangalia hapana, hao vijana ndio wame take over hapo reception desk ndio wanakupokea na kuku handle mwanzo mwisho na Viingereza vya Mama Suluhu, usipokufa ndio utamwona daktari wa ukweli anapita saa nne usiku...
Halafu kila daktari kijana anaepita pita ukimhoji kuhusu hali ya mgonjwa na response ya matibabu anakwambia maamuzi ya kubadili dawa /approach ni mpaka daktari wako apite kesho asubuhi! Sasa wewe umejipitisha kufanya nini?
Nimekudharau....ungeandika bila kutumia lugha ngumu na ya kuhudhi ungepungukiwa nini. Sawa mimi mshamba nimesema kutokana ninavyomjua kuwa ananyumba nzuri. Angekuwa na kiwanda ningesema pia.He!!!!! Aisee wewe bonge la mshamba what is Nyumba!??watu wanakufa wanaacha viwanda wewe unaongelea nyumba!!
Naskikia katika kipindi cha miaka mitano iliyopita Muhimbili imeimarika kuliko hospitali yoyote nchini. Nadhani Aga Khan bado inatumiwa kwa sababu ya pride tu kuwa anayekwenda pale ni mtu mwenye hela!You are right.
The right hospital in Dar is MNH.
I was attended by up to twelve doctors from the resident all the way up to a consultant.
Wana crack vichwa ikija kuamuliwa Cha kufanya Hadi Raha
Kama covid waseme.
Nafikiri ,itakuwa heart attack,kutokana na kufunga Siku nzima.Mwili umekaa bila chakula siku nzima.Unapoonza kula lazima ,kuna mshituko wa mishipa na moyo utatokea.Kabla wengi hawajafunga ni muhimu kupima afya .Najipitisha kuchukua maoni mkuu ili nimpelekee daktari mbobezi
NI mbunge viti maalum wameandika hapo juu.Ndo nani uyo mkuu
R.I.P Mapunda
Umeandika kinyonge sansSo touching saddening! My sincere heart felt condolences for family, friends and neighbours ! May Teddy Beautiful soul rest in Eternal peace
Dah.Kifo hakifai kabisa kaacha bonge la jumba. Huyu ndio alishinda tenda ya kutengeneza na kuandaa majukwaa kipindi cha Hayati JPM.