TANZIA Teddy Mapunda Afariki Dunia hospitali ya Aga Khan Dar

TANZIA Teddy Mapunda Afariki Dunia hospitali ya Aga Khan Dar

Ukitulia 'Kiumakini' sana na hasa ukijikita katika Suala zima la Yeye kuwepo huko nyuma kama Mjumbe wa iliyokuwa Bodi ya Utalii ambayo imekuwa na 'Kashfa' kadhaa za 'Ubadhirifu' Mchora Ramani Mkuu wa 'Msiba' huu wa ghafla si ngumu Kujulikana.

Samahani kidogo natoka nje ya Mada hapa eti 'Kuwekeza' Kati ya Nzega Mkoani Tabora na Kahama Mkoani Shinyanga ni wapi unaweza kupata Faida Kubwa?

Natamani sana 'Kuwekeza' hasa Nzega.
Aisee fumbo la imani!
Nzega kuna vitalu vya uwindaji? Bora makinikia

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Wangemkimbiza Muhimbili. Aga Khan is overrated.

Emergency room ya Aga Khan wamejaa watoto wanafanya residence, bado wako shule! Na si kwamba kuna supervisor mbobezi anawaangalia hapana, hao vijana ndio wame take over hapo reception desk ndio wanakupokea na kuku handle mwanzo mwisho na Viingereza vya Mama Suluhu, usipokufa ndio utamwona daktari wa ukweli anapita saa nne usiku...

Halafu kila daktari kijana anaepita pita ukimhoji kuhusu hali ya mgonjwa na response ya matibabu anakwambia maamuzi ya kubadili dawa /approach ni mpaka daktari wako apite kesho asubuhi! Sasa wewe umejipitisha kufanya nini?

Sio kweli mkuu hakuna Hosp inayotoa best care kama Aga khan kuanzia Nurses mpaka Doctors trust me one day tembelea Icu Aga khan Na Icu Muhimbili utaamin nacho kwambia Aga khan ipo Certified JCIA ni jumuia za international hosp na wanakuwa audited every two years kama standard manamaintain,

Hoja ya kuwa na juniors Doctors wengi kwa shift sio kweli kwa shift wanakuepo one intern Doctor ,one Medical officer RMO na Emergence consultant na consultant wapo wanaotoka MNH kuja kufanya part time Agkhn.

Muhimbili unayosema sijui km unaijua vizur Doctors na Nurses their not aggressive kwenye kum attend mgonjwa unaweza kusubir mpaka upate cardiac arrest hata kwny monitor hawakuwek wanafanya kazi kwa mazoe sana kwa kuwa hakuna supervisions na mortality discussion death zikitokea

Na hosp inayoongoza kwa senior Doctors kutokuepo eneo la kaZ ni MNH utakutana na Ww Afunz tu wengi hata hivo wapo kwny mafunzo la laZima wajifunze lkn wasiachwe wenyewe bila uangaliz
 
Siku yako ikifika imefika hakuna cha agkhn
Muhi2 hata upelekwe india china ujerumani!

Any way apumzike kunako staili

Ova
Kabisa mkuu, wameondoka kina Prince Philip, Maalim kina BWM, siku ikifika utaenda tu.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Kumbeee[emoji848]
IMG-20210505-WA0058.jpeg
 
Aisee!!

Dada Teddy kaondoka!! Kweli kifo ni fumbo mwanadamu kaumbiwa...

Alikuwa na moyo mzuri sana huyu dada, apumzike kwa amani
Mwendo kaumaliza, imani ameilinda,Mungu ampe pumziko la milel.e
 
Sikutaka ajira. Kuna kazi nafanya kiasi chake alinipa kazi namshukuru sana japo kazi nyingi alikuwa akiimpa mumewe ambazo zinafanana na ninazofanya mimi. Huyo dada ukisema wanawake matajiri 100 watoka kibongobongo anaweza kiwepo.
Daah kumbe alikuwa vizuri sana , so sad indeed
 
Hoja ya kuwa na juniors Doctors wengi kwa shift sio kweli kwa shift wanakuepo one intern Doctor ,one Medical officer RMO na Emergence consultant na consultant wapo wanaotoka MNH kuja kufanya part time Agkhn
Kama unakiri kwamba wataalam wao wanakuja kufanya part time Agha Khan kutoka Muhimbili kwa nini usimkimbize mgonjwa huko huko Muhimbili wanakofanya full time ?????

Na mgonjwa akizidiwa hapo Agha Khan wanamkimbiza Muhimbili, again, kwa nini usimuwahishe mgonjwa moja kwa moja huko huko Muhimbili ????
 
Nimecheka sana
Wangemkimbiza Muhimbili. Aga Khan is overrated.

Emergency room ya Aga Khan wamejaa watoto wanafanya residence, bado wako shule! Na si kwamba kuna supervisor mbobezi anawaangalia hapana, hao vijana ndio wame take over hapo reception desk ndio wanakupokea na kuku handle mwanzo mwisho na Viingereza vya Mama Suluhu, usipokufa ndio utamwona daktari wa ukweli anapita saa nne usiku...

Halafu kila daktari kijana anaepita pita ukimhoji kuhusu hali ya mgonjwa na response ya matibabu anakwambia maamuzi ya kubadili dawa /approach ni mpaka daktari wako apite kesho asubuhi! Sasa wewe umejipitisha kufanya nini?
 
Afya za watu wanazijua wao, ni siri nzito, R.i.p
Kweli wengine mabandama yamevimba,maini yanamaji,figo zinakokoto na wengine umeme unasumbua na hatimaye kukata mara paaaap,bwana ametoa na bwana ametwaa.....
Mungu wetu ni fundi
 
Kweli wengine mabandama yamevimba,maini yanamaji,figo zinakokote na wengine umeme unasumbua.
Mungu wetu ni fundi

Wamesema kwamba moyo ulisimama ghalfa na pia alikuwa na sukari ,ila kwa mabarakoa yale possible "wimbi" lilimpitia.
 
Back
Top Bottom