ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Wakuu nyie ni vijeba shikamooni.Uliposema 1987, nikaona you must have enough experience to embark on that! At that time I had my first degree -UDSM two yrs before!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu nyie ni vijeba shikamooni.Uliposema 1987, nikaona you must have enough experience to embark on that! At that time I had my first degree -UDSM two yrs before!
Actually ni Ted...Ila Teddy si jina la kike???? Kifupi cha Theresia??
Kitaa kipi?Update:Mazishi leo Goba
Safari inaanzia kwake mbezi....mazishi makaburi yapo karibu na shule ya sekondari GobaKitaa kipi?
Asante.Safari inaanzia kwake mbezi....mazishi makaburi yapo karibu na shule ya sekondari Goba
You are heading to the same destination unless you do not want to go there!Wakuu nyie ni vijeba shikamooni.
Hapana mkuu kizazi cha Dotcom hawatazeeka. Afterall bila sisi kuwa Wahenga/Vijeba wasingezaliwa. Washukuru Mama zao hawakujua maana ya arbotion na sisi pia hatukula chipsi mayai. Maana nasikia ndoa za vijana siku hizi zimeathiriwa na mafuta mwilini.....You are heading to the same destination unless you do not want to go there!
Basi vema, kama hawatazeeka basi watakufa vijana! Sidhani kama hilo wanataka kulisikia!Hapana mkuu kizazi cha Dotcom hawatazeeka. Afterall bila sisi kuwa Wahenga/Vijeba wasingezaliwa. Washukuru Mama zao hawakujua maana ya arbotion na sisi pia hatukula chipsi mayai. Maana nasikia ndoa za vijana siku hizi zimeathiriwa na mafuta mwilini.....
Lutifya, sasa hivi uko wapi?Hapana mkuu kizazi cha Dotcom hawatazeeka. Afterall bila sisi kuwa Wahenga/Vijeba wasingezaliwa. Washukuru Mama zao hawakujua maana ya arbotion na sisi pia hatukula chipsi mayai. Maana nasikia ndoa za vijana siku hizi zimeathiriwa na mafuta mwilini.....
Arusha Tech.kulikuwa na Thadeo Cosmas na Teddy MwanambilimbiKwani kulikuwa na Teddy na Thadeo ??au ndo huyo mmoja.
Dsm....Lutifya, sasa hivi uko wapi?
Kwan uongo,walijitahid lakin.....mzee wangu alikuja nacho cku moja kutoka jeshini akikunja huku kinakunja kule.....
Na mm nlifanikiwa kuiga huo mfumo wa kona kwenye gari langu la mbao utotoni....nlikua nakunja kamba ya kona mfumo wa x, nkikunja huku inakunja kule.......
Ahahahah inapendeza sanaaa
English hii ya mabaki ya mkoloni hii[emoji28][emoji28][emoji28][emoji106][emoji106][emoji106]You are real a Retired. In fact during Nyerere's era Nyumbu was substantially supported financially by the Government for R&D activities. His death left Nyumba as Yatima.....
Kweli ww unatafuta cha kumkalia kooni Mzee wa watu mtoto huna hata soniHata kufungua workshop ya kurepair bodaboda umeshindwa mkuu? Eng mzima unalima bamia?
Kakaa achana na watoto hao hawana heshima haoAm I obliged to declare what am essentially doing?. Kwa kejeli zako bora nikuambie nalima Bamia. Gereji ndio Project pekee kwa Engineer eeeh!!
Duu shikamoo bro. 87 ndio kidume nazaliwa halafu wewe uko seco1987 to 1990 Automotive Engineering tulikuwa Darasa moja na Teddy -RIP akiwa ametokea kazini nadhani Ikulu...
To be frank I come to learn that Jamiiforum encompasses individuals of different traits which any civilized person need to be ready for any unceremonial insult that will chip in....Kweli ww unatafuta cha kumkalia kooni Mzee wa watu mtoto huna hata soni
Daaah huwa naheshimu michango yako sana Nikidhani Mhenga fulani...utakuwa hujasoma English medium for sure...Duu shikamoo bro. 87 ndio kidume nazaliwa halafu wewe uko seco
Huu uzi naona ukifungwa itabidi kuwe na timu mbili...kizazi cha nyerere na kizazi cha baada ya nyerere...HESHIMA ITAREJEA JF KWA KASI YA AJABU...watoto wa fb walishaingia huku hata ujenzi wa hoja ukakosa mashiko kabisa...Duu shikamoo bro. 87 ndio kidume nazaliwa halafu wewe uko seco