TANZIA Teddy Mwanambilimbi hatunaye tena

Status
Not open for further replies.
You are heading to the same destination unless you do not want to go there!
Hapana mkuu kizazi cha Dotcom hawatazeeka. Afterall bila sisi kuwa Wahenga/Vijeba wasingezaliwa. Washukuru Mama zao hawakujua maana ya arbotion na sisi pia hatukula chipsi mayai. Maana nasikia ndoa za vijana siku hizi zimeathiriwa na mafuta mwilini.....
 
Basi vema, kama hawatazeeka basi watakufa vijana! Sidhani kama hilo wanataka kulisikia!
 
Lutifya, sasa hivi uko wapi?
 
Ubunifu wa kona za hilo gari aina ya nyumbu ulikuwa wa mbinu za kimdani mdani kumzuga adui. Dereva wa gari kakunja kushoto kombora likirushwa ola gari limekula kona kulia. Serikali iwawezeshe wafufue hicho kiwanda. Awamu ya viwanda hii.

 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji106][emoji106][emoji106]You are real a Retired. In fact during Nyerere's era Nyumbu was substantially supported financially by the Government for R&D activities. His death left Nyumba as Yatima.....
English hii ya mabaki ya mkoloni hii
 
Am I obliged to declare what am essentially doing?. Kwa kejeli zako bora nikuambie nalima Bamia. Gereji ndio Project pekee kwa Engineer eeeh!!
Kakaa achana na watoto hao hawana heshima hao
 
Duu shikamoo bro. 87 ndio kidume nazaliwa halafu wewe uko seco
Huu uzi naona ukifungwa itabidi kuwe na timu mbili...kizazi cha nyerere na kizazi cha baada ya nyerere...HESHIMA ITAREJEA JF KWA KASI YA AJABU...watoto wa fb walishaingia huku hata ujenzi wa hoja ukakosa mashiko kabisa...

maandalizi ya shikamoo yaanze haraka na sie baba zenu wakubwa na wadogo tuandae sauti za kupokea salamu zenu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…