Uchaguzi 2020 TEF yamaliza Mgogoro wa TBC na CHADEMA, wapeana Mkono

Hongera sana mh Mbowe kwa kuwatimua hao wanoko wa ccm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hamna option DStv ya kuondoa channel ya TBC maana inajizia foleni tu!
 
TBC ijirekebishe, wasidhani kuwa ni TV ya chama cha mapinduzi, bali TV ya watanzania wote yenye wajibu wa kuzipa taasisi zote halali za wananchi nafasi ya kuonekana na kusikika!

Kuna tatizo na ninyi mnaoshabikia CHADEMA. Kama chama kina haki zote za kisiasa. Lakini, mnashindwa kutofautisha haki na wajibu wa chama na wa viongozi wake. Chama kitakuwepo milele lakini viongozi wanabadilika.

Viongozi wa sasa hivi wa CHADEMA, bila kumung'unya maneno si wanasiasa wala wanaharakati. Kwa kauli na matendo yao ni wahuni. Kwa mfano mgombea wao wa Urais na Mgombea Mwenza, kwenye mikutano yao yote ya kampeni, hawamalizi bila vitisho kwa viongozi wa Serikali na Vyombo vyake (TRA, vyombo vya ulinzi, mahakama, nk) vilivyoundwa kikatiba. Kama wanaweza kuvibeza hawajapata madaraka, wakipewa madaraka, ni dhahiri kuwa watavitumia kwa maslahi yao binafsi.

Kwa sababu hiyo, nina uhakika makubaliano ya viongozi hao na TBC ni wa mashaka kama ambavyo Mkuu Missile of the Nation unavyodai TBC ijirekebishe, wasidhani kuwa ni TV ya chama cha mapinduzi. Haya ni mawazo hasi nje ya utu.
 
Ila Mbowe hua ana busara za kidwanzi sana,sasa amewalegezea hao jamaa ili iweje sasa wkt wataendelea na utaratibu wao huo huo

Jino kwa jino ilikua ndio mpango mzima.
alikosea ,alitakiwa akomae mwanzo mwisho ,maana Ryoba alivyoongea ni kama wao ndo wanapata hasara ya kuleta taswira mbaya kwa jamii.Mbowe alitakiwa awakazie
 
huo ushauri wako niwa mihemko na chuki kwa chadema kwahiyo haufai kaa chini sahizi na familia yako usome kwa sauti kama hata watoto wako hawajakupiga makofi akili ikae sawa
 
Haina haja ya kuwarushia matangazo? Hiyi jeuri mnaitoa wapi? wakati hata online Media hamna imeparalyse , kila siku mnakilalamikia kitengo chenu cha habari hapa

Pilipili usizozila zinakuwasha je jombi?

"Why do you keep poking your nose onto issues of no concern to yourself?"

Kazi kweli kweli.
 
Mbowe nae, kwani lazima wapatanishwe? Angewapotezea tu hawatajirekebisha maana kupatana kwao wamelazimishwa na TEF
 
huo ushauri wako niwa mihemko na chuki kwa chadema kwahiyo haufai kaa chini sahizi na familia yako usome kwa sauti kama hata watoto wako hawajakupiga makofi akili ikae sawa
Kwa lugha na wazo lililomo kwenye jibu lako hakika umewakilisha sawasawa uhuni wenu
 
Kwa lugha na wazo lililomo kwenye jibu lako hakika umewakilisha sawasawa uhuni wenu
ushauri wangu ufanyie kazi usilete bangi zako hapa siyo kijiwe cha wahuni
 
TBC wajanja sana.

Wanataka kufutilia mbali picha za kuchonga si watakuwa live.
 
Twende mbele turudi nyuma bila ccm kung'oka madarakani hali itakua ile ile
 
Huyo ndo mwamba mbowe, tibisii wameona cdm watakuwa ikulu soon wameona waombe pooooo
 
Kuheshimiana muhimu sana , umesikia wewe bwana Bulile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…