Tegeta Escrow: TANESCO yashindwa kesi dhidi ya IPTL. Yaamriwa kulipa zaidi ya Sh. Bilioni 320!

Tegeta Escrow: TANESCO yashindwa kesi dhidi ya IPTL. Yaamriwa kulipa zaidi ya Sh. Bilioni 320!

.....hii ruling moja kwa moja inawavua nguo TANESCO na BoT.....kwamba walifanya makosa makubwa kuwalipa PAP na VIP hela toka kwenye mfuko wa escrow wakati wao hawakua party kwenye escrow agreement....hapa lazima BoT waeleze nani aliruhusu zile pesa walipwe kina VIP na PAP toka escrow account....

....escrow account ilikuwa ni agreement kati ya tanesco....na standard chartered bank (HK)...na BoT(kama mtunza fedha)....sasa wao tanesco wameruhusu sehemu ya pesa za escrow kulipwa kwa VIP na PAP kinyume na mkataba wa awali....hili ni kosa...na lazima tuhiji kwanini BoT walilipa ile hela???...kazi kwa utawala wa JPM hapa.....
Hilo lilihojiwa sana wakati wa like sakata lakini majibu yalikuwa ya kisiasa majibu halisi ndio haya tulipe zaidi ya shs bn 320 na riba na tozo maumivu makali sana mshahara utaongezwa kweli??
 
Kama vipi Ozeh achapishe hela awalipe hao jamaa . Maana alihaidi kuchapisha hela..
wazo zuri sana, hata asipate tabu achapishe bilioni 400 kabisa awape zao bilioni 300, hizo 100 apeleke chato zimalizie ule uwanja wa ndege wa kimataifa
 
Kweli kabisa sasa hivi gharama za umeme zitaanza kupanda. Walituondolea capacity charge sasa watarudisha tena.
Au tutaambiwa tuendelee kulipa kodi mbalimbali ili kufidia madeni ya kizembe kama haya.

Kuna watu wanafaidi sana hii nchi halafu sisi tunabebeshwa mzigo.
 
Kwahiyo hapo sisi watumiaji ndo imekula kwetu nchi hii ina mambo ya kijinga sana na hili shirika sijui kwanini wanashindwa kulipa mshindani wake kama ilivyo mitandao ya simu mana lingeshajifia siku nyingi huduma mbovu ila maingizo yao makubwa

Tanesco hawana kosa. Walioruhusu pesa ilipwe kutoka account ya escrow na waliopokea wakamatwe na walipe hilo deni. Takukuru bila shaka bado wanalo hilo jalada.
 
Nshasema kwanini kupatwa kwa jua kule mbeya no Ujumbe kuwa kwa Uongozi huu TANZANIA TUMEPATWA
 
Tanesco hawana kosa. Walioruhusu pesa ilipwe kutoka account ya escrow na waliopokea wakamatwe na walipe hilo deni. Takukuru bila shaka bado wanalo hilo jalada.
Takukuru wana jalada lakini hawana meno wana size yao ya kuwakamata ligi kubwa hutawasikia ila ligi ndogo huwa wanaonyesha ubora wao
 
Hatuwezi kulip mara mbili,hao standard chartered wamalizane na PAP kama walidhulimiana,
na wakicheza hizo jenereta tunataifisha,
sisi hatujaribiwi....
 
Wale wazee wa 'vijesenti vya ugoro' na 'pesa ya mboga' ndio wakalipe.., sio kutiana umasikini namna hii
Kitu cha kwanza waliohusika wawajibike
Wanasiasa husika
Watumishi waliohusika including bank kuu wizara ya Mhongo
Mwanasheria mkuu
Wizara ya katiba na sheria
Kamati ya zito na marehemu filipinjombe ya bunge la 10
Tanesco
Wizara ya fedha na wengine waliohusika directly or indirectly.
Haiwezekaniki tupoteze hela nyingi hivi.
Uchunguzi wa kina ufanyike na wataalam siyo wanasiasa
Katiba ya warioba ipitishwe hii ina meno siyo hii ya kulindana
Sasa hivi mkuu unatakiwa uwe discrete na principled weka siasa pendind please.
 
Kwe mwendo huu, Tanzania ya viwanda ni ndoto za alinacha.
 
Back
Top Bottom