Tegeta Escrow: TANESCO yashindwa kesi dhidi ya IPTL. Yaamriwa kulipa zaidi ya Sh. Bilioni 320!

Tegeta Escrow: TANESCO yashindwa kesi dhidi ya IPTL. Yaamriwa kulipa zaidi ya Sh. Bilioni 320!

Kukopa arusi kulipa matanga! Jamani hili deni lilipwe ili tusahau, maana kama watu wenyewe wameshindwa kuvunja mikataba ya kinyonyaji kama hii unategemea nini? wanasheria wetu ndo kama hao mfano wa akina Werema na Masaju unategemea tutashinda kesi gani sisi? Mwaka huu kuna mtu mpaka ajinyee!!
 
Kafulila David, ulichokieleza kilikuwa na thamani zaidi ya hiyo miaka 5 ya ubunge ulioukosa, sasa wengi tunaona na Tanzania ya vizazi vijavyo itakuelewa zaidi ya mbumbumbu sisi tunaoishi sasa!
 
Hizo hela lazma zilipwe tu tena on time!! Mda wa kulipa deni ukiisha tunawalamba na penati!

Watanzania wanabakwa mchana kweupee na wao wakionekana kufurahia hicho kitendo!
 
..we akili yako finyu huwezi hata kusoma na kuona nani wanatakiwa kurudisha hizo pesa....pamoja na scandal yote kuibuka mwaka jana bado hujui nani wa kulipa...usaidiweje we sasa....
Umedhihirisha ulivyo kizibo kwa akili yako unadhani mwenye kubeba hili jukumu la kulipa ni nani? Muda mwingine tumia makalio kwa ajili ya kukaa usiyape kazi isiyostahili
 
.....sasa hapo JPM ndio ana mtihani...maana waliokwapua zile pesa wanajulikana....wamewalipa PAP na VIP kwa makosa pesa za St. chartered bank (HK)...

.....waanze na BoT walioruhusu hela kutoka..na utaona hiyo bil.320+ ndio kiasi cha pesa za escrow zilizochotwa...hizi hela zilibarikiwa zitoke kuanzia juu ......hapo ndipo JPM ana mtihani....ifike mahali sasa aanze na hili la escrow...aache kushughulika na vidagaa wasio na impact kwenye kukua kwa nchi...

Hawezi kukata tawi alilokalia.
 
Hilo lilihojiwa sana wakati wa like sakata lakini majibu yalikuwa ya kisiasa majibu halisi ndio haya tulipe zaidi ya shs bn 320 na riba na tozo maumivu makali sana mshahara utaongezwa kweli??
...alafu eti wanalalamika watu wanaficha hela!!...wanaficha hela wakati wamebebeshana hela hizi wao kwenye masandarusi na wanajua walivyozipitisha stanbic.....pesa zile ndio hizi zinazodaiwa....bil.320.....utaona ndio kiasi kile walichokwapua kupitia stanbic na VIP(kwa ruge).....wazirudisheee......tanesco wasilipe kitu bali wakomae na ule mzigo uliolipwa PAP kupitia stanbic na VIP (kupitia mkombozi)...
 
Kafulila David, ulichokieleza kilikuwa na thamani zaidi ya hiyo miaka 5 ya ubunge ulioukosa, sasa wengi tunaona na Tanzania ya vizazi vijavyo itakuelewa zaidi ya mbumbumbu sisi tunaoishi sasa!
Watanzania watu wa ajabu sana yaani jitihada za kafulila za kuinusuru serikali na hasara kubwa hv hatukuona tujamnyima ubunge? Kweli ss wanafiki
 
wazee wenye solar zenu jiandaeni kuuza kwa sana,manake tunatarajia bei ya umeme kupanda tena ili tulipe hizo $ 148mn kwenda kwa SCBHK kwa kua zile ambazo tulikusanya miaka iliyipita ili kuwalipa hao SCBHK wajanja walituzidi maarifa wakazila (Tegeta escrow ya Rugemalila_VIP enegineering &PAP)
 
Kwahiyo hapo sisi watumiaji ndo imekula kwetu nchi hii ina mambo ya kijinga sana na hili shirika sijui kwanini wanashindwa kulipa mshindani wake kama ilivyo mitandao ya simu mana lingeshajifia siku nyingi huduma mbovu ila maingizo yao makubwa
Wakamtwe PAP na washirika wao walioshiriki kuidhinisha,Mahakamani imesema kabisa PAP walilipwa kimakosa.kwa hiyo hao ni matapeli kweli Tanzania shamba la bibi na wahusika wengine wanaongoza Tanesco,Hizi habari sio nzuri kwa Mhongo jiuzulu bro
 
Watanzania watu wa ajabu sana yaani jitihada za kafulila za kuinusuru serikali na hasara kubwa hv hatukuona tujamnyima ubunge? Kweli ss wanafiki

Namuona kafulila km shujaaa kwa nchi yangu japo magumashi yametumika ili mradi tu asirudi bungeni.
 
Daaah bado ndogo ingekuwa USD dollar tirion 4 ingekuwa pouwa sana kwa sababu watu awashauriki. Kila anaewashauri wanamuona mpinzani wanaongozwa na matamko, fikra, matwaka na matumbo yao. Haitopita wiki watoa matamko watatapika yaliyomo vichwani mwao​
 
Kukopa arusi kulipa matanga! Jamani hili deni lilipwe ili tusahau, maana kama watu wenyewe wameshindwa kuvunja mikataba ya kinyonyaji kama hii unategemea nini? wanasheria wetu ndo kama hao mfano wa akina Werema na Masaju unategemea tutashinda kesi gani sisi? Mwaka huu kuna mtu mpaka ajinyee!!

Serikali ya JK ndio ilibariki hii michezo michafu...shame
 
Umedhihirisha ulivyo kizibo kwa akili yako unadhani mwenye kubeba hili jukumu la kulipa ni nani? Muda mwingine tumia makalio kwa ajili ya kukaa usiyape kazi isiyostahili
...kujibishana na idiots kama wewe ni kupoteza muda tu...nyie huwa mnatumw kuvuruga mijadala humu...hivyo i won't waste my time with a foolish mind like yours....
 
Hatulipiiiii, hatulipiiiiiii... hatulipiiiiiiiiiii... na iwe mwisho huu uwizi...!!

Enough is enough...!!
 
Back
Top Bottom