Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
400m×30=12bilioni,makusanyo kwa mwezi=1.1trilion,hiyo pesa ndogo sana [emoji1] [emoji1] [emoji1]Viongoz wa serikali na ccm ndio wanaonufaika na hiyo iptl...
Haiwezekani iptl walipwe pasipo kutoa huduma yoyote...
Tanesco inakusanya mapato kwa raia na pesa hizo kulipa wajanja wachache ifike mwisho kwa kuvunja mkataba na iptl..
Tanzania ni nchi ya amani tuitunze amani yetu,yeyote atakayeleta fyokofyoko atashughulikiwa.Hiyo ndo ccm wapiga dili wao nawao hao hao wanasema wanazui ufisadi maajabu
Tutalipa hilo deni mpaka tufe au Tanzania ife.Samahani naomba kuuliza watalipwa mpka lini?
/
Mkataba unaisha lini?
Ilifika mahali Kafulila aliitwa tumbili.Na ilibakia kidogo mwanasheria mkuu wa serikali amchape makonde Kafulila.Daima tutamkubuka Kafulila....bunge limekaa likapitisha maazimio....mojawapo ikiwa dhidi ya PAP na umiliki wa IPTL...utekelezaji wa maazimio ya bunge hadi leo hatujaona feedback yake bungeni....mambo yanafanyika kama vile nothing happened....ifike mahali hili suala la escrow lirudi lijadiliwe bungeni...kwamba pesa hizi walipe waliozichota....maana wanajulikana....namwona Kafulila akianza kukumbukwa kwa mchango wake kwa taifa hili...maana alipiga kelele saana wakati hela hizi zinataka kulipwa kwa PAP na VIP..lakini wao wakang'an'gana na amri yao ya kimagumashi ya jaji Utamwa...wakachota hela....
Kuna huo mzimu tena?Upo sahihi Mkuu hili la kesi ya mchanga wa madini ndio litakuja kuzima ndoto ya "tanzania yangu ni ya viwanda"