Tegeta Escrow: TANESCO yashindwa kesi dhidi ya IPTL. Yaamriwa kulipa zaidi ya Sh. Bilioni 320!

Tegeta Escrow: TANESCO yashindwa kesi dhidi ya IPTL. Yaamriwa kulipa zaidi ya Sh. Bilioni 320!

Kwa nn watu hatuna uzalendo kazi kuombea mabaya tu serikali why,inawezekana kabisa nyie mnaoombea mabaya hata familia zenu huwa mwaziombea mabaya iweni na uzalendo
Uzalendo upi kwa hiyo kichwani mtu mwizi ndiyo mzalendo,ndiyo nyie familia zenu zinahusika mnakula kwa mrija mmepofushwa macho mmeshiba,siyo kwamba wanafurahia watu wamekasirika,Ili kujua wamekasirika subiri issue ya mifuko jamii
 
Ukimuona Mtu anatoka kifua mbele na kujinasibu eti yeye CCM, inabidi umtizame kwa jicho la tatu.
 
Wakamtwe PAP na washirika wao walioshiriki kuidhinisha,Mahakamani imesema kabisa PAP walilipwa kimakosa.kwa hiyo hao ni matapeli kweli Tanzania shamba la bibi na wahusika wengine wanaongoza Tanesco,Hizi habari sio nzuri kwa Mhongo jiuzulu bro
Mambo ya PAP walishayazika ndomana walipigana watu kama kina kafulila wasiweze kurudi bungeni..sisi wananchi ndo wakuisoma namba
 
Hiki kitu kilichotokea kwa serikali kulipa PAP sio kitu cha bahati mbaya, seriklai ilijua kabisa huwezi lipa PAP wakati huo kuna kesi mahakamani kati ya serikali na SCB-HK, hili lilikuwa ni dili ambalo walilisuka wao wenyewe, hii nchi ya kijinga sana, wakalipa dol mil 200 kwa PAP( haya ni malipo Hewa), leo tena wanaamuliwa kulipa dol mil 148.4 over Bil 300 za kitanzania, bado hao waliolipwa ile pesa ya ESCROW wapo, yule mhindi yupo, watu wa serikali na viongozi walio fanya huu ujanja ujanja hadi malipo yakafanyika kwa PAP wapo, ilitakiwa baada ya habari hii kupatikana serikali ingekuwa imeshamkamata huyu mhindi na wenzake wote haraka ili wasikimbie, lakini tunabaki wote tunashangaa tu. Haiwezekani watu wapige bil 300+ tukawaacha hivi hivi, huu ni wizi wa karne.
Sisi tuna deal na wanaotishia ulaji wetu tu,hayo mengine mtalipa tu tena kwa kodi yenu
 
Wengine hatuna vyama coz tunafanya mambo zetu nyie mlongangania vyama itakula kwenu,kijana mwenzangu amka sio wakati Wa kulalamika Tulsa ziko nyingi
 
...kujibishana na idiots kama wewe ni kupoteza muda tu...nyie huwa mnatumw kuvuruga mijadala humu...hivyo i won't waste my time with a foolish mind like yours....
Huwezi jibishana hapa kwa sababu si saizi yako umezoea huko kwa wajinga wenzio na vizibo wa FB..unakuja kuchangia mada huku una stress unategemea utaeleweka naweza kuwa nabishana na jiwe ambalo hata bili ya umeme halilipi linalipiwa moja kwa moja na serikali au wazazi hivyo halioni mwananchi wa chini anaumia kiasi gani
 
Hivi huu Ufisadi hata Lowassa alihusika maana Usishangae ccm wakamtaja kuwa ndyo kasababisha.
 
Hiki kitu kilichotokea kwa serikali kulipa PAP sio kitu cha bahati mbaya, seriklai ilijua kabisa huwezi lipa PAP wakati huo kuna kesi mahakamani kati ya serikali na SCB-HK, hili lilikuwa ni dili ambalo walilisuka wao wenyewe, hii nchi ya kijinga sana, wakalipa dol mil 200 kwa PAP( haya ni malipo Hewa), leo tena wanaamuliwa kulipa dol mil 148.4 over Bil 300 za kitanzania, bado hao waliolipwa ile pesa ya ESCROW wapo, yule mhindi yupo, watu wa serikali na viongozi walio fanya huu ujanja ujanja hadi malipo yakafanyika kwa PAP wapo, ilitakiwa baada ya habari hii kupatikana serikali ingekuwa imeshamkamata huyu mhindi na wenzake wote haraka ili wasikimbie, lakini tunabaki wote tunashangaa tu. Haiwezekani watu wapige bil 300+ tukawaacha hivi hivi, huu ni wizi wa karne.
hapa tunataka kufanyiwa utapeli tu,wanajua kimombo kinatupiga chenga kwahiyo wanazungusha vifungu vya sheria na kutupiga navyo huku pesa walishavuta.
Kama hao standard chartered bank ile ni mitambo yao kwanini hawakuwa na management hapo kwenye plant?

Yaani mtu atoke hongkong anakuja kudai hela burebure tu?
 
Daaah bado ndogo ingekuwa USD dollar tirion 4 ingekuwa pouwa sana kwa sababu watu awashauriki. Kila anaewashauri wanamuona mpinzani wanaongozwa na matamko, fikra, matwaka na matumbo yao. Haitopita wiki watoa matamko watatapika yaliyomo vichwani mwao​

nimekupa like namba 1 !
 
Daaah bado ndogo ingekuwa USD dollar tirion 4 ingekuwa pouwa sana kwa sababu watu awashauriki. Kila anaewashauri wanamuona mpinzani wanaongozwa na matamko, fikra, matwaka na matumbo yao. Haitopita wiki watoa matamko watatapika yaliyomo vichwani mwao​
Dola trillion nne hii nchi hata ingepigwa mnada isingetosha
 
Kama sijasahau, Wakati wanakalibia kupiga deal lao la "Escrow" Governor wa Bank Kuu Prof. Ndulu aliwataka hao PAP + IPTL wasaini agreement ya "Kinga" dhidi ya serikali endapo kutatokea lolote...

Hapa sasa tuone busara za JPM
 
KUNA MIJITU SERIKALI HII YA CHICHIEM HATA
IBILISI ANAWAOGOPA KWA MAMBO WANAYOYAFANYA....

OVA
 
Tunakoelekea Unit 1 tutauziwa kwa TSh 600 na kama hutaki utalala Gizani.

Unazani hill deni nani atalipa kama sio Watanzania wote.
 
Back
Top Bottom