Atclkwanza
JF-Expert Member
- Dec 20, 2015
- 823
- 998
Uzalendo upi kwa hiyo kichwani mtu mwizi ndiyo mzalendo,ndiyo nyie familia zenu zinahusika mnakula kwa mrija mmepofushwa macho mmeshiba,siyo kwamba wanafurahia watu wamekasirika,Ili kujua wamekasirika subiri issue ya mifuko jamiiKwa nn watu hatuna uzalendo kazi kuombea mabaya tu serikali why,inawezekana kabisa nyie mnaoombea mabaya hata familia zenu huwa mwaziombea mabaya iweni na uzalendo
Mambo ya PAP walishayazika ndomana walipigana watu kama kina kafulila wasiweze kurudi bungeni..sisi wananchi ndo wakuisoma nambaWakamtwe PAP na washirika wao walioshiriki kuidhinisha,Mahakamani imesema kabisa PAP walilipwa kimakosa.kwa hiyo hao ni matapeli kweli Tanzania shamba la bibi na wahusika wengine wanaongoza Tanesco,Hizi habari sio nzuri kwa Mhongo jiuzulu bro
Sisi tuna deal na wanaotishia ulaji wetu tu,hayo mengine mtalipa tu tena kwa kodi yenuHiki kitu kilichotokea kwa serikali kulipa PAP sio kitu cha bahati mbaya, seriklai ilijua kabisa huwezi lipa PAP wakati huo kuna kesi mahakamani kati ya serikali na SCB-HK, hili lilikuwa ni dili ambalo walilisuka wao wenyewe, hii nchi ya kijinga sana, wakalipa dol mil 200 kwa PAP( haya ni malipo Hewa), leo tena wanaamuliwa kulipa dol mil 148.4 over Bil 300 za kitanzania, bado hao waliolipwa ile pesa ya ESCROW wapo, yule mhindi yupo, watu wa serikali na viongozi walio fanya huu ujanja ujanja hadi malipo yakafanyika kwa PAP wapo, ilitakiwa baada ya habari hii kupatikana serikali ingekuwa imeshamkamata huyu mhindi na wenzake wote haraka ili wasikimbie, lakini tunabaki wote tunashangaa tu. Haiwezekani watu wapige bil 300+ tukawaacha hivi hivi, huu ni wizi wa karne.
Huwezi jibishana hapa kwa sababu si saizi yako umezoea huko kwa wajinga wenzio na vizibo wa FB..unakuja kuchangia mada huku una stress unategemea utaeleweka naweza kuwa nabishana na jiwe ambalo hata bili ya umeme halilipi linalipiwa moja kwa moja na serikali au wazazi hivyo halioni mwananchi wa chini anaumia kiasi gani...kujibishana na idiots kama wewe ni kupoteza muda tu...nyie huwa mnatumw kuvuruga mijadala humu...hivyo i won't waste my time with a foolish mind like yours....
hapa tunataka kufanyiwa utapeli tu,wanajua kimombo kinatupiga chenga kwahiyo wanazungusha vifungu vya sheria na kutupiga navyo huku pesa walishavuta.Hiki kitu kilichotokea kwa serikali kulipa PAP sio kitu cha bahati mbaya, seriklai ilijua kabisa huwezi lipa PAP wakati huo kuna kesi mahakamani kati ya serikali na SCB-HK, hili lilikuwa ni dili ambalo walilisuka wao wenyewe, hii nchi ya kijinga sana, wakalipa dol mil 200 kwa PAP( haya ni malipo Hewa), leo tena wanaamuliwa kulipa dol mil 148.4 over Bil 300 za kitanzania, bado hao waliolipwa ile pesa ya ESCROW wapo, yule mhindi yupo, watu wa serikali na viongozi walio fanya huu ujanja ujanja hadi malipo yakafanyika kwa PAP wapo, ilitakiwa baada ya habari hii kupatikana serikali ingekuwa imeshamkamata huyu mhindi na wenzake wote haraka ili wasikimbie, lakini tunabaki wote tunashangaa tu. Haiwezekani watu wapige bil 300+ tukawaacha hivi hivi, huu ni wizi wa karne.
Daaah bado ndogo ingekuwa USD dollar tirion 4 ingekuwa pouwa sana kwa sababu watu awashauriki. Kila anaewashauri wanamuona mpinzani wanaongozwa na matamko, fikra, matwaka na matumbo yao. Haitopita wiki watoa matamko watatapika yaliyomo vichwani mwao
Waliopiga pesa yuko nao serikalini, After all zilikuwa pesa za mboga tu.Ngoja tusubiri mkuu atasema nini? maana ninavyomjua.IPO namna.
Dola trillion nne hii nchi hata ingepigwa mnada isingetoshaDaaah bado ndogo ingekuwa USD dollar tirion 4 ingekuwa pouwa sana kwa sababu watu awashauriki. Kila anaewashauri wanamuona mpinzani wanaongozwa na matamko, fikra, matwaka na matumbo yao. Haitopita wiki watoa matamko watatapika yaliyomo vichwani mwao
Unafikiri ni kwann makada wa ccm na vigogo wakubwa wa serikali walipata mgao?Kama Seth Habinder Sing na Rugemalira hawakuwa wanastahili kulipwa kwanini Serikali isiwachukulie hatua?
ha ha ha,we nadhani ngosha unamsikia kwenye majira,hiyo pesa hailipwi na hakuna kitu watafanya,,Wanaolipa hio hela ni mimi na wewe kupitia kodi tunazolipa kwenye umeme
Usipolipa mahakama ina issue warrant wa Ku seize Mali za Tanzania popote ilipoHatulipiiiii, hatulipiiiiiii... hatulipiiiiiiiiiii... na iwe mwisho huu uwizi...!!
Enough is enough...!!
Wengine hatuna vyama coz tunafanya mambo zetu nyie mlongangania vyama itakula kwenu,kijana mwenzangu amka sio wakati Wa kulalamika Tulsa ziko nyingi
Ila PAP ndo alipiga za hatari na mzee mzima Ruge...Duh!! mwaka huu wetuuu. Watu wameficha pesa na madeni yanaongezeka bila kusahau majanga kama tetemeko na njaa.....hapakaxituuu
KUNA MIJITU SERIKALI HII YA CHICHIEM HATA
IBILISI ANAWAOGOPA KWA MAMBO WANAYOYAFANYA....
OVA