Tegeta Escrow: TANESCO yashindwa kesi dhidi ya IPTL. Yaamriwa kulipa zaidi ya Sh. Bilioni 320!

Tegeta Escrow: TANESCO yashindwa kesi dhidi ya IPTL. Yaamriwa kulipa zaidi ya Sh. Bilioni 320!

Wakamatwe wote waliojichotea fedha zetu warejeshe zote. Hayo malipo kwa SCB yatatoka humo
 
Mbona liko wazi na walishalifikiria wakati mahakama ilipoamua kumtambua PAP kama legal owner of IPTL swala ambalo TANESCO awawezi pinga na wala awana sababu; wao walichotaka mahakama itambue akija mtu mwingine kudai na yeye ni mmiliki wa IPTL wamalizane huko huko na PAP akakubali hili. Kwa hivyo zoezi lote linarudi mahakamani likija Tanzania ambapo SCB-HK inabidi wathibithishe kama wao ndio wamiliki wa IPTL kisheria na ikibainika hivyo PAP analipa deni lolote.

Hapo inachanganya kidogo, ina maana kiuhalisia TANESCO hana cha kulipa hapo bali kampuni ya PAP (Pan Africa Power Solutions Tanzania Ltd) ya Mr. H. Singh Sethi ndiyo inatakiwa kuilipa SCB-HK.

Sasa hawa gazeti la ''The Guadian'' kutuwekea kichwa cha habari TANESCO ordered to pay $148m over IPTL dispute kama cha magazeti-pendwa kuwa TANESCO wameshindwa kesi na itabidi walipe deni siyo sahihi ila gazeti la the Guardian wamefanya mbinu kuuza magazeti mengi !

Na mwisho naomba ufafanuzi (kwa faida ya wanaJF), katika mikataba ya kiuwekezaji/kibiashara kimataifa, sheria gani inatiliwa mkazo zaidi kuliko zote (inayofuatwa / take precedence) ni sheria ya nyumbani (Mahakama Kuu ya Tanzania) au sheria ya Kimataifa?
 
Hukumu inahusu TANESCO kulipa $148 millioni. TANESCO walishakusanya pesa taslimu $75 millioni ambazo ziliibwa na mafisadi na kugawana kama njugu huku wakitetewa na Kikwete kwamba zile pesa ni halali ya wale majizi Rugemarila and Co.

Bila shaka Kikwete alinufaika na pesa zile ndiyo sababu akawakingia kifua na kama mtakumbuka kulikuwa na rumours zilizozagaa nchini wakati ule kwamba kuna mke wa kigogo kashikishwa mgao wa kati ya bilioni 2 mpaka 5 lakini mke wa kigogo huyo wa Ikulu hadi hii leo hajulikani ni nani.

Serikali iwakamate mara moja wezi wote wa pesa za escrow, wanyang'anywe passport za kusafiria warudishe kila senti waliyopora toka TANESCO na wataje mali zao ndani na nje ya nchi na bank accounts zao zote ndani na nje ya nchi ziwe frozen na Serikali ili kuhakikisha Serikali inakusanya haraka iwezekanavyo $75 miilioni zilizoibwa na mali za wahusika zifilisiwe ili kuziuza na kuhakikisha hiyo pesa inapatikana haraka iwezekanavyo. Pia wezi wa pesa zile na waliopokea pesa za wizi wakiwemo Chenge, Tibaijuka, Ngeleja na wengine wote wapandishwe kizimbani haraka sana, kama nchi itatikisika bora na itikisike ili kukomesha hawa wahuni na majambazi. Management na Board of Directors waiambie Serikali kwamba wao watalipa $73 millioni tu.
 
Hukumu inahusu TANESCO kulipa $148 millioni. TANESCO walishakusanya pesa taslimu $75 millioni ambazo ziliibwa na mafisadi na kugawana kama njugu huku wakitetewa na Kikwete kwamba zile pesa ni halali ya wale majizi Rugemarila and Co.

Bila shaka Kikwete alinufaika na pesa zile ndiyo sababu akawakingia kifua na kama mtakumbuka kulikuwa na rumours zilizozagaa nchini wakati ule kwamba kuna mke wa kigogo kashikishwa mgao wa kati ya bilioni 2 mpaka 5 lakini mke wa kigogo huyo wa Ikulu hadi hii leo hajulikani ni nani.

Serikali iwakamate mara moja wezi wote wa pesa za escrow, wanyang'anywe passport za kusafiria warudishe kila senti waliyopora toka TANESCO na wataje mali zao ndani na nje ya nchi na bank accounts zao zote ndani na nje ya nchi ziwe frozen na Serikali ili kuhakikisha Serikali inakusanya haraka iwezekanavyo $75 miilioni zilizoibwa na mali za wahusika zifilisiwe ili kuziuza na kuhakikisha hiyo pesa inapatikana haraka iwezekanavyo. Pia wezi wa pesa zile na waliopokea pesa za wizi wakiwemo Chenge, Tibaijuka, Ngeleja na wengine wote wapandishwe kizimbani haraka sana, kama nchi itatikisika bora na itikisike ili kukomesha hawa wahuni na majambazi. Management na Board of Directors waiambie Serikali kwamba wao watalipa $73 millioni tu.

Mkuu kuna sheria. Lakni zaidi,mkuu wa nchi alishawahi kusema kuwa escrow sio hela za serikali.
Lakini cha ajabu watu walichukua pesa kwa magunia na kwenda kusikojulikana.
 
Hapo inachanganya kidogo, ina maana kiuhalisia TANESCO hana cha kulipa hapo bali kampuni ya PPA ya Mr. H. Singh Sethi ndiyo inatakiwa kuilipa SCB-HK.

Sasa hawa gazeti la ''The Guadian'' kutuwekea kichwa cha habari TANESCO ordered to pay $148m over IPTL dispute kama cha magazeti-pendwa kuwa TANESCO wameshindwa kesi na itabidi walipe deni siyo sahihi ila gazeti la the Guardian wamefanya mbinu kuuza magazeti mengi !
Hiyo ndio agenda yao kama taifa hiyo SCB-HK parent company ni SCB-UK wao wanachotaka watambulike kama wamiliki wa IPTL balozi (wa UK) keshatumia nguvu sana kulazimisha hii agenda na wanapofungua kesi za madai huko wanafungua kama wamiliki wa IPTL ndio maana mahakama inaweza toa hizo ruling. Na hakuna anaetaka kujua their legal ownership huko wanapofungua.

Ata wewe kesho ukienda kufungua partnership company kuna vigezo vyake vinavyokutambulisha wewe na huyo partner mwingine huko BRELLA kupitia partnership deed, mfano how partnership comes to an end other than in natural legal aspects kama death, each partners rights; etc with what was drafted in the partnership deed.

Sasa ikitokea mmbia mwenzako kaenda kuchukua mkopo kwa jina la kampuni (which is disputable) halafu baadae huyo mdeni anadai wewe aupo tena na yeye kutumia deni ndio mmiliki mpya. Wewe si utasema hapana nipe deni nilipe mimi sikutambui wewe na wala sheria aimtambui kwenye deed of ownership. Hapo ndio mzozo wa umiliki wa IPTL ulipo mahakama imeamua kwakuwa Rugemalira anatambulika kama mmoja wa mmbia na karidhia kuuza partnership rights zake kwa PAP kwa hivyo PAP ndio mmiliki mpya.

Pamoja na hayo mahakama pia imemtaka PAP kama mmiliki mpya wa IPTL akija mdeni wowote wa IPTL au TANESCO amalizane nae. Wao IPTL awaja kataa deni lilioachwa na mmbia mwingine na wako tayari kulilipa isipokuwa mdeni ataki malipo ya deni yeye anachotaka ni umiliki kamili wa IPTL kwa vigezo gani vya sheria ndio ataki kuja Tanzania anakimbilia huko kwa wazungu wenzake.
 
Kikwete hana utaalamu wowote ule wa mambo ya pesa kuliko Wataalam wa TRA, CAG na BoT ambao wote walithibitisha kwamba pesa zile ni za umma

Mkuu kuna sheria. Lakni zaidi,mkuu wa nchi alishawahi kusema kuwa escrow sio hela za serikali.
Lakini cha ajabu watu walichukua pesa kwa magunia na kwenda kusikojulikana.
 
That is the legal process kama unadaiwa, una debt agreements, uwezi lipa mahakama itatafuta liquidator aje kufanya assets stripping kufidia deni; na hili liko wazi SCB-HK wanaidai IPTL hilo alina ubishi lakini awana ubia nao wala uhalali wa kisheria wa kuwa wamiliki wa IPTL hiyo ndio hoja ya Rugemalira...
Eric Cartman, ungekuwa unafanya preview kidogo kabla ya kubonyeza send ingesaidia sana...ni ushauri tu.
 
Honestly nashindwa kubaini wapi pa kutumia (h)iyo tatizo sijaandikia kiswahili kwenye elimu yangu kwa hivyo natumia pronunciation to wording. Ata kuandika kama unavyoona niko fluent kwenye kiswahili lakini psychologically i struggle to string 100 words without mixing language. Sasa sitarajii kama kuna walimu humu ndani au wewe kama mshabiki wa matumizi ya lugha sahihi basi ignore tu.

Mkuu,
Basi katika masuala haya ya kitaalamu unaweza kutupia kila kitu 100% kwa kutumia ''plain english'' naamini asilimia kubwa tutakuelewa. Maana tunataka kufahamu kwa undani na usahihi suala hili kwa kuwa vyombo vingine vya kupashana habari Tanzania hakuna ''uhuru'' wa kujieleza, kuchangia mawazo au kuulizwa kama humu JamiiForums.
 
Mkuu,
Basi katika masuala haya ya kitaalamu unaweza kutupia kila kitu 100% kwa kutumia ''plain english'' naamini asilimia kubwa tutakuelewa. Maana tunataka kufahamu kwa undani na usahihi suala hili kwa kuwa vyombo vingine vya kupashana habari Tanzania hakuna ''uhuru'' wa kujieleza au kuulizwa kama humu JamiiForums.
If I have to hakuna shida matter of fact shughuli zangu za kila zina involve kuandika kwa kizungu na believe me huko zinapoenda zinarudi well written work na kigezo moja wapo kutumia lugha za kitaaluma; but then I have to check and edit tatizo hapa sina muda.
 
Kimenuka,Tundu lisu alisema kuna kesho ya tanesiko,na bank ya stands chat ya China,na akataharisha kuwa tukiahindwa kesi tutalipa mabilion ya pesa
 
Kimenuka,Tundu lisu alisema kuna kesho ya tanesiko,na bank ya stands chat ya China,na akataharisha kuwa tukiahindwa kesi tutalipa mabilion ya pesa
Published on 27 Nov 2014
Tundu Lissu ameibuka na kuijia juu ripoti iliyotolewa na Waziri Muhongo kuhusu fedha za Escrow akidai ni ya uongo na akaenda mbali kwa kuwataja wahusika.

Source: Said Ebraim
 
Published on 27 Nov 2014
Tundu Lissu ameibuka na kuijia juu ripoti iliyotolewa na Waziri Muhongo kuhusu fedha za Escrow akidai ni ya uongo na akaenda mbali kwa kuwataja wahusika.

Source: Said Ebraim

Subiri uone kitakacho fuata ndio utajua jamaa mropokaji tu
 
Wale wazee wa 'vijesenti vya ugoro' na 'pesa ya mboga' ndio wakalipe.., sio kutiana umasikini namna hii
Nilisikia upo mchakato wa kuanzisha mahakama ya ufisadi(mafisadi) pia nilimsikia "mtu" mmoja akisema yeye hajaribiwi. Ukitilia maanani hayo mawili, hili sakata la "kutiana umasikini namna hii" unalionaje?
Hii sio kujaribiwa kweli?
Hawa jamaa wanamjaribu au wanachezea sharubu za paka?

Hili kampuni "la kutoza ada ya kuzalisha umeme" kukomba milioni 400!? kwa siku, kila siku ni utapeli au ufisadi?

Milioni 400 kila siku, kwa miaka 2 unajenga viwanda vingapi?

Juzi walisema serikali ina fedha za kutosha na uchumi haujasinyaa, sasa wajanja wanazitaka hizo fedha.
Kila unapotaka kushangaa,unapigwa na butwaa.

Shamba la bibi, business as usual.
 
FLASHBACK:

Published on 26 Nov 2014

Kashfa ya TegetaEscrow inazidi kufukuta nchini Tanzania. Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA) pamoja na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) leo aliwasilisha ripoti ya uchunguzi katika bunge la nchi hiyo. Katika matangazo ya Dira ya Dunia TV, Zuhura Yunus alimhoji mbunge huyo kujua zaidi.
ZITTO AKIHOJIWA NA BBC DIRA TV KUHUSU TEGETA ESCROW

Source: Swahili Buzz
 
SIYO MAKOSA YA NCHI ZA SOUTH, NI VIONGOZI WETU. KILA CONTRACT IN DEAL NDANI YAKE, MAWAKILI WANAPIGA DEAL WAPATE MKATO WAO. TANZANIA YA KIKWETE ILIKUWA IMEOZA.

Ile siku anahutubia wale wazee pale dar ,alivyokuwa anababaika , aliposema pesa si za umma nilikuwa nimeshika soda mkono nikatetemeka ,ikaanguka ,
Halafu kuna wapinzani wanamkumbuka huyu jamaa wakati kila mtu alitamani amalize muda wake aondoke pesa chafu chafu ndo watu wanazililia kwa sasa
 
Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeshindwa kwenye kesi yake IPTL -Independent Power Tanzania Limited.

Hukumu hiyo imetolewa na mahakama ya inayoshughulika na migogoro ya uwezekaji, ICSID yenye makao yake mjini Washington DC, Marekani na ipo chini ya benki ya dunia.Tanesco ilikuwa ikiwakilishwa na makampuni mawili ya wawanasheria R.K. Rweyongeza & Co. Advocates na Crax Law Partners ya Tanzania, pamoja na lile la Zurich, Kellerhals Carrard. Pesa hizo zinatakiwa kulipwa kwa Standard Chartered Bank-Hong Kong (SCB-HK).SCB-HK ililinunua deni la IPTL kwa punguzo la bei ya milioni 76.1 kutoka Danaharta Bankin ya Malaysia, August 2005 baada ya Danaharta kushindwa kuchukua mkopo wake kutoka kwa IPTL.

Hiyo ina maana kuwa SCB-HK imepata faida ya dola milioni 172. IPTL ilikopa dola milioni 100 mwaka 1998 kutoka kwenye kundi la benki za Malaysia ili kujenga mtambo umeme Tegeta wenye megawatt 100.

TANESCO ilifungua kesi ICSID baada ya kubaini kuwa imekuwa ikitozwa zaidi na IPTL. Kesi hiyo inahusiana na ripoti ya uchunguzi wa kashfa ya IPTL iliyohusisha uchotwaji wa shilingi bilioni 306 za kitanzania.

Hukumu hiyo imefikiwa mwisho wa wiki iliyopita ambapo World Bank tribunal (international centre for settlement of investment disputes.

ICSID imeamuru TANESCO kuilipa Standard Chartered Bank Hong Kong (SCB HK) kiasi cha dola za kimarekani milioni 148.40 pamoja na tozo riba.

SCB HK ndio walionunua mkopo wa IPTL kutoka bank ya Malaysia Danaharta kwa gharama ya dola za kimarekani milioni 76.1

Kwa habari zaidi soma the Guardian la leo:

==========

TANESCO ordered to pay $148m over IPTL dispute


Washington-based tribunal rules in favour of Standard Chartered Bank, saying dubious payments made from the Tegeta escrow account to businessman Harbinder Singh Sethi do not discharge TANESCO's obligations to the bank


By Guardian Reporter

THE Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) has suffered a massive blow in its protracted legal dispute with Independent Power Tanzania Limited (IPTL) after a World Bank tribunal last week ordered the state-owned power utility to pay Standard Chartered Bank-Hong Kong (SCB-HK) $148.4 million (over 320 billion shillings) plus interest in outstanding capacity charges.

The ruling comes nearly three years since the government controversially authorised payments of over $200 million (440 billion/-) from TANESCO-IPTL’s Tegeta escrow account to businessman Harbinder Singh Sethi’s Pan Africa Power Solutions Tanzania Limited (PAP).

This was after SCB-HK purchased the IPTL loan at a discount price of $76.1 million from Malaysia’sDanaharta Bankin August 2005, following the latter’s failure to secure its outstanding loan from IPTL.

The actual face value of the debt was $101.7 million, according to available evidence. IPTL borrowed over $100 million in 1998 from a consortium of Malaysian banks in order to finance construction of its 100-megawatt Tegeta power generating plant.

Under that transaction, SCB-HK was assigned a number of contracts, including the 1997 Security Deed, the Implementation Agreement and the Guarantee Agreement concluded between IPTL and the Tanzanian government. The available details show that SCB-HK also became the Security Agent under the Share Pledge Agreement and the Shareholder Support Deed.

Part of the agreement said: “As Security Agent, SCB HK holds all of IPTL’s ‘right, title and interest in and to the Assigned Contracts, including all moneys which may at any time be or become payable to the Borrower.'"

TANESCO had earlier taken its dispute with IPTL to the World Bank-affiliated International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID) for arbitration after the state-owned power utility discovered that it was being overcharged in both capacity and energy charges.

Following this move, both parties agreed as stipulated in their 1996 Power Purchase Agreement (PPA) to establish an escrow account with the Bank of Tanzania (BoT), to be used to deposit all payments pending the outcome of the arbitration.

But a few months before ICSID issued its ruling, the government controversially (and secretly?) paid all the escrow money to PAP after the company claimed that it had acquired full 100 per cent ownership of IPTL in September 2013.

The Washington-based ICSID ruled in favour of TANESCO in February 2014, ordering a tariff recalculation so that finally the escrow money could be paid to either IPTL or the power utility firm, only to then be informed that a third party (PAP) had already been paid everything.

SCB-HK took TANESCO to the ICSID after it realised that the money in the escrow account has been paid to PAP at a time when there was still another pending case over the tariff dispute.

The bank was demanding outstanding payments to clear a loan taken by IPTL’s initial owners to set up the electricity generating turbines.

The Hong Kong-based bank took over control of IPTL after the company failed to pay its loan in 2008, and has since then been fighting to recover the debt.

And after more than five years of rigorous legal proceedings, ICSID judges have now finally ruled in favour of the bank.

"The tribunal orders that TANESCO pay to SCB-HK (Standard Chartered Bank Hong Kong) the amount of $148.4 million with simple interest at three month LIBOR (London Interbank Offered Rate) plus 4 per cent from September 30, 2015 until the date of this award," ICSID said in its latest ruling.

"Interest shall continue at the same rate until full payment is received," the ruling added.

DUBIOUS ESCROW ACCOUNT PAYMENTS

ICSID also ruled that payments made by the government from the infamous Tegeta Escrow Account "did not discharge TANESCO's obligations under the power purchase agreement (PPA) and thus cannot be used to reduce the amount that TANESCO owes SCB HK."

TANESCO paid more than $120 million from the IPTL Tegeta Escrow Account to Pan African Power Solutions (PAP)under dubious circumstancesin 2013.

The escrow account payments triggered a major national corruption scandal which ultimately led to the resignations of at least three senior ministers in then president JakayaKikwete's government.

A number of other senior government officials were also charged with corruption at the Kisuturesident magistrate's court over the IPTL escrow account scam.

Lawyers representing Standard Chartered Bank at the arbitration accused TANESCO of misleading the ICSID tribunal judges by concealing facts about the payments made from the escrow account to PAP.

"SCB-HK understands that PAP used $75 million of the funds obtained from the escrow account to pay VIP Engineering and Marketing Limited (owned by Tanzanian businessman James Rugemalira) for its 30 per cent shareholding in IPTL," says part of the 100-page ruling.

"The funds held in the escrow account that should have been available to satisfy TANESCO's payment obligations to IPTL under the PPA (power purchase agreement) have therefore been paid to two Tanzanian parties - VIP and PAP - neither of whom made any financial contribution to the construction of the facility," it adds.

The ruling seen by The Guardian was dispatched to the parties involved in the arbitration - Standard Chartered Bank and TANESCO - on September 12 this year.

The ICSID is part of the World Bank Group and is funded by the Bretton Woods institution. It is headquartered in Washington, DC, in the United States.

An ICSID award is binding on all parties to the proceeding and each party must comply with it.

If a party fails to comply with the award, the other party can seek to have the pecuniary obligations recognised and enforced in the courts of any ICSID member state as though it were a final judgment of that state’s courts.

Members of the tribunal that issued the award in favour of Stanchartwere Prof Donald McRae (president), Prof Zachary Douglas (arbitrator), and Prof Brigitte Stern (arbitrator).

In the arbitration process, the bank was represented by a team of lawyers from two London-based law firms - Herbert Smith Freehills LLP and Linklaters LLP.

TANESCO was represented by a team of lawyers from Tanzanian-based law firms R.K. Rweyongeza & Co. Advocates and Crax Law Partners, and a Zurich-based law firm Kellerhals Carrard.

Habari hii imesomwa pia kwenye kipindi cha JAMII LEO..


Mungu wangu! deni analodaiwa kila mtanzania linazidi kupaa, limeishatoka kwenye 1.2m limesogea mbele ....
 
Back
Top Bottom