Tegeta hakuna umeme wala maji, angalau mngetuachia kimojawapo na hili joto la Dar!

Mama anaupiga mwingi,vumilieni ndio mgao umeanza,maendeleo hayana chama bwashee
Watu ambao hamjui hio ndio political science, unatengeneza tatizo then unalisolve we mwenyewe,kwa mafala wanaingia kingi na credit wanakupa then unakuwa umecheza kama Pele, hio ndio Tz
 
Unanipa hasira sana, Mbona Chif Hagaya katulia kama hakuna kitu hivi
 
hii inaotwa panga uzazi ya jijini dar. umeme hakuna maji hakuna.mimi nalala chini kwenye tailiz mama kitandani.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…