Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakina faida sasaKinabaki kikojoleo tuu
Kama anapotosha Unaonaje ukijimovezisha taaratibu kutoka katika huu uzi?MziziMkavu hebu njoo uelimishe huyu # mshana jr anapenda kujidai kuwa anaju sana mambo ya giza na kupotosha umma
Usingemjibu huyu kiazi na wale viazi wengine wanne ambao kwa pamoja hawajui hata sheria na kanuni za jukwaaKama anapotosha Unaonaje ukijimovezisha taaratibu kutoka katika huu uzi?
Mkuu.@Mshana jr hapotoshi watu anajaribu watu kuwa amsha kuwa uchawi upo na ni hatari kwa jamii. Mahali palipo kuwa na uchawi panakuwa hapana maendeleo yoyote kimaisha. Tujihadhari na uchawi na tumuombe Mungu atulinde na wachawi.MziziMkavu hebu njoo uelimishe huyu @ mshana jr anapenda kujidai kuwa anaju sana mambo ya giza na kupotosha umma