Tayari ushaumizwa!?
hii kitu ya Mpingo kusimama ipo
mshana jr
alikuwapo dogo mmoja alikufa Mwaka wa Jana alikuwa na vipesa vya kudunduliza akawa MTU wa mademu hasa wake za watu aliingia kwa Mke wa Jamaa mwenyewe kashtukia akumuonya jambo ambalo Mimi siwezi nikijua unakamua my wife wangu hata kama itapita muda gani lazima nikuondoe Sasa jamaa akamuonyoa dogo akajifanya kujua kapewa hiyo kitu nilikuwa siijui jina lake dogo Mnara ulikuwa HEWANI bila kushuka...kalazwa Muhimbili 2wks wapi kapelekwa Tanga hata Mwezi haukufika hivi naongea ameshakuwa VUMBI.....amezima Kitu kikiwa juu..
Hataree