Tego la usinga; uchawi uliotoweka

Tego la usinga; uchawi uliotoweka

mkuu kwanza ni aibu mimi kusikia mke wangu ana chukuliwa

yaani hapa tanga kama ni mgeni uliza tu

maana hutopewa warning nikijua tu wewe unakula mke wangu natega usinga wangu na ni lazima uje

usinga una nguvu sana

WARNING KWA WAGENI WA TANGA USINGA UPO TANGA NA UMESHA WATOA WENGI TU

#MKE WA MTU SUMU
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji27]
 
Udanganyifu katika mahusiano ni kitu kikongwe na kinachopigwa vita duniani kote watu kwa maelfu wamepoteza maisha kutokana na ishu za Udanganyifu wivu na kufumaniwa au kufumaniana

Kwa wasambaa kulikuwa na tego moja maarufu sana TEGO LA USINGA tego hili ni baya na lenye nguvu sana ambalo lilitegwa kwenye mapaja ya mwanamke kwa kujulishwa au kwa kutojulishwa

Test yake kama tego linafanya kazi mwanamke angewekewa kipande cha chuma au kisu au panga na kuambiwa akiruke, ambapo kitu hicho kingekatika vipande viwili , kwahiyo hapa mwanamke hana ujanja na anajua fika kinachoendelea

Kwa wale wanawake ambao hawajulishwi ila wana mashaka basi huchukua panga au kitu chochote cha chuma na kukiruka!kikikatika tu anajua hali halisi anatulia. Bahati mbaya sana kuna baadhi ya wanaume huwa hawawaambii wake zao kile walichokifanya na wanawake nao wengine huwa hawana machale na hivyo kusababisha maafa.

Mwanamke mwenye tego la usinga akiingiliwa na mwanaume mwingine yule mwanaume hupigwa na kitu kama shoti na baada ya hapo huanza kuumwa tumbo ambapo hawezi kumaliza masaa sita hufariki huku uume ukiwa umesimama ndii

Usinga si kitu chema kwakuwa hauna dawa na mwanamke hatakiwi kuwa na mtoto mdogo wa kiume ambaye atambeba mara kwa mara
Huu ndio usinga tego baya kabisa enzi hizo usambaani...!

Bahati mbaya wataalam wake wamekufa na ujuzi huo bila kuurithisha kwa yeyote
Bro naomba namba zako na shida binafsi zangu0744896401
 
Mapori mengi ya madini tanga nimekutana na haya mambo sana. Wakamba bado wanategeshea wake zao usinga. Wao wanazo za aina tatu iyoo ya shoti ya chura unavimba usoo na ya umbwa kitu kinanata.
 
Ha ha ha ha Tigo nako inanasa hapa mababu wanapigwa bao unatega mbele watu wAnakross nyuma


Ukiweka kunasana watu wanatupia VILAINISHI HANASI MTU
 
Mi nataka hii kitu jamani , mwenye kujua ani pm
 
Mi nataka hii kitu jamani , mwenye kujua ani pm
Tayari ushaumizwa!?
hii kitu ya Mpingo kusimama ipo mshana jr
alikuwapo dogo mmoja alikufa Mwaka wa Jana alikuwa na vipesa vya kudunduliza akawa MTU wa mademu hasa wake za watu aliingia kwa Mke wa Jamaa mwenyewe kashtukia akumuonya jambo ambalo Mimi siwezi nikijua unakamua my wife wangu hata kama itapita muda gani lazima nikuondoe Sasa jamaa akamuonyoa dogo akajifanya kujua kapewa hiyo kitu nilikuwa siijui jina lake dogo Mnara ulikuwa HEWANI bila kushuka...kalazwa Muhimbili 2wks wapi kapelekwa Tanga hata Mwezi haukufika hivi naongea ameshakuwa VUMBI.....amezima Kitu kikiwa juu..
Hataree
 
Wanaume bana, we unagonga wanawake kama kumi huko nje, we kuonjewa tu na mtu mmoja unaua...... Nanyie tutaanza kuwaua hata kwa sumu ya panya!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12]
 
Tayari ushaumizwa!?
hii kitu ya Mpingo kusimama ipo mshana jr
alikuwapo dogo mmoja alikufa Mwaka wa Jana alikuwa na vipesa vya kudunduliza akawa MTU wa mademu hasa wake za watu aliingia kwa Mke wa Jamaa mwenyewe kashtukia akumuonya jambo ambalo Mimi siwezi nikijua unakamua my wife wangu hata kama itapita muda gani lazima nikuondoe Sasa jamaa akamuonyoa dogo akajifanya kujua kapewa hiyo kitu nilikuwa siijui jina lake dogo Mnara ulikuwa HEWANI bila kushuka...kalazwa Muhimbili 2wks wapi kapelekwa Tanga hata Mwezi haukufika hivi naongea ameshakuwa VUMBI.....amezima Kitu kikiwa juu..
Hataree
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
 
Mi nataka hii kitu jamani , mwenye kujua ani pm

Tayari ushaumizwa!?
hii kitu ya Mpingo kusimama ipo mshana jr
alikuwapo dogo mmoja alikufa Mwaka wa Jana alikuwa na vipesa vya kudunduliza akawa MTU wa mademu hasa wake za watu aliingia kwa Mke wa Jamaa mwenyewe kashtukia akumuonya jambo ambalo Mimi siwezi nikijua unakamua my wife wangu hata kama itapita muda gani lazima nikuondoe Sasa jamaa akamuonyoa dogo akajifanya kujua kapewa hiyo kitu nilikuwa siijui jina lake dogo Mnara ulikuwa HEWANI bila kushuka...kalazwa Muhimbili 2wks wapi kapelekwa Tanga hata Mwezi haukufika hivi naongea ameshakuwa VUMBI.....amezima Kitu kikiwa juu..
Hataree
 
Kaka wewe utakuwa umeachiwa utaalam huo


Udanganyifu katika mahusiano ni kitu kikongwe na kinachopigwa vita duniani kote watu kwa maelfu wamepoteza maisha kutokana na ishu za Udanganyifu wivu na kufumaniwa au kufumaniana

Kwa wasambaa kulikuwa na tego moja maarufu sana TEGO LA USINGA tego hili ni baya na lenye nguvu sana ambalo lilitegwa kwenye mapaja ya mwanamke kwa kujulishwa au kwa kutojulishwa

Test yake kama tego linafanya kazi mwanamke angewekewa kipande cha chuma au kisu au panga na kuambiwa akiruke, ambapo kitu hicho kingekatika vipande viwili , kwahiyo hapa mwanamke hana ujanja na anajua fika kinachoendelea

Kwa wale wanawake ambao hawajulishwi ila wana mashaka basi huchukua panga au kitu chochote cha chuma na kukiruka!kikikatika tu anajua hali halisi anatulia. Bahati mbaya sana kuna baadhi ya wanaume huwa hawawaambii wake zao kile walichokifanya na wanawake nao wengine huwa hawana machale na hivyo kusababisha maafa.

Mwanamke mwenye tego la usinga akiingiliwa na mwanaume mwingine yule mwanaume hupigwa na kitu kama shoti na baada ya hapo huanza kuumwa tumbo ambapo hawezi kumaliza masaa sita hufariki huku uume ukiwa umesimama ndii

Usinga si kitu chema kwakuwa hauna dawa na mwanamke hatakiwi kuwa na mtoto mdogo wa kiume ambaye atambeba mara kwa mara
Huu ndio usinga tego baya kabisa enzi hizo usambaani...!

Bahati mbaya wataalam wake wamekufa na ujuzi huo bila kuurithisha kwa yeyote
bw
 
Back
Top Bottom