Tego la usinga; uchawi uliotoweka

[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji27]
 
Bro naomba namba zako na shida binafsi zangu0744896401
 
Mapori mengi ya madini tanga nimekutana na haya mambo sana. Wakamba bado wanategeshea wake zao usinga. Wao wanazo za aina tatu iyoo ya shoti ya chura unavimba usoo na ya umbwa kitu kinanata.
 
Ha ha ha ha Tigo nako inanasa hapa mababu wanapigwa bao unatega mbele watu wAnakross nyuma


Ukiweka kunasana watu wanatupia VILAINISHI HANASI MTU
 
Mi nataka hii kitu jamani , mwenye kujua ani pm
 
Mi nataka hii kitu jamani , mwenye kujua ani pm
Tayari ushaumizwa!?
hii kitu ya Mpingo kusimama ipo mshana jr
alikuwapo dogo mmoja alikufa Mwaka wa Jana alikuwa na vipesa vya kudunduliza akawa MTU wa mademu hasa wake za watu aliingia kwa Mke wa Jamaa mwenyewe kashtukia akumuonya jambo ambalo Mimi siwezi nikijua unakamua my wife wangu hata kama itapita muda gani lazima nikuondoe Sasa jamaa akamuonyoa dogo akajifanya kujua kapewa hiyo kitu nilikuwa siijui jina lake dogo Mnara ulikuwa HEWANI bila kushuka...kalazwa Muhimbili 2wks wapi kapelekwa Tanga hata Mwezi haukufika hivi naongea ameshakuwa VUMBI.....amezima Kitu kikiwa juu..
Hataree
 
Wanaume bana, we unagonga wanawake kama kumi huko nje, we kuonjewa tu na mtu mmoja unaua...... Nanyie tutaanza kuwaua hata kwa sumu ya panya!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12]
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
 
Mi nataka hii kitu jamani , mwenye kujua ani pm

 
Kaka wewe utakuwa umeachiwa utaalam huo


bw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…