Teknolojia isiathiri utu wetu, Polisi Tanzania msifanye kazi kwa mhemko. Trafiki 2 warudi Ofisini haraka

Sahihi
Trafic akikudaga anaomba leseni na anakuandikia

Sisi ndio huwa ndio tunaanza ooh mzee thelathin nyingi, tumalize hapa hapa and blah blah

Wengine wanagoma inabidi umuombe kichizi

Mtoa rushwq na mpokea rushwq ip tofauti yao….. hii ni timu work. Why anakamatwa aliyechukua tu ? Yupo wapi aliyetoa ?

Ndio maana polisi wanapaswq pia ku deal na hawa wanaorekodi
 
Lakini unayohaki ya wewe kushitaki yaani unayohaki ya ww kwenda mahakamani kutafuta haki yako

Kama kweli unao huo mudq wa kwendq mahakamn and all that out of 5000 only ….. ni hatar
Njia pekee achana na makosa ya road !


Kwa mfano, wangapi mnatembea na triangle , fire extinguisher ? Mnajua kuwa hii ni faini ?

leo wakisema waanze msako wa triangle au fire extinguisher
Wsngapi mtakula umeme ?

Sasa kama hutak shida then be perfect
 

Hizi ni statement za hovyo sana

Ni sawa na mtu anaeomba evidence za Lissu kushambuliwa.

Ukitaka Evidence mtafute Hamza

Ukitaka evidence nendq TAKUKURU

Kazi yangu sio kuwapa Evidence….! Watafute evidence
 
Sawa
 
Asante.
 
Dah
 
Waache washangalie watakapokua wanakaa kwenye foleni masaa manne wasipige kelele watulie hvyo hvyo
 
Waanze na mabig fish kule juu ndio washuke huku chini kwenye vidagaa
Wote tunafahamu hilo haliwezekani, Mliona Meremeta, EPA, Ricmond, na hata DP World.

Mimi na wewe tunafahamu, Big Fish ndio wanatoa maelekezo polisi wafanye nini, nani ashughulikiwe kwa namna gani, na kiasi gani na nani aachwe.

Hawa polisi wanafanya kazi kwa maelekezo ya hao Bigfish hivyo, hakuna wanaweza kufanya zaidi ya hicho walichofanya.

Sema bahati mbaya wanawashughulikia wenzao kwa kudhani watasifiwa, badala ya kuwalinda wenzao wanawalinda BigFish, alafu wanawashughulikia wenzao.
 
Kwamba ni kweli serious wale askari walipelekwa mahabusu?
 
Kwamba ni kweli serious wale askari walipelekwa mahabusu?
For years Mahabusu ni sehemu nzurii/salama ya kupumzisha mshukiwa/ mtuhumiwa/ raia wema.

Haishangazi askari walio tenda kosa kupumzika Mahabusu kwa mahojiano/ kuuhadaa umma.

Binafsi ushauri wangu hao maaskari waachiwe na warudishwe kazini Mara mojaa.
 
Mkuu, ni wajibu wa raia kuwa perfect. Sasa unachokizungumza unahalalisha polisi kuwa juu ya sheria ilhali wakitaka raia kutii sheria, hakuwezi kuwa na haki. Rushwa itatawala.

Tunapokwenda mahakamani hatuangalii sana gharama za kifedha bali kuweka misingi ya kuheshimu sheria. Wewe unasema mtu atapoteza muda kwa kwenda mahakamani kisa shilingi elfu 5, hapo Sudan watu walimng'oa madarakani Rais Bashir kwa ongezeko la Tshs. 100 tu kwenye bei ya mkate. Yaani hatupaswi kupuuza uvunjwaji wa sheria au uonevu.

Sheria ziliwekwa ili zifuatwe lakini hapohapo wasiozifuata wapo, wataadhibiwa kwa mujibu wa sheria. Sasa askari anapata wapi uhalali wa kukuandikia faini wakati hujakiri kosa?? Yaani avunje sheria makusudi kwa sababu anajua una haki ya kwenda mahakamani kudai haki aliyoivunja?? Huyu hafai kuwa polisi.

Mwenendo wa hivi, matokeo yake ni hata wao wenyewe polisi kunyimwa barua na miendendo ya mashauri yao ya nidhamu pindi wanapofukuzwa kazi. Yaani unafukuzwa kazi halafu unaanza kumuomba IGP akupe barua iliyoonesha kuwa umefukuzwa kazi, na IGP hakupi. Uvunjaji wa sheria
 
Wale waachiwe mara moja. Kwa sababu wanawasaidia raia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…