wadau wa jf..naomba leo niwashtaki startime kwa kuwa mimi ni mteja wao lakini sikuhizi ki'ngamuzi hakionyeshi zaidi ya station 10..na zingine ndio zilizonifanya mimi kujiunga na mtandao huo...sasa naomba watueleze kulikoni?..aaahhhh mchina anaboa sana atime....
wadau wa jf..naomba leo niwashtaki startime kwa kuwa mimi ni mteja wao lakini sikuhizi ki'ngamuzi hakionyeshi zaidi ya station 10..na zingine ndio zilizonifanya mimi kujiunga na mtandao huo...sasa naomba watueleze kulikoni?..aaahhhh mchina anaboa sana atime....
wadau wa jf..naomba leo niwashtaki startime kwa kuwa mimi ni mteja wao lakini sikuhizi ki'ngamuzi hakionyeshi zaidi ya station 10..na zingine ndio zilizonifanya mimi kujiunga na mtandao huo...sasa naomba watueleze kulikoni?..aaahhhh mchina anaboa sana atime....
Wazee wa so much more sio?Hamia DSTV
Tumekua tukiangalia Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kupitia king'amuzi cha Startimes ktk Chaneli ya KBC1 kwa wale tunaotumia kifurushi cha shs 9000 tangu mashindano yalipoanza!Lakini katika Michezo ya Nusu Fainali hawa jamaa wameweka tangazo kutaka watazamaji walipe fedha zaidi ili waone mechi hizo kupitia chaneli ya UBC ambayo ipo katika kifurushi cha Uhuru!Uki-tune KBC1 unakuta "NO SERVICE" lakini chaneli hiyo inapatika katika Dish!Mechi kati ya Zambia na Ghana haikuonekana,lakini baada ya Mechi kuisha chaneli imerudi hewani,then mechi ya Pili imeanza uki-tune KBC1 unaambiwa No service!!Huu ni uhuni wa aina yake!!
Hawa Wachina wa StarTimes wanashangaza sana, wanadandia vichaneli vya ovyo-ovyo na vingine vya bure halafu wanatuuzia, vichaneli vingine sijui kama kuna Watanzania wanaangalia, hasa za lugha za Kichina na Kifaransa na Spanyola.
StarTimes, baada ya kugundua KBC wanarusha AFCON sasa wametufungia!
Hivi kuna sheria gani inatulindaje walaji dhidi ya utapeli na unyanyasaji huo?
Maana tumelipia KBC kwanini wanatufungia? Tuchukue hatua gani? Tushitaki kwa nani?
Usikitupe mkuu, utapoteza vyote. Cha kufanya ungana na Ibra ili mkawashikishe adabu pale TCRA. Lakini pakuanzia ni ule mkataba wao. kwani unasemaje?aisee huu ni uhuni kabisa ni kweli mi mwenyewe nimefika hapa naangalia hiyo channel naambiwa no service yaani huu ni u.p.u.u.z.i mtupu. Mimi nitakitupa hiki kidecoder chao kama ndo hivi